Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

Mashuzi unazalisha wewe hapo baada ya kushiba Leo.

aLhamduliLlah kila siku nashiba na mashuzi kama kawa.

Wewe unazalisha nini zaidi ya mashuzi ya maharage au dagaa, tena ya njaa.

Shuzi la biriani ya Eid utafananisha na mashuzi ya hewa na ugali kwa dagaa?
 
aLhamduliLlah kila siku nashiba na mashuzi kama kawa.

Wewe unazalisha nini zaidi ya mashuzi ya maharage au dagaa, tena ya njaa.

Shuzi la biriani ya Eid utafananisha na mashuzi ya hewa na ugali kwa dagaa?
Biriani!? Naamini utakunya KeKi.
 
Mahaba kwa kenya yamezidi uwezo wako wa kufikiri.
Economics siyo maeno matupu bali ni mathematics. Hebu tuambie Trade balace kati ya Kenya na Tanzania

Anzia hapa kwanza:

Mkuu, mie ni mdau...naelewa nnachokiongea.
We kula kiyoyozi tu ofcn Samia atalipia bili usiwaze!.
 
Nje ya mada ,Majamaa yanachukua makaa ya mawe kutoka songea yanapita iringa dom to Kenya,matokeo njia ya iringa dom inateketea.najiuliza pale mpakani yanalipwaje?
Je sisi hatuwezi alika mwekezaji aje achimbe na kusafirisha hayo makaa ya mawe,?Songea nayo inateketea kwa mavumbi.
TISS usalama wa raiavwaachie polisi wao wajikite na USTAWI WA NCHI.
Makaa ya mawe kutoka Mkako, yanasafirishwa balaa, ila cha ajabu Songea enyewe inadidimia kila iitwapo leo.
Inasikitishaa mnoo.
 
Mkuu, mie ni mdau...naelewa nnachokiongea.
We kula kiyoyozi tu ofcn Samia atalipia bili usiwaze!.
Sasa unataka nani akulipie bill mzee. Pambana. Hakuna kulegea legea. Uchumi unapimwa pia kwa inflation na siyo exchange rate.
 
Ujue nini!? Hii ni kwa sababu Tanzania tuna visima vya mafuta kwa hiyo mafuta yetu TU tunachimba wenyewe. Hii ndiyo sababu.
Nenda kasome uchumi mdogo wangu. Watu wanasoma miaka zaidi ya 3 uswachukulie poa.
Exchange rate ibaki kuwa exchange rate. Price ya vitu itabaki kuwa price.

Ukitaka kuelewa uchumi vizuri. Angalia mwenendo wa China na USA.
China yupo na big PPP kwanini?
 
Kisingizio chepesi sana hili. Ni kama kujaribu kujificha kwenye kivuli cha mchicha.
Unayajua madhara ya vikwazo vya uchumi wewe au unaropoka tu? Nchi ambayo hata kiberiti au stick za meno unaagiza usiombe upigwe economic sanctions utaishi duniani kama jehanamu!! Yaani kabisa bila aibu unadiriki kusema vikwazo vya kiuchumi ni Jambo jepesi?
 
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Waache siasa wazalishe na kuuza nje zaidi.waache kuzalisha chawa wazalishe bidhaa tena zenya ubora na ushindani kwenye masoko ya dunia
 
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Hapo bado hata Uganda watatupita
 
Unayajua madhara ya vikwazo vya uchumi wewe au unaropoka tu? Nchi ambayo hata kiberiti au stick za meno unaagiza usiombe upigwe economic sanctions utaishi duniani kama jehanamu!! Yaani kabisa bila aibu unadiriki kusema vikwazo vya kiuchumi ni Jambo jepesi?
Hiko sicho nilichoandika.
 
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Hayana maana hayo, uchumi wa kenya sio sawa na wa japan lakini angalia thamani za hela zao zilivyopishana
 
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Wapo busy kumsifia maza
 
Mingi inayobishana humu hata hizo dollar hawana kazi nazo wala hawajawahi kuziona.
 
Back
Top Bottom