cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mimi nilikuwa namkubali kiba, ila kwa madharau nikaona nimpotezee tu na hizo pride zakeUnashindana vipi na mwanamke kama siyo uboya?
Huoni madhara yake hata tuliokuwa tunampenda tumemdharau?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilikuwa namkubali kiba, ila kwa madharau nikaona nimpotezee tu na hizo pride zakeUnashindana vipi na mwanamke kama siyo uboya?
Huoni madhara yake hata tuliokuwa tunampenda tumemdharau?
Wewe una una akili za shake well before use, kama Ali alimwalika Shilole why akane hakumwalika? huu si ndio uboya wenyewe?Sema kumbe hata humu kuna watu wana akili ka za Youtube tu za Tazama hapa Magufuli afufuka.
Kwa heshima ambayo shilole alipewa siku ya listening party na inavyojulikana shilole alishawahi kukiri kua yeye si shabiki wa Ali ila Ali hakuona vibaya akamualika Bidada na kuna watu wengi ambao si kampani ya Ali walialikwa kama Jux pia..Lakini alichokuja kukifanya Huyu Bidada kwenye Re-Fresh kusema anamzid Ali na yeye ni Brand ilihali mtu alikua amekualika hadu kwenye shughuli yake ilikua ni dharau kwa Ali,So alichofanya Ali nae ni kujifanya hamjui kua Alivizia kwenye Shughuli ile na kalikana naona leo lipo lina lialia kwenye vyombo vya habari vyote.
Kiukweli ukiachana na tabia ya Ali lakini shilole mzinguaji sana ndio maana naye mskaji kaamua kumzingua mbona kwenye interview Ali kaulizwa kuhusu mange akajibu vizuri kwamba lile gazeti la mange analosema Ali alitaka kumtafuna hoteli ila akakataa mpaka Ali akamchuniaKweli shishi huwa mropokaji ndio ila Mimi sikujua hyo event ya Ali Hadi nilipomuona shilole alipoitwa na kuongea na kiba akiwa anaona, tena shishi alishindwa kuvaa viatu video zake Zika trend kuliko tukio lake huyo kiba.
Mjingamjinga nani sasaMjingamjinga tu.
Unaweza kusema shilole alisema kipi kibaya?Kiukweli ukiachana na tabia ya Ali lakini shilole mzinguaji sana ndio maana naye mskaji kaamua kumzingua mbona kwenye interview Ali kaulizwa kuhusu mange akajibu vizuri kwamba lile gazeti la mange analosema Ali alitaka kumtafuna hoteli ila akakataa mpaka Ali akamchunia
Unaona ufahari kudanganya sio ?unafaidika nini?Kweli shishi huwa mropokaji ndio ila Mimi sikujua hyo event ya Ali Hadi nilipomuona shilole alipoitwa na kuongea na kiba akiwa anaona, tena shishi alishindwa kuvaa viatu video zake Zika trend kuliko tukio lake huyo kiba.
Kwenye ile page kuna mtu ndio anaisimamia sio yeye Ali personally yeye alichofanya ni kubaliki waalikwa by the way shilole ndio alianza kuzingua yeye Ali kamaliza kama kawaida yakeWewe una una akili za shake well before use, kama Ali alimwalika Shilole why akane hakumwalika? huu si ndio uboya wenyewe?
Sasa yeye shilole si alisema ye brand kubwa kamzidi Ali kila kitu mwenzie ndio kamwambia yeye hamjui hata kwenye ile event hakumwalika alialikwa na wafanyakazi wakeUnaweza kusema shilole alisema kipi kibaya?
Unasema hukumwalika wakati kwenye page yako umempost na kumtag umemtagi leo unasema hukumwalika.NUKUU YA SHILOLE:
Anandika shilole katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram.
“Hapana kila siku nakosewa nitaka kuongea washauri wangu wanasema nikae kimya.
Hili nimekosewa siwezi kukaa kimya mnanionea
officialikiba nakushukuru sana leo umeuthibitishia ulimwengu mambo yafuatayo :
Una kiburi cha kishamba, unavimba na kupandisha mabega katika namna isiyostahili.
Huna utu ambao watu wako wanakupamba kwamba uko nao. Sawa mimi na wewe hatuna mazoea (Hilo ni kweli kabisa), lakini mimi na wewe tupo katika field moja. Ningeweza kuja kwenye shughuli yako kuonesha upendo tu hata kama sijaalikwa, ungekuwa na utu, haikuwa na haja kwenda redio na kusema “SIJAMUALIKA” : ili mimi nionekane nilivamia tu shughuli tu.
