Shilole apiga shangwe kuu mwanae kupata Div. 1 kidato cha sita. Asema kuna wakati mama huhatarisha maisha yake kwaajili ya mwanae

Shilole apiga shangwe kuu mwanae kupata Div. 1 kidato cha sita. Asema kuna wakati mama huhatarisha maisha yake kwaajili ya mwanae

Mama ntilie wa kishua, Shilole jana ameonesha furaha yake baada ya mwanae Joyce kupata ufaulu wa Division 1 ya 7 akidai yeye aliishia darasa la 7b chini mti. Shilole amesema mwanae amemaliza shule ya emperial kidato cha sita huku akisema ukifika katika shule hiyo unakuta bendera za mataifa mengi nje.

Shilole kasema mwanae anampeleka Canada akasome biashara ili aje amsaidie kuendesha ofisi zake kwa sababu ana mpango wa kufungua matawi mengine.

Shilole amesema kwenye kusomesha wakati anajitafuta ameshaweka hadi hati ya nyumba kwaajili ya watoto wake, Shilole amesema amejirisk vitu vingi sana katika kutafuta ada za watoto wake ikiwemo kuweka vitu rehani kama TV nk.

Shilole amesema katika kusomesha mama anaweza kujirisk hata yeye mwenyewe kwaajili ya mtoto.

Video kwa hisani ya Millard

Yani huyuhuyu Shilole akicheza nusu uchi na strong man Paul Kagame Ubelgiji? Yani nilipoona hii picha nimemdharau Kagame. Nilidhani Kagame hapendi upuuzi.

Proved Jestkilla zitto junior Smart911 Victoire King Kong III

1305034_image.jpg
 
Kila la heri kwa shishi bebe. Binafsi namkubali. Ana akili sio akina fedenge hayajiongezi. Anajua kusimamia malezi ya watoto wake. Sio kama Kajala na wengineo.
Changamoto ya shilole Ni kuolewa na tuvijana vidogo na mabisho anapenda sna dudu za mabishoo


Ni hatari kwa mama Kam yey kulilia mapenzi na mboo za kina uchembbe,mziwandaa hadhari na kuwapeleka nyumbani kwakwe kwenda kuliwa na kina mziwandaa
 
Changamoto ya shilole Ni kuolewa na tuvijana vidogo na mabisho anapenda sna dudu za mabishoo


Ni hatari kwa mama Kam yey kulilia mapenzi na mboo za kina uchembbe,mziwandaa hadhari na kuwapeleka nyumbani kwakwe kwenda kuliwa na kina mziwandaa
Tumseme au tumuache?
Atakua anapenda kukontroo mwanaume sasa anaona hawa vijana tudogo rahisi kuvipelekesha. Ndiyo maana anapenda kijana asiye na hela ili ampelekeshe.
 
Mama ntilie wa kishua, Shilole jana ameonesha furaha yake baada ya mwanae Joyce kupata ufaulu wa Division 1 ya 7 akidai yeye aliishia darasa la 7b chini mti. Shilole amesema mwanae amemaliza shule ya emperial kidato cha sita huku akisema ukifika katika shule hiyo unakuta bendera za mataifa mengi nje.

Shilole kasema mwanae anampeleka Canada akasome biashara ili aje amsaidie kuendesha ofisi zake kwa sababu ana mpango wa kufungua matawi mengine.

Shilole amesema kwenye kusomesha wakati anajitafuta ameshaweka hadi hati ya nyumba kwaajili ya watoto wake, Shilole amesema amejirisk vitu vingi sana katika kutafuta ada za watoto wake ikiwemo kuweka vitu rehani kama TV nk.

Shilole amesema katika kusomesha mama anaweza kujirisk hata yeye mwenyewe kwaajili ya mtoto.

Video kwa hisani ya Millard

Nampongeza Shishi,ni mpambanaji sana
 
Back
Top Bottom