Shilole ni mkubwa kuliko Ali kiba kamzidi umaarufu na followersWabongo hampendi kuambiwa ukweli, hajaalikwa shilole alopenyeza rushwa kwa admin wa page za kiba akapata muhariko batili
Huo ndo ukweli
lini kapotea? hata kimaisha kakushinda?KIBURI NA MAJIVUNO NI MOJA YA VITU VINAVYOMPOTEZA KIBA
Jamaa hana washauri wazuri
duuhShilole ni mkubwa kuliko Ali kiba kamzidi umaarufu na followers
Lakini new comers wanakuja na kumpiga overtake, hivyo kama thamani haishuki na pia haipandi. Ushahidi wa facts(numbers) unaonyesha Rayvanny na Harmonize wanamgalagaza kwenye maeneo mengi, watoto wa juzi.
Ana talent na ana diehard fans ambavyo ni mtaji mzuri sasa what he lacks ni connection kati yake na fans na ndiyo kinachomdumaza kagota hapo alipo hasongi mbele, vyote vinasababishwa na dharau pamoja na majivuno. Imagine angekuwa na mafanikio kama ya Diamond ya mpaka kufanya collaborations na American artists si wasanii wote wa Kibongo angewaona kama mavi.
Katoa album, Harmonize karibu atatoa na Diamond yuko mbioni hapo ndiyo utaona tofauti ya ukubwa wa kila msanii.
Showbiz industry si kulegeza sauti peke yake, ni kufanya investment za nguvu, kusukuma products(nyimbo) zako aggressively sokoni na kutengeneza obvious connection kwa msanii husika na fans kwani fans ndiyo humbeba artist.
Kumkaza demu chooni inanoga sana, hasa kama choo ni kisafir na kina vitu muhimuKinachomuuma Shilole alimtombea chooni walivokuwa kwenye Fiesta Mwanza kipindi hicho.Sasa kila akikumbuka roho inamuuma sana.
Chalii analalamikiwa sana kwa hili kama ni kweli ajue dunia tunapita tu!😂 Maringo hayajawahi kuwa na faidaKIBURI NA MAJIVUNO NI MOJA YA VITU VINAVYOMPOTEZA KIBA
Jamaa hana washauri wazuri
Unamaana gani kusema mke wake yupo kama yeye?Halafu kaoa mke sahihi yupo kama yeye.
Mpinge kwa facts, followers ni moja ya kigezo cha popularity ya mtu husika. Wale followers ni watu na si mbuzi.duuh
kizazi cha followers bana
Yeah, MEDIOCRE is what he is and what he'll always be. Anaishi kwa kutegemea mipasho baada ya kuishiwa contents, hapo atakimbilia kutafuta jina la kumtunga Shilole kama muimba taarabu au atamtungia wimbo just to 'console' himself na fans wake 'watachekelea' coz he knows the thinking capacity of his hardcore fans.
HahahahaWewe una una akili za shake well before use, kama Ali alimwalika Shilole why akane hakumwalika? huu si ndio uboya wenyewe?
Dada yangu una moyo Sana japo asilimia kubwa wakimsagia kunguni alikiba ila wewe umeamua usimame na kibaLong Live the King, [emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine waluga luga wa Sigimbi huko lakini hapa wanakaza vidole gumba "KIBA ANA DHARAU, HANA PESA, HAFIKI KOKOTE" lol,
Ulimuonea wapi wewe mshamba,
Bwana Mdogo yule hadi Kilimanjaro anapanda,
[emoji1][emoji28]
Nimetoa credibility ya comments zako zote (hata hiyo ya SHILOLE kugongwa chooni) unaonekana unaleta story za vijiweni bila kuwa na uhakika YULE WA KWENYE JIKE SHUPA SI SHILOLE.Afu Nuhu mziwanda akamshirikisha kwenye wimbo wa jike shupa.
Kiba amepungukiwa nini?Mimi nilikuwa namkubali kiba, ila kwa madharau nikaona nimpotezee tu na hizo pride zake
Hakuna unachojua kiba alitangaza kuachia video ya bwana mdogo muda mrefu tu, huyo muuza nyapu ndio kaona atembelee upepo wa kiba.Kiki kajipa mwenyewe kumtaja Shishi kwa kebehi ilhali akijua Shishi ni talkative character na haogopi mtu yoyote hivyo lazima atajibu na ugonvi wao utatrend, ndiyo maana katoa video leo.