Walimu waibe nini mabenchi au wang'oe milango? π au waondoke na mabegi ya wanafunzi??kuiba ni tabia ya mtu. Mbona walimu hawaibi?
Halafu eti kuna watu wana mulalamikaia waziri wa afya eti anawadharilisha.Wauguzi wa hivyo wawajibishwe tuu hamna namna
AhahahahhahaHao wame binafsisha hizo dawa kutaifisha Ni serikali kuchukua Mali ya mtu....
Vya kuiba havikosekanagiWalimu waibe nini mabenchi au wang'oe milango? π au waondoke na mabegi ya wanafunzi??
Chaki wakamuuzie nani??
Everyday is Saturday................................π
Ukiskia kelele sana ujue mirija inakatwaHalafu eti kuna watu wana mulalamikaia waziri wa afya eti anawadharilisha.
Ndio zinanifanya niishi prime life hapa mjiniAkili zako fupi Sana kamanda!
Sawa Mzee wa prime lifeHao nao ni wapinzani?
Ndio zinanifanya niishi prime life hapa mjini
Nimekupata fresh choka mbaya mwenye akiliSawa Mzee wa prime life
Halafu wewe MATAGA unazingua mnoo na huwa hujielewi,Wauguzi wa hivyo wawajibishwe tuu hamna namna
Kwani wewe unajielewa sasa!?Halafu wewe MATAGA unazingua mnoo na huwa hujielewi,
Yeah kabisa, hawa manesi, wafamasia huwa wanatoka na mawazo ya kuiibia dawa serikali tangu wakiwa vyuoni.Tena wezi wengi makazini ni wenye mishahara mikubwa