Siwezi fanya ujinga huo "Ukiona mwanaume ananyanyua mkono wake kumpiga mwanamke elewa huyo hajawahi kunyanyua mkono wake darasani kujibu maswali" [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji849][emoji849][emoji849] kwa hiyo unataka nirudi ili unifumue kama shishi roho yako ndio iridhike?
Hata angekua anafanyia ndani kwake hana sababu ya kumpiga. umemshindwa mtu achaneni kwa amani, kwanza mwanaume alikua analelewaalitegemea anakula vya nani kama sio wanaume wenzie? Shilole kakosea angempiga hata chupa wawe even
Mimi ni kioo cha jamii
Najua nitalaumiwa kwa kuweka hili mtandaoni, ILA SINA NAMNA, MAISHA YANGU NI MAISHA YA WATU KWA KIASI KIKUBWA, JAMII INANITAZAMA KAMA MFANO..
HEEEEL NO! Wewe sio kioo cha jamii!
Who the hell is SHILOLE anyway ???
Jamii inakutazama kama mfano, jamii ya nani inamuiga Shilole ???
Umefanya nini maishani cha sisi kukuiga? Inakuiga kuimba, kucheza filamu au kudanga wasanii wenzio ????
Eti kuanzia leo mimi sio mke wa Uchebe, toka lini ndoa zinavunjwa kwa post Jamiiforums na instagram? Ameenda shule huyu kweli? Nataka binti yangu akue aje kuwa mhandisi, mhasibu, mwalimu, sio Shilole!
Kioo cha jamii my foot!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni kweli kabisaSiwezi fanya ujinga huo "Ukiona mwanaume ananyanyua mkono wake kumpiga mwanamke elewa huyo hajawahi kunyanyua mkono wake darasani kujibu maswali" [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Wanamziki pekee ndo vioo vya jamiii...!!
Sahihi, ukishampiga ni kama umeshamsamehe, maana tayari adhabu umeshaitoa.Kaka ni kweli wanawake tunakera sana sometimes, (kama ambavyo wanaume mnavyokera) na ni kweli kuwa kuna watu wameoa wanawake hawana busara hata kidogo, lakini ngoja nikufinyie siri ya ulimwengu, kumpiga mwanamke hata kama ana makosa kiasi gani ni mtego, akileta ujinga achana nae, tena ikibidi mkimbie, ukimpiga automatically makosa yake yanafutika jamii itashuka na wewe jumla jumla.
Itoshe tu kusema hata tukimsikiliza uchebe hukumu haiwezi kumkwepa, kazi kwenu wanaume kuishi na wake zenu kwa akili ama muanze kudai haki za wanaume teh teh! [emoji3]
Mi wa kwangu nikishaanza kurap huwa anaongeza sauti ya redio tu ili asinisikilize ninachosema [emoji3][emoji3]
Mi nakupenda! Rudi bana [emoji39][emoji39][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni kweli kabisa
Sawa uchebe tumekusikia.......Ni rahisi sana watoto wadogo kusema naondoka nabeba vyangu,kivitendo siyo rahisi kihiiivyo,huyo alikuwa mke kisheria,ukiondoka anaweza kukufuata uliko na haki itambeba maana ndoa bado hai,mi ushauri wangu ni kama haupo kwenye ndoa,ama kama una miaka michache kwenye ndoa usijifanye fundi wa kuongea na kukosoa yanayojiri,lkn tujitahidi kuzuia kwanza vyanzo vinavyoweza pelekea matumizi ya nguvu,
aiseeeWe unahisi ukimpiga unaona umemfundisha kwamba anaeza asirudie tena??? probability [emoji23][emoji23].akirudia tena je? we sio mwalimu mzuri
Unapaswa utambue bnadam ana hulka(asili) na bahati mbaya.means umemkanya kwa kinywa kagoma kubadilika si chini ya mara moja,bro move on hiyo ni asili ake km utashindwa kustahimili upungufu huo.
Na mwanamke anayekupenda kwa dhati na kukuheshimu ukimkanya kitu ni mwepesi kuacha otherwise kuwe kuna mazoea baina yenu yaliyovuka mipaka ambayo unaweza mrekebisha au mkumbusha kwa kutumia means tofauti.
Mfano kumpa mda aitambue thaman yako upya,ajue we ni sehem gani ya maisha yake.
