Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)

Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
SOC 2022 (1).png

SOC 2022 (2).png
Jamii Forums, Asasi ya Kiraia inayohamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora na mratibu wa jukwaa la mtandaoni la JamiiForums.com (JF), imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa la umma kwa wananchi (Citizen Journalists) kujieleza bila uoga, kuwawajibisha viongozi na wananchi wenzao na kujenga uelewa zaidi katika masuala anuai.

Ni kupitia safari hii na kujitolea kwake kwa Utetezi wa Haki za Dijitali, Jamii Forums inaendelea kutekeleza jukumu lake katika kuhakikisha mtandao unabaki mahali salama ambapo umma wa Watanzania unaweza kupata habari/taarifa bora na pia kutengeneza maudhui yanayochochea mabadiliko chanya.

Hivyo basi, JF inatoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye awamu nyingine ya shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko chanya (Stories of Change).

Shindano hili linakusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye. Pia, tunalenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.

Awamu hii ya pili ya shindano hili itafanyika Julai 15 hadi Septemba 15, 2022.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:

  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno 800 hadi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.

Jinsi ya kushiriki:
Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na zaidi anaweza kushiriki, lakini ili kuchapisha Makala yako itakulazimu kuwa mwanachama wa JamiiForums. Endapo sio mwanachama unaweza kujisajili kupitia => (www.jamiiforums.com/register/ ). Ukipata changamoto katika usajili, wasiliana nasi kupitia mawasiliano yaliyowekwa chini katika bandiko hili.

Maandiko yawasilishwe kuanzia Julai 15 hadi Septemba 15, 2022 kwenye jukwaa la “JF stories of change” (Stories of Change )

Baada ya kuweka andiko lako jukwaani, JITAHIDI kushiriki kwenye mjadala utakaotokana nalo kwa kutolea ufafanuzi hoja zitakazoibuka ili kuupa mjadala uhai na kuwashawishi wanachama kukupigia kura.

ZINGATIA: Unaweza kuandika mara nyingi kadiri uwezavyo ili kujiongezea nafasi ya ushindi.

Vigezo vya kupata Washindi
Washindi watapatikana kwa kuzingatia kura/likes zitakazopigwa kwenye mnakasha (thread) husika (30%) na pia uamuzi wa jopo la majaji (70%).

Washindi watatangazwa kwenye jukwaa la JamiiForums “Stories of Change” na kurasa za Jamii Forums katika mitandao ya kijamii (Twitter, Facebook, Instagram na Telegram) na si vinginevyo.

Ni muhimu kuendelea kuwa ‘active’ katika jukwaa la JF muda wote wa shindano ili kurahisisha mawasiliano endapo utaibuka mshindi.

Zawadi kwa Washindi
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000

Mawasiliano
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba ya simu: +255 743440000 (WhatsApp, Telegram na Signal) au barua pepe: stories@jamiiforums.com
 
Upvote 116
"SIRI YA ELIMU ILIYOFANYA WAKOLONI WAKAFANIKIWA NA WAKATUACHIA ELIMU INAYOTUFANYA KUENDELEA KUWA WATUMWA"

ELIMU YA UJUZI BINAFSI, USTADI, UFUNDI NA UBUNIFU NI MAJIBU YA KUWA NA AJIRA, UKUAJI WA UCHUMI, BIASHARA NA MAENDELEO YA VIWANDA.

Unaweza Ukajiuliza, Ilikuwaje wakati wa wakoloni kulikuwa na viwanda vya kutosha, maendeleo ya miundombinu na ukuaji wa soko la biashara ilihali Elimu ya Darasani haikuwa na nguvu kama ilivyosasa ambapo tuna teknolojia kubwa ya kidigitali.

Majibu yake, ndiyo mwanga ambao napenda uangaze fikra zetu ili tusiendelee kukaa kwenye giza la kuchelewa katika maendeleo na ukuaji wa kiuchumi.

Kwa mfano wakati wa Ukoloni mitaala ilifunza stadi kama uashi, useremala ukarani, upigaji chapa, ufundi cherehani, ushonaji viatu na uaskari, na shughuli mbali mbali za mikono.Viwanda vingi vilizalishwa, kama vile viwanda vya kutengeneza nguo, viatu, magodoro, madaftari,matofali ya ujenzi n.k

Hii ni Elimu ya Ujuzi, Ustadi na Ufundi,kabla hata mtu hajakaa darasani anakuwa na uwezo huu kama kipaji na ujuzi ambapo anahitaji tu kuendelezwa.

Elimu Ujuzi ni nini?,maana rahisi kabisa ya Kamusi, Ujuzi maana yake ni kufahamu, kujua na kuelewa hali, habari na maelezo yanayohusu mazingira tunapoishi.

