dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Garı hata iwe kubwa vipi au ndogo vipi, size ya siti ya dereva ni ileile.Hizi hela hiziii!!Kijana shughuli anayo kuendesha hilo fuso😂.
Apewe muda kama Mzize au ShekhanSema dogo naona kama muoga muoga, sidhani kama atamaliza msimu huyu😂 lazma abebeshwe virago mapema.
Hii wazee wa kazi wanaita abnormal wide load, lazima itembee na escortMaisha yanakwenda kasi Sana.....SHILOLE kutoka kuwa mtoto kipotabo mpaka kuwa CONTAINER.....
Sidhani kama ni uoga, ni aibu, kuwa na mwanamke aina ya huyo mama ni unadhalilika mbele ya kamera za waandishi maana watu wanajua upo hapo kufanya kazi moja tu na huna mamlaka zaidi ya kufanya anachohitaji huyo aliyekuletea waandishi.Sema dogo naona kama muoga muoga, sidhani kama atamaliza msimu huyu😂 lazma abebeshwe virago mapema.
Mjusi yupo juu ya gogo la mbuyu.Tufumbe macho tumuombee kijana dua njema!🙏😎Msanii Nguli na Mfanyabiashara mkubwa duniani wa vyakula. Shishi beibi amekamilisha usajili mpya kuelekea mwisho wa mwaka.
NB: Vijana! Uvumilivu ndio silaha kuelekea kufaidi matunda. Usikate tamaa zamu yako bado.
View attachment 3081534
Kuna jamaa anasema,ili tusimtishe na kumnyong'onyeza,ni vema kutumia kiingereza cha "fomtu" Chee;JOB TRUE TRUE!Kazi kwelikweli
Mijadala ya kutekwa na kupotezwa kwa wananchi imekataliwa kujadiliwa bungeni.Bora watu wajikite kwenye maujinga tu.Maana kuwa rebels dhidi ya dhulma hawana guts.Watu mko vzur mna maMBs ya kutosha,mpaka mnafungua video kuona kibenten kipya
Hilo sio gurudumu ni tandamKijana na yeye kaamua kusogeza gurudumu
😆Kuna jamaa anasema,ili tusimtishe na kumnyong'onyeza,ni vema kutumia kiingereza cha "fomtu" Chee;JOB TRUE TRUE!
Lazima mtu uwe na pumziHilo sio gurudumu ni tandam