Oohh basi kama yupo mwanaume ambaye hachepuki kabisa (haijalishi ana hela au hana) ndiyo aje alalamike kuhusu kudharauliwa na mkewe tofauti na hapo wote pigeni kimya. Mwanaume mzinzi hastahili heshima ya kiumbe chochote kile.Mwanaume mwenye mchepuko lazima atakuwa na hela za kuhonga..Hii haiwahusu!
Kwa hiyo na makonda amedanganya?Uchebe amesema kipigo hicho ni cha siku nyingi
Unakumbuka kisa cha mihayo....
Ova
Unajua kadri ya siku ziendavyo naona una uhanga wa kuchitiwa vibaya mno. Usiwachukie wanaokuchiti ila angalia nini kimepelekea wewe kuwa cheated multiple times?Oohh basi kama yupo mwanaume ambaye hachepuki kabisa (haijalishi ana hela au hana) ndiyo aje alalamike kuhusu kudharauliwa na mkewe tofauti na hapo wote pigeni kimya. Mwanaume mzinzi hastahili heshima ya kiumbe chochote kile.
Anipe adhabu ya kumchakata goli 5!Mkuu kama wewe mwanamke akikuudhi unampiga je na wewe unapomuudhi akufanyeje
Yani body full mawimbi,halafu rangi kama imepigwa na brushShilole kafanana na gari iliyopigwa putty vibaya kwenye garage za uswazi
Haswaaaaah mam angu, ivi nkuletee zawadi gan? VileeeeehVivyo hivyo wanaume pia mtambue kuwa si kila mvaa suruali anafaa kuwa mume
Kauli hzo ndizo zinawaponza sasaHaswaaaaah mam angu, ivi nkuletee zawadi gan? Vileeeeeh
Ukweli mchungu eeeeh? Pokeeeeni hivyo hivyo hakna namna.Kauli hzo ndizo zinawaponza sasa
Ova
Bora univunje miguu kuliko kunivunjia heshima.Na
Natembeza kifinyo chap mno,,Inauma sana kuambiwa ivo,,yaani bora umenipeleka polisi kuliko kunambia nna Kibamia
Kosovo okwee... Kosovo ikwe!Wewe acha utopolo.
Mizani haiko sawa.Nasoma comment za watu napata maswali kichwan. Hv n kwel Shilole anamlea Uchebe au Shilole kamzidi kipato Uchebe. Sizan km Shilole ndio anamlea mshikaji km mtoto mdogo ila tu Shilole kamzidi kipato uchebe.
Basi ijulikane hvyo kwamba kipato hakilingani ila sio kwamba Shilole ndio anamlisha. Ndio maana wanawake wenye vipato kuolewa n ishu coz akimzdi mume kipato tu anajihisi yeye ndio anamlisha mumeMizani haiko sawa.
Watakuja kubishana ila huo ndio ukweli..Mwanamke akiwa na kipato cha juu anajiona sana.Basi ijulikane hvyo kwamba kipato hakilingani ila sio kwamba Shilole ndio anamlisha. Ndio maana wanawake wenye vipato kuolewa n ishu coz akimzdi mume kipato tu anajihisi yeye ndio anamlisha mume
Umeshachukua form ya kugombea jimbo mkuu? Hizi level ni za kuingilia mjengoni kabisa.Khantwe Baby you are my Pantene and I'm your fridge/freezer without you I'll never keep Cold or make Ice! [emoji39][emoji39][emoji39][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]