Kajala nae katoboa na huyo Paula? Au mkuu wewe kutoboa / mafanikio unayachukuliaje? Yaani katika kujua kwako kote maisha na kutoboa mifano yako ni Kajala na mwanae? [emoji1]Cha ajabu hao ndio wanaotoboa kwenye life,life Sio vyeti bali ni unajua Nini kuhusu life.
Kama ukipata binti anaye jituma kusoma shukuru Mungu, siku hizi wadogo zetu wa kike marole model wa ni wale wanotrend na kujiuza mtaandaoni aka wadangaji ambao wanaamini mafanikio watayapata kwa kugawa papuchi.Mama ntilie wa kishua, Shilole jana ameonesha furaha yake baada ya mwanae Joyce kupata ufaulu wa Division 1 ya 7 akidai yeye aliishia darasa la 7b chini mti. Shilole amesema mwanae amemaliza shule ya emperial kidato cha sita huku akisema ukifika katika shule hiyo unakuta bendera za mataifa mengi nje.
Shilole kasema mwanae anampeleka Canada akasome biashara ili aje amsaidie kuendesha ofisi zake kwa sababu ana mpango wa kufungua matawi mengine.
Shilole amesema kwenye kusomesha wakati anajitafuta ameshaweka hadi hati ya nyumba kwaajili ya watoto wake, Shilole amesema amejirisk vitu vingi sana katika kutafuta ada za watoto wake ikiwemo kuweka vitu rehani kama TV nk.
Shilole amesema katika kusomesha mama anaweza kujirisk hata yeye mwenyewe kwaajili ya mtoto.
Video kwa hisani ya Millard
99.3 point of correction."Matokeo ya form six mwaka huu 99% wamefaulu"-Nacte
Mchumi ajayeHGE.
HGEComb gani?
mume wake wa mwanzo wakati akiwa igungaHiyo Mtoto alizaa na Mziwanda au Uchebe?
Wacha dharau bro hizo 1 za HKL ndo zimetufanya wengine leo hii tunaheshimika makazini mwetu, tunaendesha vitengo, tunaheshimika katika jamii zetu, zimetupa exposure ndani na nje ya nchi na kubwa tunazilea familia zetu kwa kuzipatiaa mahitaji yote muhimu...kwa hiyo, kaa kwa kutulia maisha ni kuchagua.Usikute div 1 yenyewe ya HKL
Amesema mda mwingine alijirisk hadi yeye mwenyewe nadhani hii ni moja ya tukio 😄Yani huyuhuyu Shilole akicheza nusu uchi na strong man Paul Kagame Ubelgiji? Yani nilipoona hii picha nimemdharau Kagame. Nilidhani Kagame hapendi upuuzi.
Proved Jestkilla zitto junior Smart911 Victoire King Kong III
View attachment 2687560
Kafanana na mama yake 😀View attachment 2687577
Hongera sana Joyce binti wa Shilole kwa kufaulu kidato cha sita.
Amesema kipindi anajitafuta sasa hv ameshajipataKama ada ya shule za kibongo tu aliuza hadi thamani zake za ndani mixer kujirisk hadi yeye mwenyewe🤔
Wewe nae unauliza kijinga.Kumbe ni One ya 7..
Kasoma shule gani, tuanzie hapo kwanza..?
Sina muda ya kusikiliza clip MzeeMamaWewe nae unauliza kijinga.
Sikiliza video clip.
Furaha kubwa sana hiyoHongera sana kwa mtoto na mzazi wake. Hamna furaha kubwa kwa mzazi kama kushuhudia mafanikio ya mtoto wake
It's doesn't matter, muhimu kafaulu vizuriUsikute div 1 yenyewe ya HKL
Teh teh teh 😂😂😂 we jamaa umelogwa akili...haaa haaaaYani huyuhuyu Shilole akicheza nusu uchi na strong man Paul Kagame Ubelgiji? Yani nilipoona hii picha nimemdharau Kagame. Nilidhani Kagame hapendi upuuzi.
Proved Jestkilla zitto junior Smart911 Victoire King Kong III
View attachment 2687560