Sasa Shishi akisoma hapa aweza kumtosa jamaa🙂Hii ni mutual benefit yule dogo namjua ni mbabaishaji hajaingia kichwakichwa yupo kimkakati,nikikwambia hilo tengo analofanya kazi utashangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Shishi akisoma hapa aweza kumtosa jamaa🙂Hii ni mutual benefit yule dogo namjua ni mbabaishaji hajaingia kichwakichwa yupo kimkakati,nikikwambia hilo tengo analofanya kazi utashangaa
Aisee ndio maana vikichoka anavipiga chini.Hahahahah huo unene bila kumiliki "Iskander" missiles unaweza usimfikishe vina ukaishia kupiga kipara cha juu juu.
Akatoa Hadi song kwamba jike shupaDogo akileta ujinga atakula makofi, amuulize Mziwanda
Mfanya biashara mkubwa Duniani wa vyakula
Naomba nijiegeshe kwako kwa muda mpaka pale zamu yangu itakapofika coz naona foleni ni ndefu sana.Kila kijana atafikiwa🤣🤣
Shishi Baby mbona unapaniki badala ya kujibu swali?tuliza mshono
Hilo tego litaanza kumtegua yeye jamaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni mutual benefit yule dogo namjua ni mbabaishaji hajaingia kichwakichwa yupo kimkakati,nikikwambia hilo tengo analofanya kazi utashangaa
Tatizo lazima afunge ndoa 😁anakula K swafi na pesa juu, Hongera zake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nampongeza tajiri Shishi kwa kutoa ajira kwa kijana wa hovyo. Kijana atulie angalau afikishe krismas 2 kabla ya kumpasia kijiti kijana mwingine wa hovyo.
Sub si mapedesheee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napendekeza aongezewe mtu wa sub
Uko wapi😁Naomba nijiegeshe kwako kwa muda mpaka pale zamu yangu itakapofika coz naona foleni ni ndefu sana.
Ghetto,Uko wapi😁
Toa nafasi basiKila kijana atafikiwa🤣🤣
Wanajf machawa wauawe..Msanii Nguli na Mfanyabiashara mkubwa duniani wa vyakula. Shishi beibi amekamilisha usajili mpya kuelekea mwisho wa mwaka.
NB: Vijana! Uvumilivu ndio silaha kuelekea kufaidi matunda. Usikate tamaa zamu yako bado.
View attachment 3081534