Watu waliowekeza katika ujuzi,ufundi stadi kwa vipawa au vipaji wameweza kujiendeleza vizuri sana na hata kuweza kutengeneza fursa za ajira na kuwafanikisha wengine kiuchumi tofauti kabisa ukilinganisha na mtu ambaye anayo elimu kama taarifa za kujibia mitihani tu, elimu ya darasani iliyomuachia cheti, lakini hana ujuzi wowote wa ustadi na ubunifu wa kufanya kuleta maendeleo katika jamii.

Elimu ya Ujuzi binafsi,Ufundi na Ubunifu ni muhimu sana katika kuleta mwarobaini wa ukosefu wa ajira, kusaidia makundi ya vijana wanaozagaa mtaani na kupelekea kuwa na makundi mabaya,wahalifu,maskini na tegemezi.

•Jamii inahitaji masuluhisho yanyaofikia mahitaji yao.Kuna miradi mikubwa ambayo inaweza kuanzishwa na kusimamiwa kwa Ustadi,Ufundi,na ujuzi.Wapo vijana wasio na ajira lakini wana shahada ya elimu ya juu, na wale wasio na hiyo shahada lakini wamejua uwezo walio nao na wameutumia vizuri sana kufanikiwa na kuleta maendeleo katika jamii.

Mfano mnzuri, yupo kijana ambaye taarifa zake zilianza kuenea mtandaoni hasa katika kituo cha habari cha mtandaoni cha Millard Ayo , Zuberi Ismail mkazi wa Manispaa ya Kigoma ujiji ambae ameweza kubuni kituo cha radio kinachorusha matangazo yake kutokea nyumbani kwao.

Serikali kupitia TCRA wamemfikia Kijana huyu na kuonyesha nia ya kumuendeleza kimasomo VETA, lakini bado serikali inahitaji kuvaa darubini na kuangaza zaidi kwenye jamii ili kuweza kuona vijana na watu wakutosha ambao wengine hawana kiwango kikubwa cha elimu ya darasani ila wana kiwango kikubwa cha akili ya kubuni, kufanya ufundi stadi na kujishughulisha kimaendeleo.

Nieleze kwa mtiririko mnzuri kuhusu ukweli huu wa elimu ya ujuzi binafsi, vipaji na ufundi stadi;

Mosi, Elimu inayojikita katika ujuzi, ustadi na ubunifu wa uwezo wa ndani (potential), vipaji inachochea zaidi watu kujiajiri na kuweza kujisimamia vizuri kiuchumi.

Mfano mnzuri, ni ndugu mmoja aitwaye Peter Bulugu, huyu ni mtanzania mwenzetu mwenye miaka 32, ni daktari wa binadamu aliyefunzwa kwa miaka mitano (2008-2015) katika chuo kikuu mashuhuri zaidi cha sayansi ya tiba nchini Tanzania cha Muhimbili (Muhas).

Lakini pamoja na Elimu ya udaktari alivutwa zaidi na kipaji cha uchoraji, na sio kwamba alisomea uchoraji bali alikuwa na kipaji cha uchoraji tangu alipokuwa mtoto, na kwa mwaka 2016 aliacha kazi na kujiajiri kama msanii wa uchoraji.

Alipokuwa Daktari alikuwa ameajiriwa na hakuwa ameajiri mtu yeyote, Lakini alipoamua kufanya uchoraji ameajiri watu wengi.

Pili, Elimu ujuzi na ustadi inaleta Ubunifu na kuvumbua kwa wepesi mambo ambayo hayakuwepo kwakuwa inazingatia uwezo wa ndani wa ubunifu,Fikra za Stadi za kazi na kipaji alichonacho mtu.

Hapa napenda tufahamu kwamba kuna wanaoshindwa katika elimu ya darasani lakini haimaanishi wameshindwa katika maisha, hivyo ni vyema wapewe fursa na kuheshimiwa kwa kile wanachoweza, yaani ule uwezo walio nao, kipaji na ujuzi asili walio nao.

Mchezaji wa mpira wa miguu, mtanzania Mbwana Ali Samatta angepimwa uwezo wake kwenye Elimu ya darasani basi angekuwa ni mtu asiye na faida kwa jamii, kwasababu alifeli kidato cha nne kwa kupata safuri, lakini lilipokuja swala la kipaji cha kucheza mpira wa miguu ni kinara anayeipaisha Tanzania na soka la miguu kimataifa.

Tatu, Elimu ya ujuzi na ustadi inatengeneza watu ambao wanakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kuajiri wengine,inafungua fursa za ajira kwa wengine ambao kwa elimu waliyonayo huweza kuajiriwa na kupata kipato.

Leo ukiwaangalia wasanii wa muziki wa bongo fleva wanaofanya vizuri kama Diamond Platnumz, utakuta ameajiri watu wengi sana, vijana, wenye elimu ya juu na wasio na elimu, anagusa maisha ya watu wengi kiuchumi, na wanafanikiwa na kuongezea taifa mapato kwa kodi na kutangaza kimataifa, lakini mtu mwenye shahada ya juu, hajaajiri mtu yeyote na yupo anapambana na cheti ili aajiriwe.
Diamond Platnamz,AKIWA BUNGENI na WAFANYAKAZI WA KITUO CHA REDIO CHA WASAFI.

