Shinyanga: Ajenti wa Basi la Kisibo akanyagwa na Basi hilo na kufariki hapo hapo wakati akirukia kwenye Basi hilo

Shinyanga: Ajenti wa Basi la Kisibo akanyagwa na Basi hilo na kufariki hapo hapo wakati akirukia kwenye Basi hilo

Huyu jamaa baada ya kukanyagwa na Kisbo, mabasi mengine mawili yamempitia juu hali iliyopelekea kusagika kabisa.

Haya mabasi yalikuwa yanafukuzana kutoka getini. Amekufa kifo kibaya sana.

RIP Athuman
Kafa kifo kizuri Sana ,Kama angegongwa na Basi Moja may be angekatika katika halafu asingekufa mateso yake yangekua maradufu kipindi chote cha maisha yake ,Bora Basi la pili lilivyommalizia now hasikii Tena maumivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna gloves wala mask.. Hakuna pia special disposable bag ya kubebea maiti hasa iliyosagika hivyo.. Everyday is the school day, keep learning and improve..
 
Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Athumani amefariki dunia mara baada ya kukanyagwa na gari hilo katika stendi kuu ya mabasi ya Shinyanga, mwili wake umepelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

Taarifa zinasema kua Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Dar es Salaam lilimkanyaga Ajenti Athumani wakati akirukia kwenye Basi hilo na kisha kuangukia uvunguni mwa Basi na kukanyagwa na kufariki dunia hapo hapo.

View attachment 1400793

Polisi wako pembeni wanaangalia tu.

Pia wanaoonekani pichani wakimsaidia marehemu ni wananchi wakawaida sana, mashaka yangu ni je, wana uelewa wa kutosha juu ya maambukizi ya magonjwa ama virusi pindi ikitokea ajali ilihali wenye mavazi mazuri wamesimama wakitazama kama viongozi waelekezi tu?.....

Ushauri: Hii tabia ya kurukia gari au kushuka kwenye gari wakati gari hilo likiwa kwenye motion ni hatari sana. Watu wengi hufanya hivyo ili kuokoa muda au kuonyesha wepesi ila fahamu unahatarisha uhai wako. Ni vema usubiri gari lisimame ushuke.
Kama hujui kwa kuiweka picha hii humu mtandaoni unaweza kujikuta uko lupango...subiri uone
 
Acha kutisha watu bwana hiyo picha source ni itv
Ndugu yangu Mimi nakupa ushauri tu kitaaluma na kiuzoefu...Kama unabisha na kukomaa Sina tatizo ndugu yangu...naomba radhi...
 
Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Athumani amefariki dunia mara baada ya kukanyagwa na gari hilo katika stendi kuu ya mabasi ya Shinyanga, mwili wake umepelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

Taarifa zinasema kua Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Dar es Salaam lilimkanyaga Ajenti Athumani wakati akirukia kwenye Basi hilo na kisha kuangukia uvunguni mwa Basi na kukanyagwa na kufariki dunia hapo hapo.

View attachment 1400793

Polisi wako pembeni wanaangalia tu.

Pia wanaoonekani pichani wakimsaidia marehemu ni wananchi wakawaida sana, mashaka yangu ni je, wana uelewa wa kutosha juu ya maambukizi ya magonjwa ama virusi pindi ikitokea ajali ilihali wenye mavazi mazuri wamesimama wakitazama kama viongozi waelekezi tu?.....

Ushauri: Hii tabia ya kurukia gari au kushuka kwenye gari wakati gari hilo likiwa kwenye motion ni hatari sana. Watu wengi hufanya hivyo ili kuokoa muda au kuonyesha wepesi ila fahamu unahatarisha uhai wako. Ni vema usubiri gari lisimame ushuke.
Hao ni hodari kukong'oli wapinzani tu.
 
Pamoja na kwamba kila kifo kina sababu ila vifo vingine nivyakizembe. Alafu hii tabia yakudandia gari wakati inatembea imeshamiri sana. unakuta kama ni konda gari limesimama katulia tu chini ya gari likianza kuondoka ndo anaanza kulikimbiza, alafu wakati mwingine wako karibu watatu sasa najiulizaga wanaakili kweli.Anyway pumzika salama Agent.
 
Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Athumani amefariki dunia mara baada ya kukanyagwa na gari hilo katika stendi kuu ya mabasi ya Shinyanga, mwili wake umepelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

Taarifa zinasema kua Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Dar es Salaam lilimkanyaga Ajenti Athumani wakati akirukia kwenye Basi hilo na kisha kuangukia uvunguni mwa Basi na kukanyagwa na kufariki dunia hapo hapo.

View attachment 1400793

Polisi wako pembeni wanaangalia tu.

Pia wanaoonekani pichani wakimsaidia marehemu ni wananchi wakawaida sana, mashaka yangu ni je, wana uelewa wa kutosha juu ya maambukizi ya magonjwa ama virusi pindi ikitokea ajali ilihali wenye mavazi mazuri wamesimama wakitazama kama viongozi waelekezi tu?.....

Ushauri: Hii tabia ya kurukia gari au kushuka kwenye gari wakati gari hilo likiwa kwenye motion ni hatari sana. Watu wengi hufanya hivyo ili kuokoa muda au kuonyesha wepesi ila fahamu unahatarisha uhai wako. Ni vema usubiri gari lisimame ushuke.
Muhusika alitakiwa aripoti polisi ili waweze kumsaidia.
 
Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Athumani amefariki dunia mara baada ya kukanyagwa na gari hilo katika stendi kuu ya mabasi ya Shinyanga, mwili wake umepelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga.

Taarifa zinasema kua Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Dar es Salaam lilimkanyaga Ajenti Athumani wakati akirukia kwenye Basi hilo na kisha kuangukia uvunguni mwa Basi na kukanyagwa na kufariki dunia hapo hapo.

View attachment 1400793

Polisi wako pembeni wanaangalia tu.

Pia wanaoonekani pichani wakimsaidia marehemu ni wananchi wakawaida sana, mashaka yangu ni je, wana uelewa wa kutosha juu ya maambukizi ya magonjwa ama virusi pindi ikitokea ajali ilihali wenye mavazi mazuri wamesimama wakitazama kama viongozi waelekezi tu?.....

Ushauri: Hii tabia ya kurukia gari au kushuka kwenye gari wakati gari hilo likiwa kwenye motion ni hatari sana. Watu wengi hufanya hivyo ili kuokoa muda au kuonyesha wepesi ila fahamu unahatarisha uhai wako. Ni vema usubiri gari lisimame ushuke.
Askari wa nyuma mwenye V tatu anaangalia kwa uoga balaa. RIP Agent
 
Pamoja na kwamba kila kifo kina sababu ila vifo vingine nivyakizembe. Alafu hii tabia yakudandia gari wakati inatembea imeshamiri sana. unakuta kama ni konda gari limesimama katulia tu chini ya gari likianza kuondoka ndo anaanza kulikimbiza, alafu wakati mwingine wako karibu watatu sasa najiulizaga wanaakili kweli.Anyway pumzika salama Agent.
Kuna vifo ambavyo mazingira yake tunatengeneza sis..mfn kuna boda boda mmoja aliingia uvunguni mwa semi kisa spidi zisizo eleweka..nia ni kupata attention isiyo na msingi, kufatlia anakoenda,hakukua na sababu ya kukimbiza sana...baada ya muda tukaanza kusema 'marehem alipita hapa mda si mrefu'
 
Back
Top Bottom