Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Usisingizie hizo roho mbona haziwatumi kuwalawiti watoto wao...au walale na mama mzaz au kulawiti babake mzazi.....sio tatizo la kiroho...labda tujadili changamoto ya akili kiujumla.
Nikisemaga haya ni matatizo ya kiroho, hizi ni roho chafu zinawasukuma watu kufanya mambo kama haya, ulawiti, ushoga na usagaji, mara nyingi naonekana mshamba hapa jukwaani...