Vilevile, Elimu ya Ustadi na Ujuzi binafsi ina uhakika na wepesi wa kumtangaza mtu na taifa kimataifa, kwa nchi nyingine na ulimwengu wa kidigitali. Watu wanapojijenga kwenye ustadi na ujuzi inakuwa vyepesi kwao kuwa wabobevu na mabingwa kwenye eneo ambalo wana ujuzi na ustadi.

Rai yangu kwa Serikali, itengeneze mazingira rahisi zaidi ya kuwafikia watu wenye vipaji na ustadi wa kazi mbali mbali. Mijini na vijijini,Kuanzia kwenye elimu ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu.Kwa wale ambao walishindwa katika masomo lakini wana uwezo wa ubunifu na ustadi ndani yao, waendelezwe katika kile walichonacho ili waweze kufanya kwa ukubwa na Ubora zaidi.

Jaribu kufikiri, katika shule ya serikali, kati ya wanafunzi 100, wanaofaulu kwenda vyuo vya kati na Kidato cha tano ni wanafunzi 30 tu, maaa yake hawa 70 wote wanabaki mtaani, lakini je ni kweli kwamba hawa sabini hakuna chochote wanachoweza? Wengi wanao uwezo, vipaji, ubunifu na ujuzi binafsi ambao wakisaidiwa watafanya vizuri sana.

Mwisho,Ni muhimu kila mtu ajue ndani yake anao uwezo wa pekee ambao mwenyezi Mungu amemuwekea.Kama ambavyo mtoto mchanga anapozaliwa hakuna wa kumfundisha jinsi ya kunyonya,lakini anakuwa na huo utashi ndani yake,ndivyo ambavyo kila mtu anao uwezo ndani yake ambao anaweza kuutumia kwa manufaa yake,jamii yake na taifa kiujumla.

"Elimu ya Ujuzi binafsi, Ufundi, Ustadi na Ubunifu ni suluhisho na majibu ya ukosefu wa ajira, maendeleo ya viwanda na ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa"

ALLEN ADIEL MNZAVA.
+255 655008730,
Email: proalleanadiel@gmail.com
MOSHI, KILIMANJARO.
 
Sasa kazi iendelee,

Hivi hizo headings mmeona ya mahusiano, maana wengine ndo vipaji vyetu, milioni tano, oops Mamndenyi mie
naomba kura yako hapa
 
"SIRI YA ELIMU ILIYOFANYA WAKOLONI WAKAFANIKIWA NA WAKATUACHIA ELIMU INAYOTUFANYA KUENDELEA KUWA WATUMWA"

ELIMU YA UJUZI BINAFSI, USTADI, UFUNDI NA UBUNIFU NI MAJIBU YA KUWA NA AJIRA, UKUAJI WA UCHUMI, BIASHARA NA MAENDELEO YA VIWANDA.

Unaweza Ukajiuliza, Ilikuwaje wakati wa wakoloni kulikuwa na viwanda vya kutosha, maendeleo ya miundombinu na ukuaji wa soko la biashara ilihali Elimu ya Darasani haikuwa na nguvu kama ilivyosasa ambapo tuna teknolojia kubwa ya kidigitali.

Majibu yake, ndiyo mwanga ambao napenda uangaze fikra zetu ili tusiendelee kukaa kwenye giza la kuchelewa katika maendeleo na ukuaji wa kiuchumi.

Kwa mfano wakati wa Ukoloni mitaala ilifunza stadi kama uashi, useremala ukarani, upigaji chapa, ufundi cherehani, ushonaji viatu na uaskari, na shughuli mbali mbali za mikono.Viwanda vingi vilizalishwa, kama vile viwanda vya kutengeneza nguo, viatu, magodoro, madaftari,matofali ya ujenzi n.k

Hii ni Elimu ya Ujuzi, Ustadi na Ufundi,kabla hata mtu hajakaa darasani anakuwa na uwezo huu kama kipaji na ujuzi ambapo anahitaji tu kuendelezwa.

Elimu Ujuzi ni nini?,maana rahisi kabisa ya Kamusi, Ujuzi maana yake ni kufahamu, kujua na kuelewa hali, habari na maelezo yanayohusu mazingira tunapoishi.

Watu waliowekeza katika ujuzi,ufundi stadi kwa vipawa au vipaji wameweza kujiendeleza vizuri sana na hata kuweza kutengeneza fursa za ajira na kuwafanikisha wengine kiuchumi tofauti kabisa ukilinganisha na mtu ambaye anayo elimu kama taarifa za kujibia mitihani tu, elimu ya darasani iliyomuachia cheti, lakini hana ujuzi wowote wa ustadi na ubunifu wa kufanya kuleta maendeleo katika jamii.

