mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
HahahahaSafi sana wewe unga mkono hoja kutupiga na pesa.
Huo ndo uanaume.
Solution kutemana Maisha yataendelea
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaSafi sana wewe unga mkono hoja kutupiga na pesa.
Huo ndo uanaume.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Pumbavu zako, wewe na familia yako ndio hamna akili. Huwa sipendi dharau, ukubwa au udogo wako hauna tija kwangu, kuwa na nidhamu.
Mimi ni amu.uchebe ni muislamu na quran inaruhusu wanawake kupigwa.nikushangae unayepinga maandiko ya dini isiyokuhusu.wewe ni nani upinge maandiko ya waislamu?? waislamu wakusikilize wewe au waisikilize quran?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]PUMBAVU ZAKO TO YOU TOO KIMA WEWE, UMENICHEKESHA BALAA.....Pumbavu zako, wewe na familia yako ndio hamna akili. Huwa sipendi dharau, ukubwa au udogo wako hauna tija kwangu, kuwa na nidhamu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Natumai umewakilisha vizuri
Wanaunganisha mno yaani.Yeah yaani mods wa siku hizi sijui wapoje..... Unaanzisha uzi kwa mantiki tofauti wao wanaleta huku.... Msyuuuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanakeraa balaa...wakiona tu unaelekeana na Uchebe unatupiwaa humuu!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji56]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Naunga mkono hoja.
Shilole alishasema alikuwa anawatafutia wanawe na yeye (uchebe) yeye atulie tu mwanamke alikuwa anaitafutia familia yake mahitaji.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mkuu vipi akaunti imeshatuna au bado?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]PUMBAVU ZAKO TO YOU TOO KIMA WEWE, UMENICHEKESHA BALAA.....
Huwa wanadhani wadada Wana mioyo ya chumaIla wanaume bhana! Kwani mnadhani ninyi mnavyochepuka wanawake ndiyo hawapatwi na hasira?
Ndo madhara ya kutokuwa mwanaume na kuwa Uchebe.
Umeona eeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndo madhara ya kutokuwa mwanaume na kuwa Uchebe.
Avumilie tu hakuna namna.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]PUMBAVU ZAKO TO YOU TOO KIMA WEWE, UMENICHEKESHA BALAA.....
Mwanaume mwenye mchepuko lazima atakuwa na hela za kuhonga..Hii haiwahusu!Aisee hii inawahusu na wale wanaume wenye michepuko na waongo waongo ??
Plus lazima shishi alikuwa amelewa kama kawaida yake. Ila kwa kisago pombe zilimtoka!Itakua wakati amelala Uchebe alichukua Iphone X ya shsish baby akatia face ID sijui face lock akakuta mi message ya kufa mtuu akaanza kumshushia kipondo
Huna ubavu huo, mwamba mcheza karate na boxing!Shishi angekuwa dada yangu, huyu bwege Uchebe mi ningekanyaga mpaka ndugu zake wangemuuliza jina lako nani?
Kama kuna kiki katika hili fasta itaingilia!Serikali iingilie hili
Kwani unafikiri wanajali basi hawa