Wanaofatilia BIG BROTHER wanajikutaga wa kishua sana
Kuna mshikaji mmoja natamani nimtag aje atoe neno hapa maana kukiwa na BB siku hiyo mkizubaa hakuna kitakachoendelea kisa anaangalia show.Wanaofatilia BIG BROTHER wanajikutaga wa kishua sana π€£π€£π€£
mtag bwana huenda atatushibisha hapa,Kuna mshikaji mmoja natamani nimtag aje atoe neno hapa maana kukiwa na BB siku hiyo mkizubaa hamli chakula kisa anaangalia show...
Mi nilipenda sana maisha plus ila hiyo big brother watu wanafanya vitu vya hovyo kabisa.Kuna mshikaji mmoja natamani nimtag aje atoe neno hapa maana kukiwa na BB siku hiyo mkizubaa hamli chakula kisa anaangalia show...
Nishamtag mkuu πππmtag bwana huenda atatushibisha hapa,
Acha kutusema kwa mafumbo bas π€£π€£Wanaofatilia BIG BROTHER wanajikutaga wa kishua sana π€£π€£π€£
Washenzi wanaweka usiku sana basi kuna tatizo mahali.Maisha yangu sijawahi kukaa na kutazama big brother.
Itakuwa kuna minyanduano mengi, sasa usiku niache kumnyandua mama watoto nianze kuangalia wenzangu wanaonyanduana.ππ€£Washenzi wanaweka usiku sana basi kuna tatizo mahali.
Iyo big brother ipo king'amuzi gani na inarushw channel gan ??Naomba kujua kuhusu hili shindano la BIG BROTHER
Yaani huwa sielewagi watu wanashindanishwa nini na mshindi anapatikanaje
Kila nikiingia kwenye hiyo channel naona vijana wadogo wamefungiwa mahali wanakula bata humo ndani halafu baadae anatangazwa mshindi.
Kuna watu hawalali, wakifatilia hili shindano...Sasa mimi sijui ni ushamba au nini sielewagi kabisaaa
Hili shindano Lina maadili gani pia kwa Hao washiriki na watazamaji maana naona Kuna muda washiriki wanafanya sex usiku au kwenye swimming pool
Hebu naomba leo mnitoe ushamba jamani...