Elimu ya Ujuzi binafsi,Ufundi na Ubunifu ni muhimu sana katika kuleta mwarobaini wa ukosefu wa ajira, kusaidia makundi ya vijana wanaozagaa mtaani na kupelekea kuwa na makundi mabaya,wahalifu,maskini na tegemezi.

•Jamii inahitaji masuluhisho yanyaofikia mahitaji yao.Kuna miradi mikubwa ambayo inaweza kuanzishwa na kusimamiwa kwa Ustadi,Ufundi,na ujuzi.Wapo vijana wasio na ajira lakini wana shahada ya elimu ya juu, na wale wasio na hiyo shahada lakini wamejua uwezo walio nao na wameutumia vizuri sana kufanikiwa na kuleta maendeleo katika jamii.

Mfano mnzuri, yupo kijana ambaye taarifa zake zilianza kuenea mtandaoni hasa katika kituo cha habari cha mtandaoni cha Millard Ayo , Zuberi Ismail mkazi wa Manispaa ya Kigoma ujiji ambae ameweza kubuni kituo cha radio kinachorusha matangazo yake kutokea nyumbani kwao.

Serikali kupitia TCRA wamemfikia Kijana huyu na kuonyesha nia ya kumuendeleza kimasomo VETA, lakini bado serikali inahitaji kuvaa darubini na kuangaza zaidi kwenye jamii ili kuweza kuona vijana na watu wakutosha ambao wengine hawana kiwango kikubwa cha elimu ya darasani ila wana kiwango kikubwa cha akili ya kubuni, kufanya ufundi stadi na kujishughulisha kimaendeleo.

Nieleze kwa mtiririko mnzuri kuhusu ukweli huu wa elimu ya ujuzi binafsi, vipaji na ufundi stadi;

Mosi, Elimu inayojikita katika ujuzi, ustadi na ubunifu wa uwezo wa ndani (potential), vipaji inachochea zaidi watu kujiajiri na kuweza kujisimamia vizuri kiuchumi.

Mfano mnzuri, ni ndugu mmoja aitwaye Peter Bulugu, huyu ni mtanzania mwenzetu mwenye miaka 32, ni daktari wa binadamu aliyefunzwa kwa miaka mitano (2008-2015) katika chuo kikuu mashuhuri zaidi cha sayansi ya tiba nchini Tanzania cha Muhimbili (Muhas).

Lakini pamoja na Elimu ya udaktari alivutwa zaidi na kipaji cha uchoraji, na sio kwamba alisomea uchoraji bali alikuwa na kipaji cha uchoraji tangu alipokuwa mtoto, na kwa mwaka 2016 aliacha kazi na kujiajiri kama msanii wa uchoraji.

Alipokuwa Daktari alikuwa ameajiriwa na hakuwa ameajiri mtu yeyote, Lakini alipoamua kufanya uchoraji ameajiri watu wengi.

Pili, Elimu ujuzi na ustadi inaleta Ubunifu na kuvumbua kwa wepesi mambo ambayo hayakuwepo kwakuwa inazingatia uwezo wa ndani wa ubunifu,Fikra za Stadi za kazi na kipaji alichonacho mtu.

Hapa napenda tufahamu kwamba kuna wanaoshindwa katika elimu ya darasani lakini haimaanishi wameshindwa katika maisha, hivyo ni vyema wapewe fursa na kuheshimiwa kwa kile wanachoweza, yaani ule uwezo walio nao, kipaji na ujuzi asili walio nao.

Mchezaji wa mpira wa miguu, mtanzania Mbwana Ali Samatta angepimwa uwezo wake kwenye Elimu ya darasani basi angekuwa ni mtu asiye na faida kwa jamii, kwasababu alifeli kidato cha nne kwa kupata safuri, lakini lilipokuja swala la kipaji cha kucheza mpira wa miguu ni kinara anayeipaisha Tanzania na soka la miguu kimataifa.

Tatu, Elimu ya ujuzi na ustadi inatengeneza watu ambao wanakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kuajiri wengine,inafungua fursa za ajira kwa wengine ambao kwa elimu waliyonayo huweza kuajiriwa na kupata kipato.

Leo ukiwaangalia wasanii wa muziki wa bongo fleva wanaofanya vizuri kama Diamond Platnumz, utakuta ameajiri watu wengi sana, vijana, wenye elimu ya juu na wasio na elimu, anagusa maisha ya watu wengi kiuchumi, na wanafanikiwa na kuongezea taifa mapato kwa kodi na kutangaza kimataifa, lakini mtu mwenye shahada ya juu, hajaajiri mtu yeyote na yupo anapambana na cheti ili aajiriwe.
Diamond Platnamz,AKIWA BUNGENI na WAFANYAKAZI WA KITUO CHA REDIO CHA WASAFI.

