Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Ushaskia ngumi imerushwa wakati kalala angemrudishia saa ngap!?
Plus sio kitendo Cha Mara moja nataman yamkute nduguyo yeyote tuone km utashabikia Kam unavyoshabikia hapa.
Ushahidi wa maneno yamtokayo mwanamke akimuabuse mwanaume huwa hakuna upo ule wa mwanaume akimpiga mwanamke tu.
 
Ofcoz sema anazingua anapoliganda lishishi ambalo linamletea dharau na matusii ya nguoni kabisaa kisa tu shishi ana helaa.. Hii inaonesha uchebe hatosheki na maisha yake aliyonayoo kuna maisha anayatamani ambayo hawezi kuyafikia. Ni muda sasa aache kumganda shishi bora sh mia inayokupa amani kulim laki ya mtu yenye matusi na manyanyasooo.
 
Kaka hapo umeamua kusema kweli.

Uchebe alitakiwa afanye maamuzi mapema sanaa, kukubali kudharaulika kisa pesa na umaarufu wa mwanamke hilo ndio tatizo tunalizungumzia hapa.
 
Sasa kwanini huyo uchebe aoe malaya, wanawake wote hawa wa mjini hapa, kafuata nini kwa malaya, haya sasa hayo ndio malipo yake.
Hilo la kuoa Malaya Mimi na wewe hatujui wanajua wenyewe ... Mbona watu wanachukua wakina Gigy money waliokubuhu.

By the way hoja ya Uchebe hana Kitu ni hoja mfu na kwa watu wanaomjua Uchebe na shilole walishangaa kwanini Mtu wa Dini uchebe anamuoa Malaya ...
 
Ukisoma maelezo ya mkuu kiranga hapo juu, ameeleza vizuri sanaa, "kushindwa kuchagua aina ya mwanamke wa kuoa, achilia mbali kuishi nae tu hilo ni tatizo. Hivi kuna mtoto wa mjini asiejua tabia/umalaya wa shilole???? Yeye uchebe kwa lipi haswa wa kuweza kumtuliza zuwena?

Alibugi sanaa, na haya ndio malipo yake.
 
Yote kwa yote kwa nini mwanaume ulelewe? halafu kwa mwanaume halisi anayejielewa hawezi kumpiga mwanamke....kama unaona hakuelewi unaachana naye.....sasa Uchebe hana jeuri hiyo hana pa kwenda wala hajui akiachana na Shishi yeye ataishije...huko aliko anajuta
 
Kaka hapo umeamua kusema kweli.

Uchebe alitakiwa afanye maamuzi mapema sanaa, kukubali kudharaulika kisa pesa na umaarufu wa mwanamke hilo ndio tatizo tunalizungumzia hapa.
Watu tu hawajui anaemng'ang'ania mwenzake Ni shilole , Kuwa mdadisi utaelewa hili ninalokwambia . Shishi ndio anamtaka uchebe.


Hizi issue za Shishi Kupigwa huku kitaa tunazijua kitambo sana ... Shishi anapigwa kweli na uchebe muda mrefu ila alikuwa hataki kuachana na uchebe unajua kwanini ? ... Uliza utajua. Shilole ni muhuni na mwanamke asie na staha.


Siku uchebe akiongea utaelewa ninachokwambia.


Ngoja niishie hapa.
 
Huyu Zuwena inainejana huwa anajitia ubabe ubabe mbele ya jamaa sasa jamaa uzalendo na uwadilifu ukamshinda ndio kaona amshushie mtiti kidogo na matokeo ndio hayo.

Huku mitaani pia wako wanawake wa namna hiyo hujitia kukaza na kupigania haki zao ndani ya ndoa. yaani wanaharakati katika ndoa zao, kitu ambacho hakileti afya na kuimarisha mahusiano katika ndoa. Mara nyingi uwanaharakati wa wanawake katika ndoa huishia kumfanya mwanamme kujiona kama zoba kwa mkewe hatimae kushindwa kustahamili na kutenda uadilifu kwa mwenza wake, hatimae mambo kama hayo hutokea.

Wanawake mnapoingia kwenye ndoa mnatakiwa muwe watiifu kwa waume zenu hata kama wewe ndio unakuwa shingo ya familia ila lazima uamini mumeo ndio kichwa cha familia, unapaswa umpe heshima yake kama mume ndio mambo mengine yaende ukijitia ubabe na ukakamavu mbele yake katu ndoa yenu haiwezi kudumu na kuwa yenye afya na kuishi kwa upendo na maridhiano.

MWANAMKE HUWEZI KUJITIA UMWAMBA MBELE YA MWANAUME ALIYEKAMILIKA. BUSARA INAHITAJIKA ZAIDI.
 
Wanawake wakiambia mdomo uliponza kichwa huwa hawaelewi. Kipigo chochote ni zao la kiburi, jeuri na domo chafu!

Mwanaume mwenye hekima ukimtii na kumsikiliza hamna siku atakukosesha amani wala kukupiga. Hamna mwanaume mgomvi mbele ya mke mnyenyekevu na mstaarabu.

Shida wanawake wanafikiria wakiwa na hela basi swala la adabu na heshima kwa mume linabadilika toka kuwa mandatory na kuwa ni la option.
 

"Watu wa Namtumbo ndio hushobokea Hawa wakina shilole lakini Ni Malaya mbwa ukiwa na hela yako unagonga"

Hapo nimekuquote wewe mkuu, uliposema zuwena ni malaya, alafu hatujasema uchebe hakuwa na kitu lakini pia lipo wazi licha ya kuwa na kitu hapo kijana wenu alifuata ganda la ndizi kuteleza kwa shilole.
 
πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š, tuishie hapo mkuu.
 
Kabisaa aachane naee tuu...!! Kama anaweza kupata ugali wake wa siku amuachee tu huyo mmama tena hata hajazaa naee so easy tuu.. Ila akitaka nyota ya ustar kisha anadate na shilole kwa kweli atazingua sanaa.. Pia hii ni malipo ya kumuacha mkewe waliekuwa familia kabisa kisa Shilolee.


Ni kosa kubwa sana kumuacha mwanamke wako kisa kuna mwanamke mwenye hela amekuapporach haya mambo achia wanawakee...
 
Pia hii ni malipo ya kumuacha mkewe waliekuwa familia kabisa kisa Shilolee.


Ni kosa kubwa sana kumuacha mwanamke wako kisa kuna mwanamke mwenye hela amekuapporach haya mambo achia wanawakee...

Karma
Karma
Karma
Karma
 
Kabisaaaaah upo sahihi haswaaaa.
 
Nenda naww ukalelewe,ndani ya ndoa kuna mengii nyie acheni..!
 
Naona wengi mnatetea hicho kipigo anyway kipindi cha ujana na upumbavu wangu nishawahi kuwa na mwanamke pasua kichwa,yanii nashukuru mpaka tunaachana sijawahi mrushia hata kofii ilaa kwa wapigaji yule unaweza UA kabisa!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…