Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Naona kamkosea sana shilole wa watu alienda kwenye shughuli yake then kaenda kumkana Ili azalilike, what I know ma gentleman Hawa act tabia za Kiba
So watu wawil waliomgonga wameshirikiana kumuimba!!? Wanawake wengi ni wapumbavu sana when it comes to sex hasa hawa masupa staa uchwara.. wanagawa gawa hovyo hovyo...ni sawa na hawa akina dada mtaan siku anaolewa unakuta waalikwa kibao wako wanamchora tu na kumuonea huruma muoaji maana washapita naye mpaka sio vizur ..Afu Nuhu mziwanda akamshirikisha kwenye wimbo wa jike shupa.
Hayakuhusu chochote ila unajichomeka kujihusisha tu kisa una ka ando kako ka wiki hako..hujaalikwa kwenye event ya watu wastaarabu mara ushakurupuka unajifanya eti ulienda kuichangamsha ...unadhan kila even watu wanataka mikelele??Maisha yake akijifungia ndani !!akiyaleta mtandaoni yanatuhusu wote...upo
Ndio hivo mkuu sema Ali hakujibu hapohapo..sema hawa wasanii wakike wa bongo mi hua hata siwaelewi kabisa yani Namuonaga Mimi Zuchu ataendelea kua mkubwa yeye Huyu aendelee kupikia kina Baba Levo tu MjiniKumbe huyu dada alitangulia kuleta ushubwada!!
mseing kweli huyu
Malaya haeshimiki,.Kama ulichoandika ni kweli unashindwa vipi kumuheshimu mwanamke uliyesex naye?
Huyu mtoto mshamba sana tena sana.
Wabongo hampendi kuambiwa ukweli, hajaalikwa shilole alopenyeza rushwa kwa admin wa page za kiba akapata muhariko batiliNaona kamkosea sana shilole wa watu alienda kwenye shughuli yake then kaenda kumkana Ili azalilike, what I know ma gentleman Hawa act tabia za Kiba
Sadala anaheshima gani Kwa mchangudoa wake??Huyu inawezekana hata heshima kwa wanawake hana.
Ni mjinga tu huyu dada unaonekana ni mmoja wao aliyetoswa kutafunwa akajenga chukiUnaona ufahari kudanganya sio ?unafaidika nini?
Hii comment ni kutoka kwalo matola? miaka ya nyuma umetuhenyesha sana kuhusu kiba. cc. Evelyn SaltKama ulichoandika ni kweli unashindwa vipi kumuheshimu mwanamke uliyesex naye?
Huyu mtoto mshamba sana tena sana.
Mmmmmm! Kumbe ndivyo mnavyotusema tunaoishi Buza?Yani huyo uswalihili mwingi Sana Kama anaish
Buza
Mpaka wimbo ataimba kwa kushirikiana na lile lidowea ukokoKiba hii shuhuli alishamaliza tangu Jana
Huyu mdangaj shishi kinachomsumbua n
Uswalihili alaf kina hata mjibu tena
Ila shilole atahangaika hii week yote
Kaona haitosh kaamua kumuweka na
Sadala ndan kwamba hamuwez
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Shishi kiufupi n kama bata to
[emoji1][emoji1][emoji1]
Sadala anaheshima gani Kwa mchangudoa wake??