Shilole aamua kuonyesha minyonyo Ubelgiji

Meneja wake utujuze, I love is my country, lavuuu...hahah

tafadhari meneja wao bongo flava na bongo movie unamjua acha kuzingua wewe huonagi ana waita pale jumba takatifu wanajiachia na viduku vyao
 
Duh!kama usanii ndo hivi!ipo shughuli ya kuwafunda mabint zangu.Hawachelewi kusema wao ni kioo cha jamii sasa sijui kuanika hayo MALAPA yake ndo kioo chenyewe!
 
Nimesikia "you heard" Clouds anasema eti ni bahati mbaya nguo ya ndan ilibenjuka so nyonyo ikachomoka bila yy kujua kutokana na mzuka wa stejin ila kama c unafiki anasikitishwa na aliemchukua iyo picha

Waongo hawa uwa wanajiuza kijanja ushenzi mtupu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…