Shinyanga: Rais Magufuli amuagiza IGP Sirro kuwasimamisha kazi RPC na RCO, pia aagiza meneja wa TRA kusimamishwa kazi

Mkuu unazungumzia mfanyabiashara wa kiwanda cha vinywaji vikali vya SHUJAA or something!
 
Cybercrime ni mfanyabiashara gani kaleta hili soo?

Kuna vijana wamesota wiki mbili rumande kwenye issue hii related na ukwepaji kodi na stika halafu wametoka kwa mlango wa uani.
 
Kwa mujibu wa taarifa ya RFA saa nne, Rais Magufuli amemwagiza IGP kuwasimamisha kazi na kuanzisha uchunguzi wa tuhuma za uhujumu uchumi dhidi ya RPC na RCO wa shinyanga
Aidha amemwagiza kamishna mkuu wa TRA kumsimamisha meneja wa Tra wa mkoa huo pia kwa tuhuma za uhujumu uchumi.

Hata hivyo tuhuma husika hazikuelezwa.
 
Inaonekana umefurahi sana hadi unaandika kisukuma hapa.
 
Sirro naye anapaswa kutumbuliwa.Yeye hakuona madudu ya maofisa wake mpaka Rais atoke Dodoma ayaone?He is part of the problem.He should also go.
 
Ilitakiwa tume iundwe kimya kimya wakawachunguze kabla hawajastopishwa kikazi
 
Abwao huyu ni mchaga wa machame kwao na mbowe ,hawa wachaga na wizi ni unyayo na soks ,hata yule RPC wa kagera aliyepigwa chini kwa rushwa naye ni mchaga pia

State agent
kuna ulazima gani kuandika mambo usiyojua? acha ONGO Mkuu
 
Abwao huyu ni mchaga wa machame kwao na mbowe ,hawa wachaga na wizi ni unyayo na soks ,hata yule RPC wa kagera aliyepigwa chini kwa rushwa naye ni mchaga pia

State agent
Abwao ni mjaluo
 
Hii habari pamoja na kuwa kubwa lakini haina muendelezo wowote hadi leo.

Mtuhumiwa hatajwi lakini taarifa zilizopo ni kwamba hayupo mikononi mwa polisi (alitoroka)
 
Kuna watu walishajihakikishia kuishi bila kusumbuliwa hapa bongo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…