Mkuu thanks sana,inaonyesha una data za hawa watu ,mara ya kwanza nilijua unaweza ukawa ndugu wa upande wa either Mchomvu (maana wote wawili..Adam na Aisha sir name zao ni Mchomvu) lakini nimejiridhisha pasi na shaka unawajua hawa watu lakini una data za zamani na huna current informations zao za karibuni...Mchomvu haendeshi Gx 100,lakini alikuwa na GX mia kama miaka mitatu imepita akauza akanunua hypsum(kama kumbukumbu iko sawa) akauza nayo saizi anakigari kimoja kama dizain vitz (but not vitz)..nimesahau jina lake...Aisha hajawahi kuwa na GX 100 mara ya mwisho nakumbuka alikuwa na RAV4 nyeusi milango miwili akauza (I think anayo Tino) akanunua Verosa...nenda pale kwa adam mbezi ya chini karibu na new oilcom utaproove ..tena utamkuta Aisha pale wa kujifungua leo kesho..mbona Adam anafight sana angalia anavyozunguka fiesta karibu zote inamaana analipwa mchanga ashindwe kununua Gx 100 mkuu? mkuu issue ya duka la nguo pale sio sababu ya Aisha kutokuwa na hela au lah..jiulize lilifunguliwa lini na mzigo alikuwa anafuata nch gani,by the way duka lile lishafungwa muda mrefu sana