Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani huyuhuyu Shilole akicheza nusu uchi na strong man Paul Kagame Ubelgiji? Yani nilipoona hii picha nimemdharau Kagame. Nilidhani Kagame hapendi upuuzi.Mama ntilie wa kishua, Shilole jana ameonesha furaha yake baada ya mwanae Joyce kupata ufaulu wa Division 1 ya 7 akidai yeye aliishia darasa la 7b chini mti. Shilole amesema mwanae amemaliza shule ya emperial kidato cha sita huku akisema ukifika katika shule hiyo unakuta bendera za mataifa mengi nje.
Shilole kasema mwanae anampeleka Canada akasome biashara ili aje amsaidie kuendesha ofisi zake kwa sababu ana mpango wa kufungua matawi mengine.
Shilole amesema kwenye kusomesha wakati anajitafuta ameshaweka hadi hati ya nyumba kwaajili ya watoto wake, Shilole amesema amejirisk vitu vingi sana katika kutafuta ada za watoto wake ikiwemo kuweka vitu rehani kama TV nk.
Shilole amesema katika kusomesha mama anaweza kujirisk hata yeye mwenyewe kwaajili ya mtoto.
Video kwa hisani ya Millard
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 lazima nimpandie mnazi mda huu qmmmmmqYani huyuhuyu Shilole akicheza nusu uchi na strong man Paul Kagame Ubelgiji. Yani nilipoona hii picha nimemdharau Kagame. Nilidhani Kagame hapendi upuuzi.View attachment 2687560
Changamoto ya shilole Ni kuolewa na tuvijana vidogo na mabisho anapenda sna dudu za mabishooKila la heri kwa shishi bebe. Binafsi namkubali. Ana akili sio akina fedenge hayajiongezi. Anajua kusimamia malezi ya watoto wake. Sio kama Kajala na wengineo.
Mwaka gani alipiga picha na kagameYani huyuhuyu Shilole akicheza nusu uchi na strong man Paul Kagame Ubelgiji. Yani nilipoona hii picha nimemdharau Kagame. Nilidhani Kagame hapendi upuuzi.
Jestkilla zitto junior Smart911 Victoire King Kong III
View attachment 2687560
Cha ajabu hao ndio wanaotoboa kwenye life,life Sio vyeti bali ni unajua Nini kuhusu life.Kajala mtoto yupo kwenye reality show na kina Marioo maisha si kuchagua bhana
Picha iyo hapo nimeiweka. 2011 ubelgiji. Hujamuona hapo Kagame?Mwaka gani alipiga picha na kagame
angesoma shule za serikali ningemnyooshe mikono ila kama ni private wagawaji wa majibu hapana na wasiwasi na hio div 1View attachment 2687577
Hongera sana Joyce binti wa Shilole kwa kufaulu kidato cha sita.
HGE.Usikute div 1 yenyewe ya HKL
HGE.Comb gani?
Fekero hii bwanaPicha iyo hapo nimeiweka. 2011 ubelgiji. Hujamuona hapo Kagame?
Bibi yako anayo?Usikute div 1 yenyewe ya HKL
Tumseme au tumuache?Changamoto ya shilole Ni kuolewa na tuvijana vidogo na mabisho anapenda sna dudu za mabishoo
Ni hatari kwa mama Kam yey kulilia mapenzi na mboo za kina uchembbe,mziwandaa hadhari na kuwapeleka nyumbani kwakwe kwenda kuliwa na kina mziwandaa
Sasa dogo wewe hata wazazi wako wakishangilia nani anawajua hapa mjini? Pengine hata kijijini kwenu hamfahamiki.Mbona ata sisi tulipata tena zaidi yake na wazazi wetu hawashandilii huo ni ushamba tu
Nampongeza Shishi,ni mpambanaji sanaMama ntilie wa kishua, Shilole jana ameonesha furaha yake baada ya mwanae Joyce kupata ufaulu wa Division 1 ya 7 akidai yeye aliishia darasa la 7b chini mti. Shilole amesema mwanae amemaliza shule ya emperial kidato cha sita huku akisema ukifika katika shule hiyo unakuta bendera za mataifa mengi nje.
Shilole kasema mwanae anampeleka Canada akasome biashara ili aje amsaidie kuendesha ofisi zake kwa sababu ana mpango wa kufungua matawi mengine.
Shilole amesema kwenye kusomesha wakati anajitafuta ameshaweka hadi hati ya nyumba kwaajili ya watoto wake, Shilole amesema amejirisk vitu vingi sana katika kutafuta ada za watoto wake ikiwemo kuweka vitu rehani kama TV nk.
Shilole amesema katika kusomesha mama anaweza kujirisk hata yeye mwenyewe kwaajili ya mtoto.
Video kwa hisani ya Millard