Vilevile, Elimu ya Ustadi na Ujuzi binafsi ina uhakika na wepesi wa kumtangaza mtu na taifa kimataifa, kwa nchi nyingine na ulimwengu wa kidigitali. Watu wanapojijenga kwenye ustadi na ujuzi inakuwa vyepesi kwao kuwa wabobevu na mabingwa kwenye eneo ambalo wana ujuzi na ustadi.

Rai yangu kwa Serikali, itengeneze mazingira rahisi zaidi ya kuwafikia watu wenye vipaji na ustadi wa kazi mbali mbali. Mijini na vijijini,Kuanzia kwenye elimu ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu.Kwa wale ambao walishindwa katika masomo lakini wana uwezo wa ubunifu na ustadi ndani yao, waendelezwe katika kile walichonacho ili waweze kufanya kwa ukubwa na Ubora zaidi.

Jaribu kufikiri, katika shule ya serikali, kati ya wanafunzi 100, wanaofaulu kwenda vyuo vya kati na Kidato cha tano ni wanafunzi 30 tu, maaa yake hawa 70 wote wanabaki mtaani, lakini je ni kweli kwamba hawa sabini hakuna chochote wanachoweza? Wengi wanao uwezo, vipaji, ubunifu na ujuzi binafsi ambao wakisaidiwa watafanya vizuri sana.

Mwisho,Ni muhimu kila mtu ajue ndani yake anao uwezo wa pekee ambao mwenyezi Mungu amemuwekea.Kama ambavyo mtoto mchanga anapozaliwa hakuna wa kumfundisha jinsi ya kunyonya,lakini anakuwa na huo utashi ndani yake,ndivyo ambavyo kila mtu anao uwezo ndani yake ambao anaweza kuutumia kwa manufaa yake,jamii yake na taifa kiujumla.

"Elimu ya Ujuzi binafsi, Ufundi, Ustadi na Ubunifu ni suluhisho na majibu ya ukosefu wa ajira, maendeleo ya viwanda na ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa"

ALLEN ADIEL MNZAVA.
+255 655008730,
Email: proalleanadiel@gmail.com
MOSHI, KILIMANJARO.
"Elimu ya Ujuzi binafsi, Ufundi, Ustadi na Ubunifu ni suluhisho na majibu ya ukosefu wa ajira, maendeleo ya viwanda na ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa"
 
Naomba Kura yako, "Wengi wameshangaa Akili kubwa iliyoandika chapisho hili"

 
#Kwenye Chapisho langu, utakutana na MIFANO HALISI ya waziwazi, Kama wa huyu kijana wa Kitanzania aliyeweza KUTENGENEZA KITUO CHA REDIO,[emoji848]

Mfano mnzuri, yupo kijana ambaye taarifa zake zilianza kuenea mtandaoni hasa katika kituo cha habari cha mtandaoni cha Millard Ayo , Zuberi Ismail mkazi wa Manispaa ya Kigoma ujiji ambae ameweza kubuni kituo cha radio kinachorusha matangazo yake kutokea nyumbani kwao.

Serikali kupitia TCRA wamemfikia Kijana huyu na kuonyesha nia ya kumuendeleza kimasomo VETA, lakini bado serikali inahitaji kuvaa darubini na kuangaza zaidi kwenye jamii ili kuweza kuona vijana na watu wakutosha ambao wengine hawana

Ingia hapa, Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)
 
Jamii Forums, Asasi ya Kiraia inayohamasisha Haki za Kidigitali, Demokrasia, Uwajibikaji na Utawala Bora na mratibu wa jukwaa la mtandaoni la JamiiForums.com (JF), imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha uandishi wa maudhui bora na yenye tija mtandaoni kwa zaidi ya miaka 15 kwa kutoa jukwaa la umma kwa wananchi (Citizen Journalists) kujieleza bila uoga, kuwawajibisha viongozi na wananchi wenzao na kujenga uelewa zaidi katika masuala anuai.

Ni kupitia safari hii na kujitolea kwake kwa Utetezi wa Haki za Dijitali, Jamii Forums inaendelea kutekeleza jukumu lake katika kuhakikisha mtandao unabaki mahali salama ambapo umma wa Watanzania unaweza kupata habari/taarifa bora na pia kutengeneza maudhui yanayochochea mabadiliko chanya.

Hivyo basi, JF inatoa nafasi kwa wadau wake na wananchi wote wenye uwezo wa kutayarisha maudhui kushiriki kwenye awamu nyingine ya shindano la uandishi wa maudhui mtandaoni wenye kuleta mabadiliko chanya (Stories of Change).

