Hii tabia ya kuacha kushambulia hoja na kuanza kushambulia mtoa hoja ni tabia ya kipumbavu sana kwa watu waerevuFuatilia maficho ya Alshabab wanaua ndugu zako acha kufuatilia shilingi ya Watanzania. Ni yao!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nawe ni mpumbavu mingine unless uoneshe wapi umeshambulia hojaHii tabia ya kuacha kushambulia hoja na kuanza kushambulia mtoa hoja ni tabia ya kipumbavu sana kwa watu waerevu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kiti kibaya kama nchi kudanganya kwenye mambo ya kiuchumi kw a sababu mwisho wa siku msemo wa "mficha maradhi kifo humuumbua" lazima utimie. Na hapo ndo tunakuwa tumeitengeneza Zimbabwe ndani ya nchi yetu.Duh kwa hili huwa nakosa ujanja. Jiwe anaua uchumi wa nchi ila kila siku utasikia stats za kupikwa zinatolewa eti uchumi umekuwa kwa asilimia kadhaa lakini in reality hakuna reflection yoyote.
Nchi ya WagagagigihohoSisi tuko busy kuabudu, kusifu na kumpigia mapambio mfalme juha huku mambo mengi ya msingi tukitiwa upofu kuyaona ktk uhalisia wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie jamii ya wajinga na wapumbavu huwa mnajifanya kujua msiyoyajuaWewe nawe ni mpumbavu mingine unless uoneshe wapi umeshambulia hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi umeshambulia hoja? Kama unamalalamiko si ufungue uzi wako. Sasa kanin ulete malalamiko ya kipumbavu kwenye uzi wa mwnzio, umejiingiza kenye upumbavu wewe mwenyewe kwa miguu yako. Usinilaumu.Nyie jamii ya wajinga na wapumbavu huwa mnajifanya kujua msiyoyajua
Nakwambia ujadili hoja uache kumshambulia mtoa hoja kisa hoja aliyoitoa iko against na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Useless Kenya man get a lifeKipindi nikiwa Tanzania rate ilikua Tsh 20 = 1 Ksh, lakini leo muamala wa Mpesa ya Voda kuja kwa Kenya, rate inatumika Tsh 23.48 = 1 Kshs
Kwa dollar ndio imebamizwa chini maana naona rate inachezea kwenye Tshs 2,320 = 1 USD
Najua waimba pambio za kusifu hamtakawia na zile kauli zenu za kusema hata Yen ya Japan iko ovyo, ila mnasahau Japan hawategemei kuagiza agiza kila kitu kutoka nje, wao wana viwanda, sasa kwa hali kama hii mfanyi biashara ndani ya Tanzania anayetegemea kuagiza kutoka nje ili auze ndani lazima anaonja cha moto.
Kimbembe kwenye dollars ndani ya December ilikuwa 2305 juzi Kati February imefika 2350 bado inapanda utaskia Sasa hv mianneKipindi nikiwa Tanzania rate ilikua Tsh 20 = 1 Ksh, lakini leo muamala wa Mpesa ya Voda kuja kwa Kenya, rate inatumika Tsh 23.48 = 1 Kshs
Kwa dollar ndio imebamizwa chini maana naona rate inachezea kwenye Tshs 2,320 = 1 USD
Najua waimba pambio za kusifu hamtakawia na zile kauli zenu za kusema hata Yen ya Japan iko ovyo, ila mnasahau Japan hawategemei kuagiza agiza kila kitu kutoka nje, wao wana viwanda, sasa kwa hali kama hii mfanyi biashara ndani ya Tanzania anayetegemea kuagiza kutoka nje ili auze ndani lazima anaonja cha moto.
Lakini mjue kuwa kupanda au kushuka kwa thamani y a dola hakuna uhusiano na RaisKipindi nikiwa Tanzania rate ilikua Tsh 20 = 1 Ksh, lakini leo muamala wa Mpesa ya Voda kuja kwa Kenya, rate inatumika Tsh 23.48 = 1 Kshs
Kwa dollar ndio imebamizwa chini maana naona rate inachezea kwenye Tshs 2,320 = 1 USD
Najua waimba pambio za kusifu hamtakawia na zile kauli zenu za kusema hata Yen ya Japan iko ovyo, ila mnasahau Japan hawategemei kuagiza agiza kila kitu kutoka nje, wao wana viwanda, sasa kwa hali kama hii mfanya biashara ndani ya Tanzania anayetegemea kuagiza kutoka nje ili auze ndani lazima anaonja cha moto.
There is something fishy going on in TZ only time will tell.
Lakini mjue kuwa kupanda au kushuka kwa thamani y a dola hakuna uhusiano na Rais
Ni michezo ya central bank na wall street bankers, wanafanya manouvre
Sent using Jamii Forums mobile app