Shilole apiga shangwe kuu mwanae kupata Div. 1 kidato cha sita. Asema kuna wakati mama huhatarisha maisha yake kwaajili ya mwanae

Ni siku mbaya sana kwa Kajala. Yaani kila inapotokea mtoto wa staa kufanya jambo jema lazima Kajala na bintiye watukanwe mitandaoni. Nawaonea huruma
KITU pekeee itamfanya Paula na Kajala wapone katika hizi lawama ni kuhakikisha

huko walipopachagua basi wanavunja record ila wakiendelea na ufanyaji kazi wa mazoea

tyari wanajiona washakua mastaa na reality zao uchwara,wataoga matusi ujanani mpk uzeeni
 
Ni kweli. Kama wameamua kuwa malaya wahakikishe wanakuwa malaya wa kupigiwa mfano kwenye tasnia ya umalaya.. wasifanye nusunusu. Watapiga hela kama kina Kardashian. Kuwa vuguvugu itazidi kuwatesa. Waamue moja.
 
"Shilole amesema katika kusomesha mama anaweza kujirisk hata yeye mwenyewe kwaajili ya mtoto."

Hapa kidogo ngumu kwa upande w pili
 
Hio dvn 1 inayopigiwa kelele ni ya combination gani

Kwani kuna mtu anachaguliwa combination ya kusomea, si kila mtu anachagua mwenyewe kutokana na masomo anayoyapenda

Kama mtu aliona PCB, PCM, PGM anaziweza na akaangukia division 3, bhasi hana ubora kuliko HKL aliyepata division 1 maana wote walichagua eneo wanalolitaka
 
Tuseme ukweli tu, hizi division one za siku hizi ni upuuzi mtupu, kwani haiwezi kukupa ajira. One zenyewe hazina shangwe kama zamani mpaka rais atataka akufahamu wewe ni nani na una akili gani kuzidi wenzako. Siku hizi shule moja tu inapata one kama zote. Utatambia wapi kama si kuwa matangazo ya biashara shule kuvutia wazazi wapeleke watoto wao pale? One za zamani unaweza kuvushwa madarasa na kupelekwa kozi fasta uajiriwe. Siku hizi utadoda na one mitaani huku wa la saba akikucheka na kukukejeli huna hela na yeye wa la saba ana miradi mingi ya kumuingizia fedha
 
Kila mtu ana one saivi mpaka zinatisha [emoji119][emoji119]Tanzania ya miaka 10 mbele sijui itakuwaje
 
Kwahiyo hoja yako ni nini? Watoto waishie la saba au wapate division four ndio watakuwa wa maana?
 

Umeandika utumbo mtupu. Lini Rais alionana na waliopata "one"? Tangu lini "one" ikakupa ajira bila kwenda chuo? Lini na wapi aliyepata "one" alivushwa darasa?
 
Umeandika utumbo mtupu. Lini Rais alionana na waliopata "one"? Tangu lini "one" ikakupa ajira bila kwenda chuo? Lini na wapi aliyepata "one" alivushwa darasa?
.Sina muda wa kubishana na mtoto wa juzi, nataka kubishana na wakongwe wa mambo ya elimu ndio tutaelewana
 
Una ukongwe gani? Ulichoandika hapo ni upuuzi mtupu na hujui lolote.
we ni mmojawapo wa watukanaji wehu wasiojua kujenga na kuvunja hoja ki weledi. Unajua zamani mwanafunzi akipata one tanzania nzima mtamjua anatoka shule gani? Watu walikuwa wanapata A masomo yote mpaka option halafu wakubwa wanakuchagulia uende kusomea nini licha ya wewe kuwa una mchepuo gani unaoupenda. Kanuni za uandishi zinanibana siwezi kutaja majina na shule zilizotoa tanzania one enzi hizo. Usilete ubishi kutukana wakunga uzazi ungalipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…