Shindano hili linakusudia kuongeza maudhui bora mtandaoni hususani ya lugha ya Kiswahili kwa ajili ya vizazi vya sasa na vya baadaye. Pia, tunalenga kuhamasisha ushiriki wa raia pamoja na makundi yasiyopewa vipaumbele kama watu wanaoishi na ulemavu kushiriki katika ukusanyaji na utayarishaji wa taarifa nchini.

Awamu hii ya pili ya shindano hili itafanyika Julai 15 hadi Septemba 15, 2022.

Vigezo na masharti ya kushiriki katika shindano hili:

  1. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linalochochea mabadiliko kwenye nyanja za Elimu, Uchumi, Kilimo, Utawala, Afya, Sayansi na Teknolojia.
  2. Andiko liwe kwa Kiswahili lenye maneno 800 hadi 1000.
  3. Makala zinatakiwa kuwa habari au makala halisi zisizowahi kuchapishwa sehemu nyingine yoyote. Plagiarism (Wizi wa machapisho mengine) haitaruhusiwa.
  4. Mshiriki anaweza kutumia jina la kubuni ‘pseudonym’ lakini atatakiwa kutoa taarifa binafsi (jina) endapo ataibuka mshindi.
  5. Matumizi ya picha au video yanaruhusiwa ili kushibisha andiko. Endapo picha na video sio za mshiriki, atalazimika kutaja chanzo.
  6. Watendaji wa Jamii Forums na ndugu zao wa karibu hawaruhusiwi kushiriki kwenye shindano hili.

Jinsi ya kushiriki:

Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na zaidi anaweza kushiriki, lakini ili kuchapisha Makala yako itakulazimu kuwa mwanachama wa JamiiForums. Endapo sio mwanachama unaweza kujisajili kupitia => (www.jamiiforums.com/register/ ). Ukipata changamoto katika usajili, wasiliana nasi kupitia mawasiliano yaliyowekwa chini katika bandiko hili.

Maandiko yawasilishwe kuanzia Julai 15 hadi Septemba 15, 2022 kwenye jukwaa la “JF stories of change” (Stories of Change )

Baada ya kuweka andiko lako jukwaani, JITAHIDI kushiriki kwenye mjadala utakaotokana nalo kwa kutolea ufafanuzi hoja zitakazoibuka ili kuupa mjadala uhai na kuwashawishi wanachama kukupigia kura.

ZINGATIA: Unaweza kuandika mara nyingi kadiri uwezavyo ili kujiongezea nafasi ya ushindi.

Vigezo vya kupata Washindi
Washindi watapatikana kwa kuzingatia kura/likes zitakazopigwa kwenye mnakasha (thread) husika (30%) na pia uamuzi wa jopo la majaji (70%).

Washindi watatangazwa kwenye jukwaa la JamiiForums “Stories of Change” na kurasa za Jamii Forums katika mitandao ya kijamii (Twitter, Facebook, Instagram na Telegram) na si vinginevyo.

Ni muhimu kuendelea kuwa ‘active’ katika jukwaa la JF muda wote wa shindano ili kurahisisha mawasiliano endapo utaibuka mshindi.

Zawadi kwa Washindi
Mshindi wa Kwanza Tsh. 5,000,000
Mshindi wa Pili Tsh. 3,000,000
Mshindi wa Tatu Tsh. 2,000,000
Mshindi wa Nne Tsh. 1,000,000
Mshindi wa Tano Tsh. 500,000
Mshindi wa Sita hadi kumi Tsh. 300,000
Mshindi wa Kumi na Moja hadi wa Ishirini Tsh. 200,000

Mawasiliano
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia namba ya simu: +255 743440000 (WhatsApp, Telegram na Signal) au barua pepe: stories@jamiiforums.com
washindi wanatangazwa lini?
 
"SIRI YA ELIMU ILIYOFANYA WAKOLONI WAKAFANIKIWA NA WAKATUACHIA ELIMU INAYOTUFANYA KUENDELEA KUWA WATUMWA"

ELIMU YA UJUZI BINAFSI, USTADI, UFUNDI NA UBUNIFU NI MAJIBU YA KUWA NA AJIRA, UKUAJI WA UCHUMI, BIASHARA NA MAENDELEO YA VIWANDA.

Unaweza Ukajiuliza, Ilikuwaje wakati wa wakoloni kulikuwa na viwanda vya kutosha, maendeleo ya miundombinu na ukuaji wa soko la biashara ilihali Elimu ya Darasani haikuwa na nguvu kama ilivyosasa ambapo tuna teknolojia kubwa ya kidigitali.

Majibu yake, ndiyo mwanga ambao napenda uangaze fikra zetu ili tusiendelee kukaa kwenye giza la kuchelewa katika maendeleo na ukuaji wa kiuchumi.

