Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Kweli mkuu lakini nitakimbia nyumba mpaka linii...!!
 
Khantwe Baby you are my Pantene and I'm your fridge/freezer without you I'll never keep Cold or make Ice! [emoji39][emoji39][emoji39][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Haa ha ha...aisee kuna demu wangu alikuwa ana tabia ya kutaka nimrudishie zawadi alizonipa tukigombanaa tu anaanza huo usengee.. Siku akanimbia eti tuchange tuanzishe bisharaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mara sijui tujenge msingi kwenye kiwanja chakee me namchoraaa tuuu ila nishajua ni mtu wa aina ganiii
 
Kuna wanaume humu nawafananisha na mambwa koko,,kubweka huku wanakimbia ovyo, wanajitia vidume kumbe nyuma ya pazia wanachapika sawasawa iwe kwa ngumi ama matukio na Bado wananywea,
wengine girlfriends tu wamewashinda ila wako hapa wanabwata ovyo
Wapuuzi hao tulishawazoea.
 
Anasema alienda hospital kutibiwa. Je hospital gani inapokea mtu akiwa hivyo bila PF3?
 
Ukiwakuta sasa wanavyofarijiana..eti oh mwanamke ni mtu wa thamani hivyo hawez kupigwa.shenzi kweli ,angekua wa thamani ndo angekua anafanya utopolo?...bado nasema tena, muda mwingine mwanamke hawezi kwenda bila kipigo.
Wewe acha utopolo.
 
Hayo unasema weeee, ila muhusika anajua jinsia gan ina m cost lol
Inawezekana kweli inamcost lakini haiondoi ukweli kwamba utolewaji wa hizo tuzo una upendeleo. Ushahidi wa hili umetolewa na washiriki wa uandaaji wa hizo tuzo.
 
Inawezekana kweli inamcost lakini haiondoi ukweli kwamba utolewaji wa hizo tuzo una upendeleo. Ushahidi wa hili umetolewa na washiriki wa uandaaji wa hizo tuzo.
Ni kweli, ila kwa yee breez paspo kuwa na case ya Rihanna, wallah upendeleo ungekua kwake, angekua anabeba kila mwaka. Trust on me.
 
hahahahah jau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…