Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Aisee! Hivi mwanaume uliyekamilika unapataje nguvu za kumpiga mtoto wa kike namna hii???
Jomba, usisema kirahisi, na ni kwa sababu haliko kwako, mpaka mwanaume anafikia hatua ya kumpiga mwanamke ujue alishatumia mdomo kuonya na hakusikilizwa, wanawake type ya huyo Shilole hakuna namna yeyote ya kumrekebisha zaidi ya kipigo, wanawake type hiyo wakishakuwa na vijihela anataka wewe mwanamme uwe kama kondoo kwake ndio mtaelewana, mwanamke akishakuwa na uwezo wa kutengeneza hela zake yeye mwenyewe hakuna namna anaweza kuwa na adabu kwa mumewe, (mimi ni muhanga wa hilo, sijasimuliwa), kwa hiyo ni vema ukaelewa ni mazingira ndio yanapelekea mwanaume kutumia kipigo ili kutafuta namna ya kuzibua masikoo ya mwanamke type ya Shilole, hapo alistahili kabisa kupata kipigo hicho huyo mwanamke maana hakunaga jinsi wala njia nyingine.
 
Kama ndio hivyo kwa nini asubiri mwanamke akiwa amelala?
Amesema ni muendelezo wa vipigo.Means kuna vingine alipewa huku jicho kavu linaona.
Alimuonea Nuhu akijigamba hapelekeshwi anatoa kichapo tu sasa kakutana na mtu mwenye mkanda wake.
 
Hayajakukuta mzee usiseme hvyo hujui alichokifanya huyo na huenda ukikifahamu unaweza kusema kwann asingemvunja ata mkono. Hawa wanawake hawa nadhan waliooa au wanaoishi na wanawake kwa mda mrefu watakuwa wananielewa
Mkuu mimi mimekuelewa, huyo mla bata anaonekana ni wale wanaooa saa 5 usiku na kuachana saa 12 asubuhi, na hii ni kawaida, mwanamke ukiwa nae muda mfupi hawezi kukubishia wala kukuonesha dharau yeyote ile
 
Ukijua password ya mwanamke wako hakusumbui.Watarudiana tu UCHEBE ana password yake na shilole atakuwa anajua hilo kwa hapo hachomoki atarudi mwenyewe ile kitu tamu bwana .Upendo sio Tamu sana hs ha ha ha
 
Haya yamemtokea mwanamama Shilole .
Mimi binafisi nimependezwa na jambo hili na nimeamua kushare na nyinyi ndugu zangu wanaume.

Mwanaume kumuoa mwanamke aliyekuzidi kipato ndiyo matokeo yake haya jamani ,hawa viumbe wakipata vijisenti ndani ya ndoa kunakuwa kama Club za Simba na yanga.

Kiukweli kwa namna moja au nyingine wanaume tunanyanyaswa Sana ndani ya ndoa zetu Mimi ni mmoja wapo .

Mimi binafisi najuta kuoa mwanamke msomi na mwenye mshahara wake jamani semina haziishi kwa huyu mama ,ninavyoandika huu ujumbe muda huu nipo kwenye hatua ya mwisho kumfanyia kama Uchebe alichomfanyia Shilole.

Wanawake mna nini lakini nyie viumbe jamani?

Kuna muda naweza kutoka kazini nikakuta mke wangu anajiandaa kutoka na hakunijulisha nikimuuliza utasikia kuna part ya Ofisi sijui Nani anafanya nn basi naishia kujikalia kimya .

Basi ndugu yetu Uchebe kuna watakao mlaumu mara mashirika ya haki za wa mama lakini na sisi wanaume nani atatutetea kwenye ulimwengu huu wa Malkia wa nguvu kila media kuna kipindi cha kuongelea masuala ya wanawake na haki zao sisi je?

Wanaume wengi tunakufa na tai shingoni.

Moderator ..Naomba msiufute huu uzi tuacheni wanaume tujadili hili kwa Uhuru View attachment 1501113View attachment 1501114
Screenshot_20200708-182410.jpg
 
Hakuna mwanamke anampenda mwanaume asie na pesa , Hakuna mkuu. Mwanaume unaweza mpenda mwanamke na familia Yao nzima ni masikini lakini mwanamke hawezi kumpenda mwaume wa hivyo.

Na Kama ikitokea lazima Huyo mwaume ajiandae siku yoyote bomu litalipuka. Tumeyaona na nina Imani kwa umri wako umeyaona.
sidhani.kuna ndoa nyingi tu za masikini ambazo wanaishi happy life na kuheshimiana.
 
Savage! ,jamaa hajiamini kabisa yani. angetumia uboho tu ingetosha amnyuke kiufundi mpaka aishiwe nguvu na maji aite mma aone kama kesho yake asingerudisha heshima .
N.b
Sijakosea najua maana ya uboho kwa wale wajukuu wa kifimbo cheza muelewe tu ni matumizi ya tafsida hayo.

Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Uboho ni nini?
 
Umeona eeh ,, unajua hii scenario watu wengi wanaamini Shilole ana makosa kisa ni famous na ana circle kubwa ya watu.. Na ndio hao wanaoshangilia kwa ku mhukumu kwa muonekane wake wa nje (celebrity) kitu ambacho si sahihi na hata kama ana makosa kweli bado hastahili kutendewa hivyo.
Lakini pia Shilole alikua anampiga mpenzi wa zamani yule dogo nuhu mziwanda
 
Mwanaume anahitaji heshima, ruka ruka weee ila heshima iwepo, the moment uta cross hiyo line yatakukuta tu, and that is nature, we nenda against nature alafu uje na ngonjera bla bla bla.. Heshimuni waume zenu punguzen midomo mtaishi kwa amani kama mkodisha dunia vile
😂😂😂
 
Lakini pia Shilole alikua anampiga mpenzi wa zamani yule dogo nuhu mziwanda
Mkuu soma hapa [emoji116][emoji116]
Kutokana na nature ya kiuumbaji, Mwanamke anachukuliwa kama kiumbe dhaifu kuliko mwanaume (japo wote tuna udhaifu in general kama wanadamu)

Kutokana na udhaifu huo by nature hata uhalisia kwenye maisha kua mwanamke ni kiumbe dhaifu.. Mwanaume kupigwa na mwanamke linaweza lisiwe jambo la ajabu sana kama mwanaume kumpiga mwanamke, kama umesoma moja ya comment yangu huko juu kuna mtu nimemjibu kua mwanamke kupigwa hata makofi mawili matatu kwenye ndoa hilo suala lipo ila sio kwa stage hiyo aliyofikia Uchebe, mpaka anamvizia mwanamke amelala usingizini ndio unampiga ngumi sasa si uboya huo.

Halafu mambo mengine mwanaume unatakiwa kujiongeza, umeshaona mwanamke amekuzidi kipato au upendo umepungua si uite ndugu m solve, ikishindikana si basi muachane, wanaume wangapi wanawapa wake zao talaka? Hapa inaonekana kawaida kwa sababu Shilole ni mzima, angefariki mfano huyo Uchebe angekua wapi sasa hivi? Au yule aliyemchoma mke wake na mkaa kaishia wapi sasa hivi?

Haya mambo yapo na yanaumiza lakini mwanaume lazima uwe na uwezo wa kutazama mbali, siku zote hasira ni hasara, haya alivyompiga kafaidika nini? Kwani hayo matatizo ya Shilole yameisha?
 
Sio wanawake tu hata wanaume huambulia kipigo tena cha uhakika.Nenda kaoe mkoa wa Mara halafu jifanye wewe kidume una dharau uone
 
Back
Top Bottom