Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

Kwanini wanunue mafuta kwa bei kubwa? Hebu dadavua mwanauchumi mwenzangu.
Mi sera TU za kikodi na tozo,. Kwani haya mafuta, serikali ikitaka yapungue bei si wanaondoa TU Yale matozo na kupunguza Kodi yake! Lakini wanaweza!? Wakati huo huo wakizitaka hizo fedha na vyanzo vingine hakuna!?
 
Mi sera TU za kikodi na tozo,. Kwani haya mafuta, serikali ikitaka yapungue bei si wanaondoa TU Yale matozo na kupunguza Kodi yake! Lakini wanaweza!? Wakati huo huo wakizitaka hizo fedha na vyanzo vingine hakuna!?
Nimekuuliza TZ na KE tunanunua mafuta sote kwa Dollar nje ya nchi lakini huko kenya yanauzwa juu kwanini?
Nijibu kiuchumi.
 
Tueleze sasa baada ya kuporomoka TSh kuna impacts gani zinazoweza kumuathili mtanzania?
Mtanzania ambaye mshahara wake haujapanda kwa miaka zaidi ya saba amepandishiwa nauli, gharama za maisha kama chakula, umeme, maji na mafuta. Wakati kipato ni kilekile kwa shilingi, inflation imeongezeka na gharama zimepanda.

Sukari, mafuta ya kupikia, unga, mchele vyote bei juu. Mafuta sasa ni 3,200+ kwa hapa Dar, miaka mingapi nyuma mafuta yalikuwa 2,500. USD rate ni zaidi ya 2,500 hiyo rate ndio tutumie kufanya exchange ya imports zetu zote. Huoni impact ya kushuka kwa thamani ya TZS hapo?
 
Mtanzania ambaye mshahara wake haujapanda kwa miaka zaidi ya saba amepandishiwa nauli, gharama za maisha kama chakula, umeme, maji na mafuta. Wakati kipato ni kilekile kwa shilingi, inflation imeongezeka na gharama zimepanda.

Sukari, mafuta ya kupikia, unga, mchele vyote bei juu. Mafuta sasa ni 3,200+ kwa hapa Dar, miaka mingapi nyuma mafuta yalikuwa 2,500. USD rate ni zaidi ya 2,500 hiyo rate ndio tutumie kufanya exchange ya imports zetu zote. Huoni impact ya kushuka kwa thamani ya TZS hapo?
Hii inauhusiano upi na KES currency? Kwani nauli tunalipa in KES?
 
Stress nyingine za kujitakia, kama hilo limekuudhi usiende Kenya, usinunue bidhaa kutoka Kenya, achana na lolote la Kenya kwa muda hadi shilingi ikae sawa against ksh.
unahisi hiyo ndo sababu Tsh inashuka thamani , una maanisha wakenya hawaji huku wala hawanunui vitu vyetu ?

Ila ccmu mungu anawaona hiiiiii #InJPMvoice
 
Kweli tunao vilaza wa kutupwa hapa nchini. Hebu ndugu zangu fanyeni hii hesabu,,,

Dola moja hivi sasa ni Ksh 129.50 kutoka 162..75 mwezi wa Januari mwaka huu. Hii ina maana shilingi ya Kenya imezidi kuimarika katika kipindi hicho.

Hiyo hiyo dola moja kwa sasa ni Tsh 2,575.00 kutoka 2,510.00 mwezi wa Janauari mwaka huu ikiwa na maana shilingi yetu inazidi kuporomoka.

Jamani tuache unafiki, tuna hali mbaya. Ni vigumu hata kufikiria kuna wakati pesa hizi zilikuwa na thamani sawa...kwa kweli CCM inaiangamiza taifa hili.
wavaa matshirt ya kijani hawatakuelewa watakuita ww ni chadema tu
 
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Kwanini hilo unalichukulia kuwa ni tatizo?
 
Niambie haya maelezo yooote uliyoandika yanahusianaje na mada hii? 👇 👇 👇 👇
Shillingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya

Unaweza kujikita kwenye context badala ya kwenda nje ya mada?

Tuanzie hapa:
Je, Exchange rate inauhusiano upi na ukuaji wa uchumi?
exchange rate ni indication ya export vs import yako , kama una export sana lzm watu wahitaji sn kuwa na hela yako na the higher the demand the strong the currency

kiufup hapa tukubaliane , hatupo kweny right track

Nyerere alikuwa anaproduce rawmaterials nying sana , hivyo alikuwa ana high exports na ndio maana currency ya KES vs Tsh hazikuwa na gap kubwa kama ilivyo siku hz

Ccmu wameweka kodi nying kwa production unit za ndan halaf wakaondoa tarrifs nying tu kwa imported products , hivyo wameua production ya ndani hivyo kuua export hivyo hata demand ya hela yetu duniani inakuwa ndogo na hivyo thamani inashuka


HII NI NAMNA MOJA EXCHANGE RATE INA UHUSIANO NA UCHUMI #EID-MUBARAK SHEIKH
 
s
Mbona hii simple tu.
Tanzania inataka ku protect wazalishaji wa ndani against wa kenya.

Maana yake import from Kenya will be expensive compare to export to Kenya.

Maana yake bidhaa za Tanzania zitakuwa cheap nchini kenya while bidhaa za kenya zitapotea kwenye soko la Tanzania.
sio kwel , bidhaa za kenya huwa zipo cheap sana kuliko huki kwetu , hivyo wanamport sana kwetu krb kila kitu hata vile vitu tunavifuata pamoja China
 
Tuna devalue our currency kuboresha manunuzi ya bidhaa zetu!! Si tunazalisha sana na tunawauzia sana wakenya....Sasa tykipandisha bei ya shilingi watanunuaje? China waliowahi kufanya mchezo huu dhidi ya dollar ... nadhani walifanikiwa.....!!!

Majibu ya hoja yako yapo mengi sana hili jibu la kwangu usilitilie maanani maana sina utaalamu wa foreign exchange!
Ila sisi tusinunue kenya?
 
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Samia yupo bize na kiwanda cha uteuzi, kutengua, na kucheka Cheka, na kununua magori ya timu za, mpira
 
Tatizo tunaingiza Kila kitu kutoka nje, Tanzania tunapaswa kuruhusu uwekezaji kwenye viwanda hasa vya sukari, bati na cement. Hivi vitu vimeshusha sana uchumi wa Nchi hii.
 
Back
Top Bottom