Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Huyu mama ntilie Shilole ni mnafiki sana na kwa mwendo huu atazidi kuumbuka tu hapa mjini na ma project yake yasioeleweka mbele wala nyuma.
Tangu harmonize ajitoe WCB ,Shilole hakauki kwenye insta ya harmonize kwa ku comment comment hovyo na asilimia kubwa ya comment zake ni madongo kwa WCB .
Kwa jinsi inavyoonesha ile kukosa nafasi ya kutumbuiza kwenye matamasha ya Wasafi ndicho haswa kinachomuuma roho na ndio maana mara kadhaa alikuwa akilalamika kwa nini hapewi nafasi ya kutumbuiza katika matamasha ya Wasafi.
Shilole anachoshindwa kujua ni kwamba hakuna chochote alichokiacha kwenye muziki kwa kifupi muziki umemkataa ndio maana akaona bora afanye shughuli tu za umama ntilie.
Hata kipindi cha mwanzoni kipindi anawika ,kitu pekee kilichokuwa kinampa jina ni kule kucheza cheza uchi jukwaani, skendo za hapa na pale ,sasa baada ya kuolewa na kuamua kupunguza mambo machafu ndio kabisa akafa kimuziki kwa sababu kipaji alikuwa hana .
Tangu harmonize ajitoe WCB ,Shilole hakauki kwenye insta ya harmonize kwa ku comment comment hovyo na asilimia kubwa ya comment zake ni madongo kwa WCB .
Kwa jinsi inavyoonesha ile kukosa nafasi ya kutumbuiza kwenye matamasha ya Wasafi ndicho haswa kinachomuuma roho na ndio maana mara kadhaa alikuwa akilalamika kwa nini hapewi nafasi ya kutumbuiza katika matamasha ya Wasafi.
Shilole anachoshindwa kujua ni kwamba hakuna chochote alichokiacha kwenye muziki kwa kifupi muziki umemkataa ndio maana akaona bora afanye shughuli tu za umama ntilie.
Hata kipindi cha mwanzoni kipindi anawika ,kitu pekee kilichokuwa kinampa jina ni kule kucheza cheza uchi jukwaani, skendo za hapa na pale ,sasa baada ya kuolewa na kuamua kupunguza mambo machafu ndio kabisa akafa kimuziki kwa sababu kipaji alikuwa hana .