Shinyanga: Mume aua mkewe na kisha kujilipua ndani ya nyumba kwa Petroli baada ya Wazazi wake kuvunja Ndoa yao

 

Yaani watu wamekaa wana watoto watatu mnavunja ndoa? Huu sio upuuzi ni nini?
 
Nadhani Wazazi walichokitafuta kwa Muda mrefu wamekibapa.
 
Mtoto kwa baba hakui,
Wameshazaa watoto 3 ndio munarudisha mahari?
Haya mulee yatima sasa
Anakuwa akifikisha miaka 18 mnakuwa wote watu wazima, hata maongezi yanatakiwa yabadilike yawe ya kushauriana wote na siyo amri hapo tatizo huyo kijana miaka 30 hakuwa na maamuzi yake na misimamo yake na hao wazazi walimchukulia mtoto na siyo mtu mzima mwenzao.
 
"pamoja na kurudisha mahari nyumbani kwao na mwanamke" mwanamke anarudishiwa mahari kwan yeye ndo alitoa hiyo mahari, mahari inatakiwa irudishwe kwao na mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…