Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Mbona hii simple tu.
Tanzania inataka ku protect wazalishaji wa ndani against wa kenya.
Maana yake import from Kenya will be expensive compare to export to Kenya.
Maana yake bidhaa za Tanzania zitakuwa cheap nchini kenya while bidhaa za kenya zitapotea kwenye soko la Tanzania.
Tanzania inataka ku protect wazalishaji wa ndani against wa kenya.
Maana yake import from Kenya will be expensive compare to export to Kenya.
Maana yake bidhaa za Tanzania zitakuwa cheap nchini kenya while bidhaa za kenya zitapotea kwenye soko la Tanzania.