Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

Tuna devalue our currency kuboresha manunuzi ya bidhaa zetu!! Si tunazalisha sana na tunawauzia sana wakenya....Sasa tykipandisha bei ya shilingi watanunuaje? China waliowahi kufanya mchezo huu dhidi ya dollar ... nadhani walifanikiwa.....!!!

Majibu ya hoja yako yapo mengi sana hili jibu la kwangu usilitilie maanani maana sina utaalamu wa foreign exchange!
 
Tuna devalue our currency kuboresha manunuzi ya bidhaa zetu!! Si tunazalisha sana na tunawauzia sana wakenya....Sasa tykipandisha bei ya shilingi watanunuaje? China waliowahi kufanya mchezo huu dhidi ya dollar ... nadhani walifanikiwa.....!!!

Majibu ya hoja yako yapo mengi sana hili jibu la kwangu usilitilie maanani maana sina utaalamu wa foreign exchange!
Policy ya TZS haiiangalii KES acha kujificha kwenye utetezi wa ajabu. Kwamba Kenya ndio inafanya TZS iwe na value ndogo kwa safaru zote za trade partners wakubwa wa Tanzania. China, South Africa, Japan, UAE, India na Kenya wote hao ni trade partners wetu wakubwa how comes Kenya ambayo ni kama 6% ya trade ndio ifanye tuwe na weak currency.
 
Tuna devalue our currency kuboresha manunuzi ya bidhaa zetu!! Si tunazalisha sana na tunawauzia sana wakenya....Sasa tykipandisha bei ya shilingi watanunuaje? China waliowahi kufanya mchezo huu dhidi ya dollar ... nadhani walifanikiwa.....!!!

Majibu ya hoja yako yapo mengi sana hili jibu la kwangu usilitilie maanani maana sina utaalamu wa foreign exchange!
"PPP"(parities)
 
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Katika uchumi mchawi ni "comparative & competitive advantages" kati ya nchi hizi mbili kuendana na hali ya uchumi ilivyokuwa wa sasa.
 

Attachments

  • IMG_2220.jpeg
    IMG_2220.jpeg
    131.9 KB · Views: 6
KES ndiyo iliyoporomoka na sasa imepanda thamani.
But tangu enzi za Kikwete KES ni 20 TZS.
 
Tuna devalue our currency kuboresha manunuzi ya bidhaa zetu!! Si tunazalisha sana na tunawauzia sana wakenya....Sasa tykipandisha bei ya shilingi watanunuaje? China waliowahi kufanya mchezo huu dhidi ya dollar ... nadhani walifanikiwa.....!!!

Majibu ya hoja yako yapo mengi sana hili jibu la kwangu usilitilie maanani maana sina utaalamu wa foreign exchange!
Acha uongo ni bidhaa zipi mnauza Kenya mpaka mjilinganishe na China wanaofanya over production.
 
Kweli tunao vilaza wa kutupwa hapa nchini. Hebu ndugu zangu fanyeni hii hesabu,,,

Dola moja hivi sasa ni Ksh 129.50 kutoka 162..75 mwezi wa Januari mwaka huu. Hii ina maana shilingi ya Kenya imezidi kuimarika katika kipindi hicho.

Hiyo hiyo dola moja kwa sasa ni Tsh 2,575.00 kutoka 2,510.00 mwezi wa Janauari mwaka huu ikiwa na maana shilingi yetu inazidi kuporomoka.

Jamani tuache unafiki, tuna hali mbaya. Ni vigumu hata kufikiria kuna wakati pesa hizi zilikuwa na thamani sawa...kwa kweli CCM inaiangamiza taifa hili.
 
Back
Top Bottom