Landrover 109
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 384
- 597
Kazi iendelee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani jamaa yangu huyu dogo nimepiga naye kikosi kimoja na hapo ana kazi nzuri tu sijui ni nini kimemsibu yaani simmalizi..Sema dogo naona kama muoga muoga, sidhani kama atamaliza msimu huyu[emoji23] lazma abebeshwe virago mapema.
Zamu yake imefikaYaani jamaa yangu huyu dogo nimepiga naye kikosi kimoja na hapo ana kazi nzuri tu sijui ni nini kimemsibu yaani simmalizi..
Ila huyu dogo alikuwa mbabaishaji sana yawezekana yupo kimkakati.
Hii ni mutual benefit yule dogo namjua ni mbabaishaji hajaingia kichwakichwa yupo kimkakati,nikikwambia hilo tengo analofanya kazi utashangaaZamu yake imefika
Wacha akavune Kwa Mshangazi. Pesa na uteleziHii ni mutual benefit yule dogo namjua ni mbabaishaji hajaingia kichwakichwa yupo kimkakati,nikikwambia hilo tengo analofanya kazi utashangaa
Hapo huyo kijana ndugu jamaa na marafiki wanamtizama vile kamezwa na papa jike.Msanii Nguli na Mfanyabiashara mkubwa duniani wa vyakula. Shishi beibi amekamilisha usajili mpya kuelekea mwisho wa mwaka.
NB: Vijana! Uvumilivu ndio silaha kuelekea kufaidi matunda. Usikate tamaa zamu yako bado.
View attachment 3081534
Labda katumwa na system ajiweke ili kumchunguza shishiHii ni mutual benefit yule dogo namjua ni mbabaishaji hajaingia kichwakichwa yupo kimkakati,nikikwambia hilo tengo analofanya kazi utashangaa
Sijajua kwakweli yaani,ila amekuwa gumzo kwenye group la makamanda,kwa kazi yake sidhani kama angejiegesha pale nahisi kuna kituLabda katumwa na system ajiweke ili kumchunguza shishi
Kwa unene alionao shishi, hiyo K ilivyojificha huko ndani, kazi anayo adse huyu kijanaHizi hela hiziii!!Kijana shughuli anayo kuendesha hilo fuso😂.
Yatakuwa matumizi mabaya ya lasirimali za system.Labda katumwa na system ajiweke ili kumchunguza shishi
Ikifika 2025 familia hamjaniletea mchumba bas ntakua fungu la kukosaMpaji Mungu unakwama wapi totoo?
Heeeh tena!!!🙄🙄🙄Ikifika 2025 familia hamjaniletea mchumba bas ntakua fungu la kukosa
Tafanyaje sasaHeeeh tena!!!🙄🙄🙄
Watu hawataki jua ya wajaaa wanajilipua tu hahahaha!