Kwa mfano wakati wa Ukoloni mitaala ilifunza stadi kama uashi, useremala ukarani, upigaji chapa, ufundi cherehani, ushonaji viatu na uaskari, na shughuli mbali mbali za mikono.Viwanda vingi vilizalishwa, kama vile viwanda vya kutengeneza nguo, viatu, magodoro, madaftari,matofali ya ujenzi n.k

Hii ni Elimu ya Ujuzi, Ustadi na Ufundi,kabla hata mtu hajakaa darasani anakuwa na uwezo huu kama kipaji na ujuzi ambapo anahitaji tu kuendelezwa.

Elimu Ujuzi ni nini?,maana rahisi kabisa ya Kamusi, Ujuzi maana yake ni kufahamu, kujua na kuelewa hali, habari na maelezo yanayohusu mazingira tunapoishi.

Watu waliowekeza katika ujuzi,ufundi stadi kwa vipawa au vipaji wameweza kujiendeleza vizuri sana na hata kuweza kutengeneza fursa za ajira na kuwafanikisha wengine kiuchumi tofauti kabisa ukilinganisha na mtu ambaye anayo elimu kama taarifa za kujibia mitihani tu, elimu ya darasani iliyomuachia cheti, lakini hana ujuzi wowote wa ustadi na ubunifu wa kufanya kuleta maendeleo katika jamii.

Elimu ya Ujuzi binafsi,Ufundi na Ubunifu ni muhimu sana katika kuleta mwarobaini wa ukosefu wa ajira, kusaidia makundi ya vijana wanaozagaa mtaani na kupelekea kuwa na makundi mabaya,wahalifu,maskini na tegemezi.

•Jamii inahitaji masuluhisho yanyaofikia mahitaji yao.Kuna miradi mikubwa ambayo inaweza kuanzishwa na kusimamiwa kwa Ustadi,Ufundi,na ujuzi.Wapo vijana wasio na ajira lakini wana shahada ya elimu ya juu, na wale wasio na hiyo shahada lakini wamejua uwezo walio nao na wameutumia vizuri sana kufanikiwa na kuleta maendeleo katika jamii.

Mfano mnzuri, yupo kijana ambaye taarifa zake zilianza kuenea mtandaoni hasa katika kituo cha habari cha mtandaoni cha Millard Ayo , Zuberi Ismail mkazi wa Manispaa ya Kigoma ujiji ambae ameweza kubuni kituo cha radio kinachorusha matangazo yake kutokea nyumbani kwao.

Serikali kupitia TCRA wamemfikia Kijana huyu na kuonyesha nia ya kumuendeleza kimasomo VETA, lakini bado serikali inahitaji kuvaa darubini na kuangaza zaidi kwenye jamii ili kuweza kuona vijana na watu wakutosha ambao wengine hawana kiwango kikubwa cha elimu ya darasani ila wana kiwango kikubwa cha akili ya kubuni, kufanya ufundi stadi na kujishughulisha kimaendeleo.

Nieleze kwa mtiririko mnzuri kuhusu ukweli huu wa elimu ya ujuzi binafsi, vipaji na ufundi stadi;

Mosi, Elimu inayojikita katika ujuzi, ustadi na ubunifu wa uwezo wa ndani (potential), vipaji inachochea zaidi watu kujiajiri na kuweza kujisimamia vizuri kiuchumi.

Mfano mnzuri, ni ndugu mmoja aitwaye Peter Bulugu, huyu ni mtanzania mwenzetu mwenye miaka 32, ni daktari wa binadamu aliyefunzwa kwa miaka mitano (2008-2015) katika chuo kikuu mashuhuri zaidi cha sayansi ya tiba nchini Tanzania cha Muhimbili (Muhas).

Lakini pamoja na Elimu ya udaktari alivutwa zaidi na kipaji cha uchoraji, na sio kwamba alisomea uchoraji bali alikuwa na kipaji cha uchoraji tangu alipokuwa mtoto, na kwa mwaka 2016 aliacha kazi na kujiajiri kama msanii wa uchoraji.

Alipokuwa Daktari alikuwa ameajiriwa na hakuwa ameajiri mtu yeyote, Lakini alipoamua kufanya uchoraji ameajiri watu wengi.

Pili, Elimu ujuzi na ustadi inaleta Ubunifu na kuvumbua kwa wepesi mambo ambayo hayakuwepo kwakuwa inazingatia uwezo wa ndani wa ubunifu,Fikra za Stadi za kazi na kipaji alichonacho mtu.

Hapa napenda tufahamu kwamba kuna wanaoshindwa katika elimu ya darasani lakini haimaanishi wameshindwa katika maisha, hivyo ni vyema wapewe fursa na kuheshimiwa kwa kile wanachoweza, yaani ule uwezo walio nao, kipaji na ujuzi asili walio nao.

Mchezaji wa mpira wa miguu, mtanzania Mbwana Ali Samatta angepimwa uwezo wake kwenye Elimu ya darasani basi angekuwa ni mtu asiye na faida kwa jamii, kwasababu alifeli kidato cha nne kwa kupata safuri, lakini lilipokuja swala la kipaji cha kucheza mpira wa miguu ni kinara anayeipaisha Tanzania na soka la miguu kimataifa.

