Shinyanga: Ajenti wa Basi la Kisibo akanyagwa na Basi hilo na kufariki hapo hapo wakati akirukia kwenye Basi hilo

Mbona hao raia wamevaa gloves mzee baba, punguza chuki aisee, wameleta gari Ile pemben pale na hiyo machela,gloves, sasa na kubeba iwe kesi!???
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah ni bahati mbaya, karibia stendi zote wanafanya hivyo, kifo chake kilikuwa kimefika
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rest in peace brother Athuman, last week alinikatia tiket ya kuja dar pale nyegezi daah[emoji24]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio style zao wengime mpaka sasa ni vilema wamekanyagwaga miguu
Kifo bwana ,Hakina Hodi kabisa.


Inawezekana Marehem alikua ameshazoea kabisa kuruka namna hiyo!!


Pumzika kwa Amani ndugu.

"What is yours will always be yours no matter what "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…