Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Safi mkuu, mwanamke muonye mara ya kwanza, ya pili ya 3 kama aelewi na una ona hakuna mabadiliko yoyote una achana nae, kwa sababu unaweza kuua mtoto wa watu bure ukapata matatizo wakati kuna watu kibao wanakutegemea, wazazi, wadogo zako n.k

Mfano yule jamaa Mtanzania aliyemchoma dada wa watu visu akamuua kule Uingereza kipinde kile, sasa hivi si anaozea jela tu na majuto kibao.
Vipi kama mwanamke akianza yeye kukupiga?
 
Hivi na kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.

Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
Hakuna kitu nisichopenda kama tattoo, napenda kuona birthmarks tu nasio mitattoo kwenye mwili asa wa mwanamke
 
Acha unafiki wewe MUSINGA.
unamnafikia mwanaume mwenzako huo ni uwaki, kwamba Shilole anaenda kwa Roby one ananunu boxer za kiume na kukwambia ni za uchebe?
.
ama kweli wanaume wa Dar wapo
Nisome vyema sio unafiki,anaenda nae na hiki kijamaa kilichagua kilichoipenda Shilole aliikataa hakuipenda,nisamehe kama nimekukwaza lakini
 
Nisome vyema sio unafiki,anaenda nae na hiki kijamaa kilichagua kilichoipenda Shilole aliikataa hakuipenda,nisamehe kama nimekukwaza lakini
Muongo na Mchawi ni watu wa kuchomwa.
 
Eti akipigwa anasikia rahaa[emoji23][emoji23]
 
Ukileta ushubwada lazima upigwe , tena kipigo heavy.
Muulize Rihanna anakikumbuka kipigo alichopewa na Chris Brown
Na baada ya kipigo huon ina mgharimu had leo? Grammy na Oscar anaishia kuziona kweny Tv, wakat yeye uwezo wa kuchukua anao. Poleeeeeh san
 
Wanawake hasa Hawa macebrity wa TZ ukiwaoa au wakikuoa(Kama case ya Uchebe) lazima wewe mume uwe sawa akichelewa,akilala nje etc....wanakuwaga na madanga Yao yanayowaweka mjini na hizo biashara zao wanazozimiliki mtaji kapewa na madanga. Sasa Uchebe na Eli mu yake ya Madrassa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anajua ndoa ni ya KiISLAM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] we utaua mtu!! Anarudi kalowa kote kote na analeta ubabe wa ule wa kumpa vitasa Nuu Mziwanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Mimi nipo kazini na ni Muislam na tumeoana kiisalm Shilole nakupa vitasa tuuuu[emoji63]ALISIKIKA UCHEBE KABLA AJAANZA KUMWADABISHA SHILOLE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jf taha san lol
 
All in all hamna haja ya kumpiga mwanamke kiasi hicho.
Mmekutana mkiwa watu wazima kila mmoja akiwa na tabia zake,kwa hio kama mahusiano hayaendi kama ulivyo tarajia ni wewe kuondoka ukajaribishe na kwengine eti.
it shouldn't always have to work out,
 
Kiukweli mimi kama mimi binafs naona watu wote wanao Kuja juu na kumtupia lawama uchebe hawajui walitendalo

Kwanza kabla ya kuropoka watambue Ile ni ndoa na ndoa Ina mipaka yake na misingi yake
Watu hawatakiw Kuanza kuongea eti apelekwe Polisi kina baba levo wanajiropokea tu

Swala la ndoa na maamuz ya ndoa ni yawatu wawil tu mwanamke na mwanaume so kuhusu uchebe afanywe Nini ilo ni swala la Shilole mwenyewe kama Atalipeleka kwenye vyombo vya sheria au Kwenye Familia

Pia huwez jua shilole kakosea Nini na baada ya kufanya kosa alipo ambiwa Alifanya Nini huenda Shilole na Yeye Alirusha ngumi

Pia wanawake ambao wanajua Kabisa wao Ndio kila kitu kwenye Familia Hua wanadharau Sana wanaume Wao

Unakuta midume inashupalia uchebe kumpigia shilole wakat shilole alipo kua anampiga Nuhu mziwanda ilikua kimia
Wee jamaa akili zako kama zangu vileee
 
Hata kama ni halali kumpiga mke akikosea ila sio kwa ukubwa ule wa kipigo. Tena kapiga sana usoni alidhamiria kumuumiza na hata wakiachana awe hana soko tena maana front Ofice kashaiharibu.

(Sorry to say your mom)
Mwanaume hata awe masikini vipi,ukimletea dharau zilizopitiliza atakunyanyulia mikono tuu,simshutumu uchebe kwa kilichotokea,unaweza kuta huyo Shilole anataka huruma za watu tuu,hatuwezi juwa alimkosea nini mume wake,na mtu mwenye hasira huwezi mpangia wapi pa kupiga na apige kwa kiasi gani,

Mimi nakumbuka kuna kesi moja niliishuhudia jamaa aliua mke,mtoto na shemeji yake kwasababu ya dharau mke na shemeji yake walizokuwa wanamletea,wanawake mjifunze muwapo kwenye ndoa dharau huwa hazivumiliki muda wote.
 
Hakuna anaehukumu kwamba uchebe ndo kakosea sana, ila hata kama Shishi alikuwa anachepuka kumpiga ndo ilikuwa suruhisho?

Kwanini Uchebe asingetumia njia zingine hata kuachana pia ilikuwa bora, maana hata sasa pamoja na kumpiga bado wameachana

Sasa si bora wangeachana tu kwa amani!!!
Hata asingepigwa asingeachana kwa amani huyo mwanamke anavyopenda kiki angemtangaza hata jamaa ni shoga ilimradi apate kiki tuu,alivyopasuliwa mimi naona ni haki yake ili na wanawake wenye staili za maisha kama yake wajifunze kwamba hata uwe na pesa vipi dharau zikizidi utachapwa tuu hakuna namna
 
Hivi ni kweli Nuhu alikuwa anapigwa? Au ni propaganda?
Na mbaya zaidi akawa anajisifu kumpiga Nuhu!!!
20200708_233012.jpg
20200708_233031.jpg
20200708_233049.jpg
 
Back
Top Bottom