Tatu, Elimu ya ujuzi na ustadi inatengeneza watu ambao wanakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kuajiri wengine,inafungua fursa za ajira kwa wengine ambao kwa elimu waliyonayo huweza kuajiriwa na kupata kipato.

Leo ukiwaangalia wasanii wa muziki wa bongo fleva wanaofanya vizuri kama Diamond Platnumz, utakuta ameajiri watu wengi sana, vijana, wenye elimu ya juu na wasio na elimu, anagusa maisha ya watu wengi kiuchumi, na wanafanikiwa na kuongezea taifa mapato kwa kodi na kutangaza kimataifa, lakini mtu mwenye shahada ya juu, hajaajiri mtu yeyote na yupo anapambana na cheti ili aajiriwe.
Diamond Platnamz,AKIWA BUNGENI na WAFANYAKAZI WA KITUO CHA REDIO CHA WASAFI.

Vilevile, Elimu ya Ustadi na Ujuzi binafsi ina uhakika na wepesi wa kumtangaza mtu na taifa kimataifa, kwa nchi nyingine na ulimwengu wa kidigitali. Watu wanapojijenga kwenye ustadi na ujuzi inakuwa vyepesi kwao kuwa wabobevu na mabingwa kwenye eneo ambalo wana ujuzi na ustadi.

Rai yangu kwa Serikali, itengeneze mazingira rahisi zaidi ya kuwafikia watu wenye vipaji na ustadi wa kazi mbali mbali. Mijini na vijijini,Kuanzia kwenye elimu ya msingi, sekondari hadi chuo kikuu.Kwa wale ambao walishindwa katika masomo lakini wana uwezo wa ubunifu na ustadi ndani yao, waendelezwe katika kile walichonacho ili waweze kufanya kwa ukubwa na Ubora zaidi.

Jaribu kufikiri, katika shule ya serikali, kati ya wanafunzi 100, wanaofaulu kwenda vyuo vya kati na Kidato cha tano ni wanafunzi 30 tu, maaa yake hawa 70 wote wanabaki mtaani, lakini je ni kweli kwamba hawa sabini hakuna chochote wanachoweza? Wengi wanao uwezo, vipaji, ubunifu na ujuzi binafsi ambao wakisaidiwa watafanya vizuri sana.

Mwisho,Ni muhimu kila mtu ajue ndani yake anao uwezo wa pekee ambao mwenyezi Mungu amemuwekea.Kama ambavyo mtoto mchanga anapozaliwa hakuna wa kumfundisha jinsi ya kunyonya,lakini anakuwa na huo utashi ndani yake,ndivyo ambavyo kila mtu anao uwezo ndani yake ambao anaweza kuutumia kwa manufaa yake,jamii yake na taifa kiujumla.

"Elimu ya Ujuzi binafsi, Ufundi, Ustadi na Ubunifu ni suluhisho na majibu ya ukosefu wa ajira, maendeleo ya viwanda na ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa"

ALLEN ADIEL MNZAVA.
+255 655008730,
Email: proalleanadiel@gmail.com
MOSHI, KILIMANJARO.
Well
 
Salaam Moderators!
Naomba kama hamkutizama na kusikiliza kipindi cha MIZANI leo tarehe 21/09/2022 saa 3 usiku tafadhali msikose marudio..kwa sababu naamini kupitia kipindi hicho kitawasaidia kufanya maamuzi yenye tija kwa ajili ya kupata washindi kwenye STORY OF CHANGE 2022 ili kuwasaidia vijana wa nchi hii, maandiko mengi ni ubabaishaji tu na juhudi kubwa za waandishi kufanya lobbying za kupigiwa kura..na kwa kutizama wengi wa waandishi ni wanafunzi vyuoni au shuleni ambako wanahamasishana kupiga kura..nadhani tuwasaidie juhudi na maarifa vinahitajika sana kwa kila jambo analotaka kulitenda binadamu...MAARIFA, MAARIFA..KNOWLEDGE..
JF si sehemu ya ubabaishaji..we mean business! UMAKINI na TIJA!
 
Hii ndio fursa kwa mwananchi wa kawaida kuweza kutoa mawazo yake ya nini anataka kiwe katika jamii, au taifa kwa ujumla.

Pia ni fursa ya kupata zawadi ambayo kama hukua na mtaji wa kufanya mradi wowote unaweza kuitumia hii kuweza kupata mtaji.

Ngoja niingie chimbo nishushe andiko langu nipate zangu 5,000,000
Umetumaje story zako
 

Soma huu uzi uje unishukuru baadae
 

Soma huu uzi uje unishukuru baadae
Napokea hongera nyingi mno wakuu mbarikiwe kwa maoni yenu [emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom