Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

uchebe ni muislamu na quran inaruhusu wanawake kupigwa.nikushangae unayepinga maandiko ya dini isiyokuhusu.wewe ni nani upinge maandiko ya waislamu?? waislamu wakusikilize wewe au waisikilize quran?
Mimi ni amu.
Kama ni kweli Quran imeruhusu mwanamke kupigwa waislam wanatakiwa wakae chini sasa wapitie maandiko yao.
 
Uchebe alishaona hakuna muelekeo tena kwenye hyo ndoa ndo maana kaona asiondoke kinyonge km mziwanda
 
Pumbavu zako, wewe na familia yako ndio hamna akili. Huwa sipendi dharau, ukubwa au udogo wako hauna tija kwangu, kuwa na nidhamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]PUMBAVU ZAKO TO YOU TOO KIMA WEWE, UMENICHEKESHA BALAA.....
 
Itakua wakati amelala Uchebe alichukua Iphone X ya shsish baby akatia face ID sijui face lock akakuta mi message ya kufa mtuu akaanza kumshushia kipondo
Plus lazima shishi alikuwa amelewa kama kawaida yake. Ila kwa kisago pombe zilimtoka!
 
Back
Top Bottom