Shilingi 500 bandia zimezagaa mtaani tuwe makini

Shilingi 500 bandia zimezagaa mtaani tuwe makini

Acha watu wapate maisha. Mbona hauongelei jinsi tulivyosaini mktaba wa 69bilioni wa kununua software ya kufuatilia kukatika tu kwa umeme...
Kuna mtu kaitenda vibaya nchi hii kias kwamba Mungu tu ndo anaweza kuingilia kati. Maana kila leo kanaboresha miundombinu ya kihalifu raia tusikadhibiti kenyewe na uharibifu wake.

Na mlango wa kutokea tulionao ni kuchoma chaka kalimojificha tuanze upya, Tz mpya!

Tunahitaji dikteta mzalendo asiyemo kwenye mfumo wa leo.
 
Acha watu wapate maisha. Mbona hauongelei jinsi tulivyosaini mktaba wa 69bilioni wa kununua software ya kufuatilia kukatika...
M naona mkuu swala la bill 69 ushaliongelea wewe apo imetosha tunasaidiana acha m niongelee swala la jero maana ndo lipo katika mzunguko wangu wa Kila siku
 
Na akisikia au akikutana nayo mwambie aludi apa naamini ataanza kukufanyia kazi huyoo
Hizi pesa ninazishika kila siku. Mwananchi waliandika ila BOT wakakanusha. Watengenezaji wanatumia ujuzi wa hali juu sana kiasi cha kuwapumbaza hata BOT wasigundue tofauti.
 
500 fake, hakuna mjinga wa kufanya huo upumbavu mzee.
Siyo mia tano mia mbili feki zipo
Na wanaofanya hiyo ni akili kubwa kwa kuwa kwa asilimia mia mzigo unaingia sokoni na hakuna kinachoharibika elfu siku hizi siyo sana zinasumbua
 
Back
Top Bottom