Vipi kama mwanamke akianza yeye kukupiga?Safi mkuu, mwanamke muonye mara ya kwanza, ya pili ya 3 kama aelewi na una ona hakuna mabadiliko yoyote una achana nae, kwa sababu unaweza kuua mtoto wa watu bure ukapata matatizo wakati kuna watu kibao wanakutegemea, wazazi, wadogo zako n.k
Mfano yule jamaa Mtanzania aliyemchoma dada wa watu visu akamuua kule Uingereza kipinde kile, sasa hivi si anaozea jela tu na majuto kibao.
😀😀😀😀😀ACHA APIGWE TU, KUNA SIKU NILIMKUTA PALE NJE THT NIKAMSALIMIA KANYAMAZA KIMYA KISA ALIKUWA ANAONGEA NA SIMU
Usiwaze mkuuMkuu nakutania tu
Mimi natumia tecno
Hakuna kitu nisichopenda kama tattoo, napenda kuona birthmarks tu nasio mitattoo kwenye mwili asa wa mwanamkeHivi na kwetu sisi wanaume tunapata wapi ujasiri wa kuoa mwanamke ambaye kachora tatoo kwenye kifua na maziwa! Wanawake wana namna hii hawafai kuolewa kabisa.
Tena uchebe naona kamgusa tu, kwangu angechezea vitasa zaidi muda huu angekuwa katundukiwa drip.
Nisome vyema sio unafiki,anaenda nae na hiki kijamaa kilichagua kilichoipenda Shilole aliikataa hakuipenda,nisamehe kama nimekukwaza lakiniAcha unafiki wewe MUSINGA.
unamnafikia mwanaume mwenzako huo ni uwaki, kwamba Shilole anaenda kwa Roby one ananunu boxer za kiume na kukwambia ni za uchebe?
.
ama kweli wanaume wa Dar wapo
Muongo na Mchawi ni watu wa kuchomwa.Nisome vyema sio unafiki,anaenda nae na hiki kijamaa kilichagua kilichoipenda Shilole aliikataa hakuipenda,nisamehe kama nimekukwaza lakini
Na baada ya kipigo huon ina mgharimu had leo? Grammy na Oscar anaishia kuziona kweny Tv, wakat yeye uwezo wa kuchukua anao. Poleeeeeh sanUkileta ushubwada lazima upigwe , tena kipigo heavy.
Muulize Rihanna anakikumbuka kipigo alichopewa na Chris Brown
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jf taha san lolWanawake hasa Hawa macebrity wa TZ ukiwaoa au wakikuoa(Kama case ya Uchebe) lazima wewe mume uwe sawa akichelewa,akilala nje etc....wanakuwaga na madanga Yao yanayowaweka mjini na hizo biashara zao wanazozimiliki mtaji kapewa na madanga. Sasa Uchebe na Eli mu yake ya Madrassa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anajua ndoa ni ya KiISLAM [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] we utaua mtu!! Anarudi kalowa kote kote na analeta ubabe wa ule wa kumpa vitasa Nuu Mziwanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787].Mimi nipo kazini na ni Muislam na tumeoana kiisalm Shilole nakupa vitasa tuuuu[emoji63]ALISIKIKA UCHEBE KABLA AJAANZA KUMWADABISHA SHILOLE
Wee jamaa akili zako kama zangu vileeeKiukweli mimi kama mimi binafs naona watu wote wanao Kuja juu na kumtupia lawama uchebe hawajui walitendalo
Kwanza kabla ya kuropoka watambue Ile ni ndoa na ndoa Ina mipaka yake na misingi yake
Watu hawatakiw Kuanza kuongea eti apelekwe Polisi kina baba levo wanajiropokea tu
Swala la ndoa na maamuz ya ndoa ni yawatu wawil tu mwanamke na mwanaume so kuhusu uchebe afanywe Nini ilo ni swala la Shilole mwenyewe kama Atalipeleka kwenye vyombo vya sheria au Kwenye Familia
Pia huwez jua shilole kakosea Nini na baada ya kufanya kosa alipo ambiwa Alifanya Nini huenda Shilole na Yeye Alirusha ngumi
Pia wanawake ambao wanajua Kabisa wao Ndio kila kitu kwenye Familia Hua wanadharau Sana wanaume Wao
Unakuta midume inashupalia uchebe kumpigia shilole wakat shilole alipo kua anampiga Nuhu mziwanda ilikua kimia
Mwanaume hata awe masikini vipi,ukimletea dharau zilizopitiliza atakunyanyulia mikono tuu,simshutumu uchebe kwa kilichotokea,unaweza kuta huyo Shilole anataka huruma za watu tuu,hatuwezi juwa alimkosea nini mume wake,na mtu mwenye hasira huwezi mpangia wapi pa kupiga na apige kwa kiasi gani,Hata kama ni halali kumpiga mke akikosea ila sio kwa ukubwa ule wa kipigo. Tena kapiga sana usoni alidhamiria kumuumiza na hata wakiachana awe hana soko tena maana front Ofice kashaiharibu.
(Sorry to say your mom)
Hata asingepigwa asingeachana kwa amani huyo mwanamke anavyopenda kiki angemtangaza hata jamaa ni shoga ilimradi apate kiki tuu,alivyopasuliwa mimi naona ni haki yake ili na wanawake wenye staili za maisha kama yake wajifunze kwamba hata uwe na pesa vipi dharau zikizidi utachapwa tuu hakuna namnaHakuna anaehukumu kwamba uchebe ndo kakosea sana, ila hata kama Shishi alikuwa anachepuka kumpiga ndo ilikuwa suruhisho?
Kwanini Uchebe asingetumia njia zingine hata kuachana pia ilikuwa bora, maana hata sasa pamoja na kumpiga bado wameachana
Sasa si bora wangeachana tu kwa amani!!!
Analelewa vipi wakati jamaa ni fundi magari na anapata ridhki zake acha futnaMwanaume unalelewa halafu unakuwa mkorofi ?
Hayo mengine ni gharama za kulelewa hakuna cha bure mjini labda salamu tu [emoji108][emoji108]
Na mbaya zaidi akawa anajisifu kumpiga Nuhu!!!Hivi ni kweli Nuhu alikuwa anapigwa? Au ni propaganda?
Ningeandika umevuna ulichokipanda sheenzHaijalishi kafanya nn kitendo cha Kumpiga binadamu mwenzako kwa Aina Ile hapana
Just emagine shishi ni mdogo wako wa mwisho au mtoto wako je ungeandika hivyo?