Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Nafikiri unajua history ya Shilole kwa wanaume Shilole hata kwa kumuangalia kwa nje utajua kabisa ni mwanamke anae taka yeye aseme.

Pia Shilole yeye ana uwezo kushinda mwanaume kama utakua unawajua wanawake vizuri basi utajua kwa nini Shilole kapasuliwa uso.
 
UCHEBE katunyima raha vijana yeye anampigaje Shilole Usoni tena mangumi na kumvimbisha kiasi kile! angetakiwa ampige MATAKONI tena makofi na mangumi ya haja mpaka avimbe vizuri na hapo ndo shilole angetuonyesha ushahidi kwa kuyaanika MATAKO yake yaliyovilia damu, ingependeza sana au mnasemaje makamanda?
 
Hakuna anaehukumu kwamba Uchebe ndo kakosea sana, ila hata kama Shishi alikuwa anachepuka kumpiga ndo ilikuwa suruhisho?

Kwanini Uchebe asingetumia njia zingine hata kuachana pia ilikuwa bora, maana hata sasa pamoja na kumpiga bado wameachana

Sasa si bora wangeachana tu kwa amani!!!
 
Mo katweet wapi boss?? Mo hana huo ujinga mkuu
 
Ukileta ushubwada lazima upigwe , tena kipigo heavy.
Muulize Rihanna anakikumbuka kipigo alichopewa na Chris Brown
 
Mwanamke mpuuzi anatakiwa apigwe.
 
Inferior complex ni kitu kibaya sana!

Wanaume wasio na kazi wengi wanasumbuliwa na hiyo kitu !
 
Usipotii mamlaka lazima upigwe. Na utapigwa sana.
PT
 
Mambo ya mke na mume nawaachia wenyewe hata wakiwa majirani zangu huwa siamulii ugomvi wao, hata kama watadundana hadi waumizane!
 
Uchebe muoga sana!

Yani anashindwa kulianzisha ngumi mubashara asubiri hadi Shilole alale afanye kumvizia [emoji14][emoji14][emoji14]

Uchebe hana tofauti na Nunu Mziwanda ni walewale tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…