Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,941
- 2,044
Haha! Kila mtu sikuhizi ni mwandishi.na mfanyabiashara mkubwa Tanzania.. [emoji848][emoji848][emoji848]..... Tunawaandikia watu wenye macho na akili zao kamili... Hatuwandikii majuha wala ng'ombe... Tujaribu kuandika kitu chenye uhalisia tafadhali
Jr[emoji769]