Shilole amchana Alikiba

Shilole amchana Alikiba

Msanii ni 'bidhaa', hawatakiwi kuongea ongea hovyo, mameneja (wanaotafuta masoko) wao ndio wanatakiwa waongee. Msanii kuwa rahisi kuhojiwa vitu ambavyo sio vya msingi, vinamharibia soko lake.
 
Masson anachekelea muda huu zogo limehamia mtaa wa allminat alie kosea mashart. Tena huyo mama atamtia aibu sir allminat mwaribifu wa mpira.
 
Lakini new comers wanakuja na kumpiga overtake, hivyo kama thamani haishuki na pia haipandi. Ushahidi wa facts(numbers) unaonyesha Rayvanny na Harmonize wanamgalagaza kwenye maeneo mengi, watoto wa juzi.
Ana talent na ana diehard fans ambavyo ni mtaji mzuri sasa what he lacks ni connection kati yake na fans na ndiyo kinachomdumaza kagota hapo alipo hasongi mbele, vyote vinasababishwa na dharau pamoja na majivuno. Imagine angekuwa na mafanikio kama ya Diamond ya mpaka kufanya collaborations na American artists si wasanii wote wa Kibongo angewaona kama mavi.
Katoa album, Harmonize karibu atatoa na Diamond yuko mbioni hapo ndiyo utaona tofauti ya ukubwa wa kila msanii.
Showbiz industry si kulegeza sauti peke yake, ni kufanya investment za nguvu, kusukuma products(nyimbo) zako aggressively sokoni na kutengeneza obvious connection kwa msanii husika na fans kwani fans ndiyo humbeba artist.
images (4) (5).jpeg
 
Long Live the King, [emoji23][emoji23][emoji23]

Wengine waluga luga wa Sigimbi huko lakini hapa wanakaza vidole gumba "KIBA ANA DHARAU, HANA PESA, HAFIKI KOKOTE" lol,
Ulimuonea wapi wewe mshamba,

Bwana Mdogo yule hadi Kilimanjaro anapanda,
[emoji1][emoji28]
 
Yeah, MEDIOCRE is what he is and what he'll always be. Anaishi kwa kutegemea mipasho baada ya kuishiwa contents, hapo atakimbilia kutafuta jina la kumtunga Shilole kama muimba taarabu au atamtungia wimbo just to 'console' himself na fans wake 'watachekelea' coz he knows the thinking capacity of his hardcore fans.
 
Long Live the King, [emoji23][emoji23][emoji23]

Wengine waluga luga wa Sigimbi huko lakini hapa wanakaza vidole gumba "KIBA ANA DHARAU, HANA PESA, HAFIKI KOKOTE" lol,
Ulimuonea wapi wewe mshamba,

Bwana Mdogo yule hadi Kilimanjaro anapanda,
[emoji1][emoji28]
Dada yangu una moyo Sana japo asilimia kubwa wakimsagia kunguni alikiba ila wewe umeamua usimame na kiba
 
Kiki kajipa mwenyewe kumtaja Shishi kwa kebehi ilhali akijua Shishi ni talkative character na haogopi mtu yoyote hivyo lazima atajibu na ugonvi wao utatrend, ndiyo maana katoa video leo.
Hakuna unachojua kiba alitangaza kuachia video ya bwana mdogo muda mrefu tu, huyo muuza nyapu ndio kaona atembelee upepo wa kiba.
 
Hii ishu haitofautiani sana na ile ya diamond alipoenda kurekodi Nigeria ,Davido alimpeleka Diamond kwenye party ya P Square ,baada ya week P Square wanahojiwa kwamba mlijisikiaje kumwona diamond kwenye shughuli yenu akajibu simfahamu ,hata sikujua huyo mto alikwepo
 
Back
Top Bottom