Sasa tutauza niniStress nyingine za kujitakia, kama hilo limekuudhi usiende Kenya, usinunue bidhaa kutoka Kenya, achana na lolote la Kenya kwa muda hadi shilingi ikae sawa against ksh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tutauza niniStress nyingine za kujitakia, kama hilo limekuudhi usiende Kenya, usinunue bidhaa kutoka Kenya, achana na lolote la Kenya kwa muda hadi shilingi ikae sawa against ksh.
Mwenyekiti wa bibi yako? Anadhalilishwa shangazi yako mjane huko kijijini kwa huduma mbovu za afya unajidai kumlinda mwenyekiti! Hauna akiliHuyu mcharuko hana adabu...anawezaje kudhalilisha Mwenyekiti namna hii na akaachwa...!?
Nakala kwa Lucas Mbwa Wa Shamba.Tunampongeza mama kwa shilingi 1 ya kenya kuwa sawa na shilingi 19 ya tanzania, bila mama ingeweza kuwa hata shilingi 25 ya tanzania
Mkuu hii ni market forces.yaani ni kwamba shiling ya kenya imekuwa mhimu sana kwetu kuliko shilingi yetu kwao.Maana yake ni kwamba tunafanya miamala mingi ya shilingi ya kenya kuliko wakenya wanavyofanya miamala ya shlingi ya TanzaniaNdugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya Kenya inabadilishwa kwa Tshs.19.82. Kulikoni?. BOT mko wapi?.
Bidhaa nyingi sana za plastic, soli za viatu, gundi, kiwi, dai, vikoi, cosmetics aina kibao, dawa za meno nk nkKenya kuwa nchi ya viwanda hiyo ni stori ya zamani. Hebu niambie kwa sasa Tanzania inaagiza vitu gani kutoka Kenya.
Mahaba kwa kenya yamezidi uwezo wako wa kufikiri.Bidhaa nyingi sana za plastic, soli za viatu, gundi, kiwi, dai, vikoi, cosmetics aina kibao, dawa za meno nk nk
VItu vyote hivyo vinapatilana ktk ubora wa juu zaidi.
Hata bidhaa wanazoagiza China ambazo nasi tunaagiza ila bado watuzidi ktk kuchagua ubora & design...wafanyabishara kibao wabongo huwa wanafuata nguo, vitambaa nk Kenya kuja kuuza Tz.
kenyanwallstreet.com
Sio nikujibu kiuchumi! Simple reason ni Kodi na tozo TU hapo hakuna kingine maana geographically wote tuko Eneo Moja na wote tuna bandari kwa hiyo hakuna kisingizio cha gharama za usafirishaji.Nimekuuliza TZ na KE tunanunua mafuta sote kwa Dollar nje ya nchi lakini huko kenya yanauzwa juu kwanini?
Nijibu kiuchumi.
Kwanini wanakuwa na Kodi na Tozo zinakuwa juu huko Kenya?Sio nikujibu kiuchumi! Simple reason ni Kodi na tozo TU hapo hakuna kingine maana geographically wote tuko Eneo Moja na wote tuna bandari kwa hiyo hakuna kisingizio cha gharama za usafirishaji.
Pesa Yako kupoteza thamani unachukulia kuwa si tatizo, Tena kwa uchumi unaotegemea kununua nje zaidi ya kuuza! Si ajabu Kuna ajuza alisema "afadhali sisi tunanunua mafuta bei ya chini kuliko Marekani kwenye vituo"Kwanini hilo unalichukulia kuwa ni tatizo?
Kisingizio chepesi sana hili. Ni kama kujaribu kujificha kwenye kivuli cha mchicha.Zimbabwe ana economic sanctions hiyo ndo tofauti.
Sidhani kama hili ni swali la kuuliza maana nilishasema kuhusu sera za serikali husika. Mfano ukinunua umeme unakatwa REA. Je, ni lazima iwekwe hapo!? Ni mipango ya serikali.Kwanini wanakuwa na Kodi na Tozo zinakuwa juu huko Kenya?
Wanataka kufidia kitu gani?
Ndio maana nikasema uchumi ni mathematics siyo emotions.Sidhani kama hili ni swali la kuuliza maana nilishasema kuhusu sera za serikali husika. Mfano ukinunua umeme unakatwa REA. Je, ni lazima iwekwe hapo!? Ni mipango ya serikali.
Weka takwimu🤣🤣🤣🤣🪑💺🎶📌Hapa umetudanganya sana mkuu.
Huyo waziri atakuambia ni shujaa ndiyo anasababishaHamia Malawi, alisikikika Waziri mmoja akisema
Wewe zidisha kuzalisha halafu uuze bidhaa zako kwa bei uitakayo.Pesa Yako kupoteza thamani unachukulia kuwa si tatizo, Tena kwa uchumi unaotegemea kununua nje zaidi ya kuuza! Si ajabu Kuna ajuza alisema "afadhali sisi tunanunua mafuta bei ya chini kuliko Marekani kwenye vituo"
We mchumi uchwara, kwa nini mafuta Kenya bei ni juu ya Tz!?Ndio maana nikasema uchumi ni mathematics siyo emotions.
Unatakiwa ulete evidences za kimahesabu siyo maneno matupu.
Nimekuuliza simple question kuhus Petrol Price umeanza kuruka ruka.
Basi tueleze Faida ya pesa ya kenya ukiwa nayo hapa nchini on top of Tsh.
Mashuzi unazalisha wewe hapo baada ya kushiba Leo.Wewe zidisha kuzalisha halafu uuze bidhaa zako kwa bei uitakayo.
Unazalisha nini hapo ulipo zaidi ya mashuzi tu?
huu ndio ukweli mchungu, hali itazidi kuwa mbaya Taifa linazidi kuingia mikopo mikubwa kwa ajili ya miradi ambayo hatma yake ni mashakaKweli tunao vilaza wa kutupwa hapa nchini. Hebu ndugu zangu fanyeni hii hesabu,,,
Dola moja hivi sasa ni Ksh 129.50 kutoka 162..75 mwezi wa Januari mwaka huu. Hii ina maana shilingi ya Kenya imezidi kuimarika katika kipindi hicho.
Hiyo hiyo dola moja kwa sasa ni Tsh 2,575.00 kutoka 2,510.00 mwezi wa Janauari mwaka huu ikiwa na maana shilingi yetu inazidi kuporomoka.
Jamani tuache unafiki, tuna hali mbaya. Ni vigumu hata kufikiria kuna wakati pesa hizi zilikuwa na thamani sawa...kwa kweli CCM inaiangamiza taifa hili.