Msingi kiunoShida ya vijana wanapendaga Kitonga aka Clutch ndo mana wanaishia kuoa madada ya mjini ili walelewe na kupigishwa pamba. Sasa hawa madada kama kina Shilole ni pressure tupu hawawezi kutulia lazima akale vichwa ili maisha yenu yaende. Ukiona hivyo unataka eti umpige um control. NEVER
🤣🤣🤣🤣 jamaa anasaliti kambiWanaume hatusalitian.
Yani wanaume tuko ndani sebuleni tunazungumzia hili suala na tulimalize wewe uko na wanawake nje kwenye mikeka unamtetea mwanamke.
Shwain wewe.
Watu Kama nyie ndio wakutiliwa sumu mkafie mbali , hakunaaa mwenye haki juu ya mwili au maisha ya mtu mwingine yamejushinda muache na maisha yake unampiga ili iweje!?Mtu akibisha nikupigwa tu acha wapigwe
kweli mkuu wanawake wenye kipato ni tatizo kubwa aiseee yaan ni shidaHaya yamemtokea mwanamama Shilole .
Mimi binafisi nimependezwa na jambo hili na nimeamua kushare na nyinyi ndugu zangu wanaume.
Mwanaume kumuoa mwanamke aliyekuzidi kipato ndiyo matokeo yake haya jamani ,hawa viumbe wakipata vijisenti ndani ya ndoa kunakuwa kama Club za Simba na yanga.
Kiukweli kwa namna moja au nyingine wanaume tunanyanyaswa Sana ndani ya ndoa zetu Mimi ni mmoja wapo .
Mimi binafisi najuta kuoa mwanamke msomi na mwenye mshahara wake jamani semina haziishi kwa huyu mama ,ninavyoandika huu ujumbe muda huu nipo kwenye hatua ya mwisho kumfanyia kama Uchebe alichomfanyia Shilole.
Wanawake mna nini lakini nyie viumbe jamani?
Kuna muda naweza kutoka kazini nikakuta mke wangu anajiandaa kutoka na hakunijulisha nikimuuliza utasikia kuna part ya Ofisi sijui Nani anafanya nn basi naishia kujikalia kimya .
Basi ndugu yetu Uchebe kuna watakao mlaumu mara mashirika ya haki za wa mama lakini na sisi wanaume nani atatutetea kwenye ulimwengu huu wa Malkia wa nguvu kila media kuna kipindi cha kuongelea masuala ya wanawake na haki zao sisi je?
Wanaume wengi tunakufa na tai shingoni.
Moderator ..Naomba msiufute huu uzi tuacheni wanaume tujadili hili kwa Uhuru View attachment 1501113View attachment 1501114View attachment 1501115
Sasa kwa nini unaniita mtoto? Btw kwa vyovyote nilivyo hakuna mbwa mwenye haki ya kunyanyua mkono kunipigaMimi kikongwe mwenzako mkuu
Hakuna mwanamke wa kumfanya chochote Uchebe makarate dunia Hii.Sio wanawake tu hata wanaume huambulia kipigo tena cha uhakika.Nenda kaoe mkoa wa Mara halafu jifanye wewe kidume una dharau uone
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].heshima ikarudi hahaaaa vipi baada ya kupatana alitoa maoni gani kuhusu kipigo chakonimekuelewa sana.hata mimi niliishi na mke kwa miaka kumi na sikuwahi kumpiga ingawa alikuwa na mdomo sana na wivu wa kupindukia kiasi kwamba ukirudi nyumbani unanuswa hadi boksa.ilifkia nikawa nachelewa kurudi homu afu niko tusuu ili nikifika nilale tuu.siku hiyo nimefika akanianzia mdomo nikamchimba biti kali naona ananibebea kisu afu akanirushia nilikuwa kifua wazi kananipapasa begani.niliamka kwa asira hiyo kichapo nilitembeza ni mbwa koko na km sio watoto kuamka na kuanza kulia ndo nikahurumia watoto nikamuachia kachakaa uso wote.nikampa first aid vizuri akalala mbona adabu ikawepo.nikasema sijui sk zote nilikuwa wapi kuweka hishma ya kupiga vitasa.leo nimeona hili jambo hapa nikakumbuka huyu shilole wife wana undugu kutokea huko igunga unajua hawa wana ngebe sana sbb wana uchotara flani toleo la mwisho
Sasa kwa nini unaniita mtoto? Btw kwa vyovyote nilivyo hakuna mbwa mwenye haki ya kunyanyua mkono kunipiga
Ndio maana hujamuoa wew , why watu mnapenda kujudge lifestyle aliyochagua mwenzio Tena ambayo haikuhusu !!?Hivi na kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.
Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
Sikushauri kabisa umguse.. Yakikufika kabisa chukua begi lako uchape lapa.. Jione ulikuwa chuo na umehitimu mahusiano ya kuzidiwa kipatoHaya yamemtokea mwanamama Shilole .
Mimi binafisi nimependezwa na jambo hili na nimeamua kushare na nyinyi ndugu zangu wanaume.
Mwanaume kumuoa mwanamke aliyekuzidi kipato ndiyo matokeo yake haya jamani ,hawa viumbe wakipata vijisenti ndani ya ndoa kunakuwa kama Club za Simba na yanga.
Kiukweli kwa namna moja au nyingine wanaume tunanyanyaswa Sana ndani ya ndoa zetu Mimi ni mmoja wapo .
Mimi binafisi najuta kuoa mwanamke msomi na mwenye mshahara wake jamani semina haziishi kwa huyu mama ,ninavyoandika huu ujumbe muda huu nipo kwenye hatua ya mwisho kumfanyia kama Uchebe alichomfanyia Shilole.
Wanawake mna nini lakini nyie viumbe jamani?
Kuna muda naweza kutoka kazini nikakuta mke wangu anajiandaa kutoka na hakunijulisha nikimuuliza utasikia kuna part ya Ofisi sijui Nani anafanya nn basi naishia kujikalia kimya .
Basi ndugu yetu Uchebe kuna watakao mlaumu mara mashirika ya haki za wa mama lakini na sisi wanaume nani atatutetea kwenye ulimwengu huu wa Malkia wa nguvu kila media kuna kipindi cha kuongelea masuala ya wanawake na haki zao sisi je?
Wanaume wengi tunakufa na tai shingoni.
Moderator ..Naomba msiufute huu uzi tuacheni wanaume tujadili hili kwa Uhuru View attachment 1501113View attachment 1501114View attachment 1501115
Nichape lapa kwenye mjengo wangu hii si haki jamaniSikushauri kabisa umguse.. Yakikufika kabisa chukua begi lako uchape lapa.. Jione ulikuwa chuo na umehitimu mahusiano ya kuzidiwa kipato
Jr[emoji769]