Shinyanga: Polisi wafanikiwa kuzuia ndoa ya binti aliyefaulu kwenda kidato cha tano

Wampe na hela ya kuendea shule kabisa.
 
Kwani bila ID mtu hawezi kuwa mwanafunzi ?
Na ID ya mtu huwezi sambaza kwa mtu mwingine,hivyo ukihitaji taarifa zake,shule anayosoma,nenda tu kwao utazipata vizuri,
 
Kwani bila ID mtu hawezi kuwa mwanafunzi ?
Na ID ya mtu huwezi sambaza kwa mtu mwingine,hivyo ukihitaji taarifa zake,shule anayosoma,nenda tu kwao utazipata vizuri,
Kama huwezi kupata taarifa zake bhas usije na hoja dhaifu ya kwamba ni mwanafunzi......,

Sema ni mwanafunzi ukiweza kuniletea Id au barua ya Mkuu wa Shule anayosoma kumtambulisha kama mwanafunzi wake pamoja na Maendeleo ya masomo yake hasa matokeo ya Muhula wa kwanza uliomalizika June 2023. Ukishindwa kunipa hvy vitu bhas huna haki wala kigezo chochote cha kumuita mwanafunzi.
 
Kupata taarifa za mtu hasa ID na kusisambaza ni jambo ambalo haliwezekani kufanyika kamwe,utasambazaje ID ya mtu wakati ni taarifa yake binafsi,kama unataka ushahidi na kuwatetea hao wanaoa wanafunzi ,tukutane mahakamani tukupe ushahidi,lakini humu,sahau kupata ID yake
 
Bhas hata Mahakamani kwenyewe twende halafu nitakuja na Id yake iliyoisha muda na wewe njoo na Id ambayo iko active
 
Bhas hata Mahakamani kwenyewe twende halafu nitakuja na Id yake iliyoisha muda na wewe njoo na Id ambayo iko active
Safi njoo na ID iliyoisha muda uje useme huyo siyo mwanafunzi,over
Tutakupa mke wako uondoke nae.
 

Nimeuliza swali hili Mkuu, ila kuna popoma flani limekuja likaandika ujinga ujinga kwenye hoja yangu! Nadhani tunatakiwa kusolve tatizo bila kutengeneza tatizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…