Shame on you Ali. (ila kwa tabia zile za kwenda Marekani kuomba dada zako naniliu hushangazi)
Umethibitisha kwamba wewe hauko ‘organized’. Kwa sababu, utasema nilipostiwa kwenye page yako na kutafutwa na watu wako wakati hawajakutaarifu. Kwa hiyo kwa ukubwa tunaotangaziwa unao Bwana Ali, unataka kusema hujui hata kilichopostiwa kwenye page yako rasmi katika siku yako muhimu.
Kwa hiyo hata Nasibu uliyeshindana naye miaka mingi akakugaragaza angeweza kualikwa bila wewe kujua? (Nasibu humuwezi tusikudanganye).
Wewe ndo msanii wetu wa kimataifa, SIJAPENDA.
Kwa ufupi, sikuenda kwenye shughuli kama mvamizi. Nilialikwa, nimescreenshot post yake na kupost hapo juu.
Shughuli ile ya hovyo hovyo na kupoa kama uji wa mgonjwa, ilihitaji uwepo wangu. YEEES, Niliwasaidia kuchangamsha.
Katika mazingira ya sasa mimi hakuna lolote ninalofaidika kwa kwenda kwenye shughuli ya Ali, sana sana nilienda kumuongezea followers.
Kama nahukumiwa, nihukumuni kwa kupenda shughuli za wenzangu. Kila nikialikwa Zuwena mimi nakweenda kuonesha upendo.
Sitaacha kufanya hivyo kwasababu ya watu waliokosa utu na shukrani kama Ali.
Aah hasira zimeisha, njooni Shishi Food tule ubwabwa”
View attachment 1990886
Kwani uongo hajazidiwa? Kama hamjui ilikuwaje akapost mwaliko inst?Sasa yeye shilole si alisema ye brand kubwa kamzidi Ali kila kitu mwenzie ndio kamwambia yeye hamjui hata kwenye ile event hakumwalika alialikwa na wafanyakazi wake
Kabisaa kiba mnafki sanaUnasema hukumwalika wakati kwenye page yako umempost na kumtag umemtagi leo unasema hukumwalika.
Leo kaachia video yake ft Patoranking hapa angekuwa Sadala mngesema anapenda kiki na mtu wenyewe Shilole Mswahili hajui kukaa kimya.
Ila kila siku hapotei au kupotea kup?KIBURI NA MAJIVUNO NI MOJA YA VITU VINAVYOMPOTEZA KIBA
Jamaa hana washauri wazuri
Nina mashaka kama una akili timamu, Yani Ali ni wa kushindana na mama ntilie?Sasa yeye shilole si alisema ye brand kubwa kamzidi Ali kila kitu mwenzie ndio kamwambia yeye hamjui hata kwenye ile event hakumwalika alialikwa na wafanyakazi wake
Wewe inakuuma nini??Maisha yake ana uhuru wa kuishi atakavyo wewe unawashwa wapi?au unam fund kwa lolote mpaka hapo alipofika!!??Kiba ana dharau za kijinga sana yule
Mjingamjinga Ali, kwani vipi? Unaweza kuusafisha mkaa wewe?Mjingamjinga nani sasa
Kuna lolote unalochangia kwenye maisha yake mpaka ujihusishe ku judge life style ya mtu?? Uswahil wenu baki n nao sio kila mtu ana mind pigo hizo..mwachen aishi atakavyooKabisaa kiba mnafki sana
Kumbe huyu dada alitangulia kuleta ushubwada!!Sema kumbe hata humu kuna watu wana akili ka za Youtube tu za Tazama hapa Magufuli afufuka.
Kwa heshima ambayo shilole alipewa siku ya listening party na inavyojulikana shilole alishawahi kukiri kua yeye si shabiki wa Ali ila Ali hakuona vibaya akamualika Bidada na kuna watu wengi ambao si kampani ya Ali walialikwa kama Jux pia..Lakini alichokuja kukifanya Huyu Bidada kwenye Re-Fresh kusema anamzid Ali na yeye ni Brand ilihali mtu alikua amekualika hadu kwenye shughuli yake ilikua ni dharau kwa Ali,So alichofanya Ali nae ni kujifanya hamjui kua Alivizia kwenye Shughuli ile na kalikana naona leo lipo lina lialia kwenye vyombo vya habari vyote.
Maisha yake akijifungia ndani !!akiyaleta mtandaoni yanatuhusu wote...upoKuna lolote unalochangia kwenye maisha yake mpaka ujihusishe ku judge life style ya mtu?? Uswahil wenu baki n nao sio kila mtu ana mind pigo hizo..mwachen aishi atakavyoo
KIBURI NA MAJIVUNO NI MOJA YA VITU VINAVYOMPOTEZA KIBA
Jamaa hana washauri wazuri