Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shilole kama la masia hivi.Msanii Nguli na Mfanyabiashara mkubwa duniani wa vyakula. Shishi beibi amekamilisha usajili mpya kuelekea mwisho wa mwaka.
NB: Vijana! Uvumilivu ndio silaha kuelekea kufaidi matunda. Usikate tamaa zamu yako bado.
View attachment 3081534
Vijana wameona famililahi tu 🤣 mradi wanakula bureHaya mashangaz yalisha ukwaa ukijilengesha unaanza doze ya mbaazi..
Huyo lazimaWaache wambandue tu,,,sema sasa kama yupo kwenye grid ni kisanga.
Shilole aka lamasia ya bongo.Msanii Nguli na Mfanyabiashara mkubwa duniani wa vyakula. Shishi beibi amekamilisha usajili mpya kuelekea mwisho wa mwaka.
NB: Vijana! Uvumilivu ndio silaha kuelekea kufaidi matunda. Usikate tamaa zamu yako bado.
View attachment 3081534
Hata kubilingishana na furushi dizaini ya Shilole ni kula kwa jasho, hata tuliokuwa vijana miongo kadhaa iliyopita hayo yalikuwepo.Njaa hizi jamaa ukitizama sura yake hata hajiamini naona Shilole anawachezea vijaa uvulana wao sababu ya njaa zao.Sijui mabinti zake wa kike anawafundishaga nini na unaweza ukakuta kila kibenten chake kipya anawatambulisha.
Nilisikia Mocco Genius nae anatoka na mshangazi Nicole ,niliona juzi baada ya kuone video wapo Gym ndio ni kaamini vijana siku hizi wameamua kutoka na mishangazi,siku hizi hamna kujifichaficha Wamechoka na mizinga kutoka mabinti wa age yao.
Ila wakae wakijua tuu,mwanaume atakula kwa jasho watarukaruka ila,hawawezi kuikimbia asili yao na siku zote hela ya mwanamke haijawahi kuwa tamu na lazima watawaendesha na kuwanyanyasa.
I second this 👌.Garı hata iwe kubwa vipi au ndogo vipi, size ya siti ya dereva ni ileile.
So kama yalikuwepo ndio lazima ukifanye?Hata kubilingishana na furushi dizaini ya Shilole ni kula kwa jasho, hata tuliokuwa vijana miongo kadhaa iliyopita hayo yalikuwepo.