Shilole amchana Alikiba

Wewe una una akili za shake well before use, kama Ali alimwalika Shilole why akane hakumwalika? huu si ndio uboya wenyewe?
 
Kweli shishi huwa mropokaji ndio ila Mimi sikujua hyo event ya Ali Hadi nilipomuona shilole alipoitwa na kuongea na kiba akiwa anaona, tena shishi alishindwa kuvaa viatu video zake Zika trend kuliko tukio lake huyo kiba.
Kiukweli ukiachana na tabia ya Ali lakini shilole mzinguaji sana ndio maana naye mskaji kaamua kumzingua mbona kwenye interview Ali kaulizwa kuhusu mange akajibu vizuri kwamba lile gazeti la mange analosema Ali alitaka kumtafuna hoteli ila akakataa mpaka Ali akamchunia
 
Unaweza kusema shilole alisema kipi kibaya?
 
Kweli shishi huwa mropokaji ndio ila Mimi sikujua hyo event ya Ali Hadi nilipomuona shilole alipoitwa na kuongea na kiba akiwa anaona, tena shishi alishindwa kuvaa viatu video zake Zika trend kuliko tukio lake huyo kiba.
Unaona ufahari kudanganya sio ?unafaidika nini?
 
Wewe una una akili za shake well before use, kama Ali alimwalika Shilole why akane hakumwalika? huu si ndio uboya wenyewe?
Kwenye ile page kuna mtu ndio anaisimamia sio yeye Ali personally yeye alichofanya ni kubaliki waalikwa by the way shilole ndio alianza kuzingua yeye Ali kamaliza kama kawaida yake
 
Unasema hukumwalika wakati kwenye page yako umempost na kumtag umemtagi leo unasema hukumwalika.

Leo kaachia video yake ft Patoranking hapa angekuwa Sadala mngesema anapenda kiki na mtu wenyewe Shilole Mswahili hajui kukaa kimya.
 
Sasa yeye shilole si alisema ye brand kubwa kamzidi Ali kila kitu mwenzie ndio kamwambia yeye hamjui hata kwenye ile event hakumwalika alialikwa na wafanyakazi wake
Nina mashaka kama una akili timamu, Yani Ali ni wa kushindana na mama ntilie?

Siku akiambiwa ana kibamia atavuwa zipu kuwaonesha watu kuwa hana kimamia?

Ni ujinga mtupu Ali kujiweka level na mama ntilie.
 
Kumbe huyu dada alitangulia kuleta ushubwada!!
mseing kweli huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…