Shikamoo wasanii wa bongo, naomba mnijibu maswali yangu

Shikamoo wasanii wa bongo, naomba mnijibu maswali yangu

Status
Not open for further replies.
Aisee,hili jukwaa kila siku kuna ligi...tena tamu kwelikweli Dinazarde I hop unafuatilia kimyakimya siku hizi lolowapi anakuogopa namuona kwa nadra sana nimeimiss ligi yenu jamani...

Hhhhaaaa halaf weee unajua nipo busy unaniita ita alaa,acha jukwaa lichangamkee,@huyo lolowapi kashanichosha mieee akija na story zake utachoka ye anafurahia tu warumi kulimwa ban
 
Last edited by a moderator:
Wote tukiwa siasani malimbukeni kama nyinyi si mtapotea kabisa mana mama zenu wameshindwa kuwafunza tuacheni walimwengu tuwape funzo kiroho safi

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaa nicheke mie wa kunifunza uwe wewe
wewe kweli Mwanga huu muda wa kunifunza hii elimu nasaha ungeitoa kwako na familia yako...

stress za jukwaa la siasa uje uzimalizie kwangu umevurugwa wewe tena umevurugwa mbele na nyuma
 


Mkuu mimi hapa sijaleta umbea, Naamini kuna maswali naweza kukuuliza kuhusu huyo unaye mtete yakakufanya usirudi hapa kucomment. Mi nataka tujadili kwa uwazi, ndio maana nikaomba kueleweshwa. Mfano Mchomvu anaendesha gari GX100 je Kainunua? Ile gari ni ya Aisha(Mama la Mama). Hiyo gari anayoendeshwa Aisha alihongwa na Bwana yake Mzungu aliye Ulaya. Au unataka kusema LIle duka la Nguo Pale Msasani ndio Kapata hela ya Kununua GX100?. Samahani Mkuu naomba uje Unieleweshe. Sababu haya maswali yananiumiza kichwa. Hivi Aisha(Mama la Mama) angekua na Hela ya GX100 angefungua duka Msasani ambapo kodi ya mwezi ni Elfu 70 kwanini asifungue k/koo?. Naomba Ufafanuzi. Mia

Mkuu thanks sana,inaonyesha una data za hawa watu ,mara ya kwanza nilijua unaweza ukawa ndugu wa upande wa either Mchomvu (maana wote wawili..Adam na Aisha sir name zao ni Mchomvu) lakini nimejiridhisha pasi na shaka unawajua hawa watu lakini una data za zamani na huna current informations zao za karibuni...Mchomvu haendeshi Gx 100,lakini alikuwa na GX mia kama miaka mitatu imepita akauza akanunua hypsum(kama kumbukumbu iko sawa) akauza nayo saizi anakigari kimoja kama dizain vitz (but not vitz)..nimesahau jina lake...Aisha hajawahi kuwa na GX 100 mara ya mwisho nakumbuka alikuwa na RAV4 nyeusi milango miwili akauza (I think anayo Tino) akanunua Verosa...nenda pale kwa adam mbezi ya chini karibu na new oilcom utaproove ..tena utamkuta Aisha pale wa kujifungua leo kesho..mbona Adam anafight sana angalia anavyozunguka fiesta karibu zote inamaana analipwa mchanga ashindwe kununua Gx 100 mkuu? mkuu issue ya duka la nguo pale sio sababu ya Aisha kutokuwa na hela au lah..jiulize lilifunguliwa lini na mzigo alikuwa anafuata nch gani,by the way duka lile lishafungwa muda mrefu sana
 
Dadaangu hawezi kukuwadiwa na mapunga yule ni punga kama bilal mashauzi utaki unaacha

ulikuwepo wakati ana mkuwadia Lulu.......... Mpunga huwa unamla wewe.............

Mfyuuuu dume zima umekosa kazi za kufanya kuja kubishana na wanawake,
tafuta shuguli za kufanya mjini, wanaume wenzako wako busy kufanya kazi
wanahonga Murrano nyie ndio wale wapiga pumbu hata hela ya sabuni hamjui kutoa
hebu kafie mbele ya safari huko.................
 
ulikuwepo wakati ana mkuwadia Lulu.......... Mpunga huwa unamla wewe.............

Mfyuuuu dume zima umekosa kazi za kufanya kuja kubishana na wanawake,
tafuta shuguli za kufanya mjini, wanaume wenzako wako busy kufanya kazi
wanahonga Murrano nyie ndio wale wapiga pumbu hata hela ya sabuni hamjui kutoa
hebu kafie mbele ya safari huko.................
Oya, heshima mbele mama. Huwezi kurushia maneno boi wakati kakujibu kistaarabu tu. Unanichefua we mwanamke...
 
Ushahidi gani wautaka, kadi hiyo Wema ndo mmliki halali
watu mlianza atapewa nini akapewa gari mkasema kadi iko wapi
kadi mkaonyeshwa, mkasema mnataka jina sio lake jina tumewapa...
sa hivi Martin hawezi na kweli kaka wa watu ka admit asingeweza yeye mwenyewe
sa sielewi ushahidi gani mwataka... alivotoa ela kwenda kununua gari????????????

attachment.php

Hahahahaaaa....kwa bongo hiyo isikutishe.Mfano angalia hii ya harakahara nikiwa ndani ya Daladala, Je kwenye Computer ntashindwa kuandika Wema Isaac Sepetu?
attachment.php

Mia
 

Attachments

  • figganigga.jpg
    figganigga.jpg
    50.2 KB · Views: 606
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaa nicheke mie wa kunifunza uwe wewe
wewe kweli Mwanga huu muda wa kunifunza hii elimu nasaha ungeitoa kwako na familia yako...

stress za jukwaa la siasa uje uzimalizie kwangu umevurugwa wewe tena umevurugwa mbele na nyuma
Kama we hauna access na jukwaa la siasa shaurilo nahisi una kimando kwa nenda kapige mswaki kwanza usafishe domo
 
Kama we hauna access na jukwaa la siasa shaurilo nahisi una kimando kwa nenda kapige mswaki kwanza usafishe domo

hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa wa kupiga mswaki niwe mie sio wewe uliyekurupuka
bila kuchamba kuja kuvamia watu..,

Sina acces ndio maana niko huku we mwenye Acces mbona uko huku kupiga
umbea usiokua na data kamilin RUDI SIASANI UKASAIDIE TUNAVYOWEZA KUPATA KATIBA BORA??????????
 
Nipo Miaka mia nane siendi mbele sirudi nyuma....................

you can easily notice the difference kati ya kadi mbili...............

Ya juu itakuwa imechukua muda kidogo kuifoji maana inaenda kwenye media. LAkini pia haioneshi ni kadi ya gari gani, yaweza kuwa Bodaboda ya 1.7M, nakumbuka huyu dada kwenye kipindi cha Zamaradi Mketema alidai nyumba ni yake na ametumia 40M kuipamba na kuirekebisha.
Sitashangaa na hili nalo akidanganya.
 
Ya juu itakuwa imechukua muda kidogo kuifoji maana inaenda kwenye media. LAkini pia haioneshi ni kadi ya gari gani, yaweza kuwa Bodaboda ya 1.7M, nakumbuka huyu dada kwenye kipindi cha Zamaradi Mketema alidai nyumba ni yake na ametumia 40M kuipamba na kuirekebisha.
Sitashangaa na hili nalo akidanganya.

Gari limewatoa imani vijana.........

Kemp ushampa salam zangu lakini??????????????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom