1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Aliyetorosha madini kwa Rushwa kwenye mabegi ya mil.700 yeye alionekana ni safi kisa sio mchaga sio!!!Kumbe huyu RPC ni mchaga hongera zao kwa wizi hata yule wa kagera aliyetumbuliwa kwa kusafirisha kahawa usiku kimagendo kwenda Uganda alikuwa mchaga
Wako wapi mramba na ,mgonja na yona walikaa jela wakati wa jk
State agent
Au kwa sababu ni CCM !!!!
Tusiwabague watu kwa makabila yao!!
Haki itendeke bila ubaguzi.
Wanasiasa awamu hii hawafuati sheria zaidi ya mihemko.
Wakikutana na Mtu anayefuata sheria wanamsingizia kuwa hatii amri zao zisizofuata utaratibu.