Mwanaume anayejitambua hutumia akili zaidi kuliko nguvu
You said it all, i second you.Kaka ni kweli wanawake tunakera sana sometimes, (kama ambavyo wanaume mnavyokera) na ni kweli kuwa kuna watu wameoa wanawake hawana busara hata kidogo, lakini ngoja nikufinyie siri ya ulimwengu, kumpiga mwanamke hata kama ana makosa kiasi gani ni mtego, akileta ujinga achana nae, tena ikibidi mkimbie, ukimpiga automatically makosa yake yanafutika jamii itashuka na wewe jumla jumla.
Itoshe tu kusema hata tukimsikiliza uchebe hukumu haiwezi kumkwepa, kazi kwenu wanaume kuishi na wake zenu kwa akili ama muanze kudai haki za wanaume teh teh! [emoji3]
Mi wa kwangu nikishaanza kurap huwa anaongeza sauti ya redio tu ili asinisikilize ninachosema [emoji3][emoji3]
🤝🏽👊👊🙏We unahisi ukimpiga unaona umemfundisha kwamba anaeza asirudie tena??? probability 😂😂.akirudia tena je? we sio mwalimu mzuri
Unapaswa utambue bnadam ana hulka(asili) na bahati mbaya.means umemkanya kwa kinywa kagoma kubadilika si chini ya mara moja,bro move on hiyo ni asili ake km utashindwa kustahimili upungufu huo.
Na mwanamke anayekupenda kwa dhati na kukuheshimu ukimkanya kitu ni mwepesi kuacha otherwise kuwe kuna mazoea baina yenu yaliyovuka mipaka ambayo unaweza mrekebisha au mkumbusha kwa kutumia means tofauti.
Mfano kumpa mda aitambue thaman yako upya,ajue we ni sehem gani ya maisha yake.
Mwanaume anayejitambua hutumia akili zaidi kuliko nguvu
Sirudi ng'ooMi nakupenda! Rudi bana [emoji39][emoji39]
You said it all, i second you.
Sisi wengine hasira zetu zikitushika tunatoka tunaenda kutafuta chupa ya mvinyo na kuushusha taraaaatibu na hatuonekani nyumbani hata wiki.
Kuna watu watasema "kijana hayajakukuta", au "kuwa uyaone" lakini niwakumbushe tu sio wote tumeumbwa na roho ya kupiga hasa kiumbe chenye jinsia ya kike no matter what.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sawa uchebe tumekusikia.......
Hili kalisema Shilole mwenyewe wala hatujatunga sisiKuna fikra za kijinga sana mtaani,kwamba mwanaume ukioa mwanamke ambae anapesa ama mshara ama kazi kukuzidi basi utaambiwa unalelewa,acheni ushamba,kwamba mwanaume ama mwanamke maskini hawezi kukaa na mtu aliye na kipato kwa kusukumwa na mapenzi siyo hela,halafu hela gani hizo mnazothubutu kusema shishi anazo na uchebe ana lelewa,hivi mkeo akikununulia suruali ni jambo la yeye kujitunisha kuwa anakutunza!,akikununulia mafuta ni kwamba wewe hauna hela ya kuyanunua,huyo uchebe ana shughuli yake siyo mkaa home,hta km shughuli yake ndogo lkn kuwa na shughuli ya kufanya kunaonesha he is a real man,
Tuache ushamba unaochochewa na roho mbaya inayosukumiziwa wivu nyuma,
Upo sawa kabisa mkuu, na hapo ndipo tunapotofautina. Wengine kupigishana makelele au kupiga wanawake hatuwezi, either nikuelekeze kwa utaratibu unielewe au imeshindikana basi maisha mengine yaendelee.Siwezi kimbia nyumba yangu kisa mwanamkee...atanyooka tu
[emoji2817][emoji2817][emoji2817] sasa baby unataka nikawe kiben 10 wa nani mimi?[emoji44][emoji44][emoji44]Sirudi ng'oo
Natembeza kifinyo chap mno,,Inauma sana kuambiwa ivo,,yaani bora umenipeleka polisi kuliko kunambia nna KibamiaKwaiyo wewe ukiambiwa una kibamia.. unasambaza kipigo jumla jumla.
Jamaa ni mlopokaji sanaHiyo captain naye ni wa kupigwa tu kama shilole