Kuna mtu kaitenda vibaya nchi hii kias kwamba Mungu tu ndo anaweza kuingilia kati. Maana kila leo kanaboresha miundombinu ya kihalifu raia tusikadhibiti kenyewe na uharibifu wake.Acha watu wapate maisha. Mbona hauongelei jinsi tulivyosaini mktaba wa 69bilioni wa kununua software ya kufuatilia kukatika tu kwa umeme...
Ndio yenyew mkuu macho makubwa inaonekana hivyoNdo zile yule jamaa wa Zanzibar anaonekana ana macho makubwa.?
Nimeetoa tahadhari ya uwandishi Kuna watu km nyinyi mnaacha kujikita katika maudhui mnaanza kudili na uwandishiHivi,huwa mnajuaje kama ninyi si waandishi wazuri?Yaani mtu aliyelogwa anamjua hadi mchawi wake!
M naona mkuu swala la bill 69 ushaliongelea wewe apo imetosha tunasaidiana acha m niongelee swala la jero maana ndo lipo katika mzunguko wangu wa Kila sikuAcha watu wapate maisha. Mbona hauongelei jinsi tulivyosaini mktaba wa 69bilioni wa kununua software ya kufuatilia kukatika...
Na akisikia au akikutana nayo mwambie aludi apa naamini ataanza kukufanyia kazi huyooKama hujui jambo uliza. Kama huwezi pia kuuliza; usiseme chochote
Hizi pesa ninazishika kila siku. Mwananchi waliandika ila BOT wakakanusha. Watengenezaji wanatumia ujuzi wa hali juu sana kiasi cha kuwapumbaza hata BOT wasigundue tofauti.Na akisikia au akikutana nayo mwambie aludi apa naamini ataanza kukufanyia kazi huyoo
Mimi huwa naangalia "uhandisi" na "uandishi"!Mara nyingi "uwandishi" naachana nao.Nimeetoa tahadhari ya uwandishi Kuna watu km nyinyi mnaacha kujikita katika maudhui mnaanza kudili na uwandishi
Siyo mia tano mia mbili feki zipo500 fake, hakuna mjinga wa kufanya huo upumbavu mzee.