Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Achana na mambo uliyokariri vitabuni. Sidhani kama uko kwenye level ya kujadiliana na mimi. Kwanza, naweza nikawa mzee wako badala ya kijana wako. Naona unavyosoma na ku"paste" usivyovielewa.Hoja yoyote ikiletwa lazima tujikite kwenye context kwa kutumia methodology ya
4WH (What, Who, When, Why, and How) Sasa kijana wangu tukikuuliza maswali ya How na Why usikimbie mada.
Kama umeshindwa kujibu waache wataalam wajibu. 🤣 🤣 🤣 🤣
Wewe unalazimisha tuendelee kuongelea WHAT tu.
I only wish you knew what you are saying and who you are talking to...bye bye, nakuweka kwenye ignore list. Sina muda na wapuuzi...eti kuathili mtanzania. Rudi shule.