Mkuu wa wilaya Shinyanga, Jasinta Mboneko, ameuagiza uongozi wa kampuni ya ulinzi ya Suma JKT, kuwachukulia hatua kali za nidhamu walinzi waliohusika kwenye tukio la kumpiga mwananchi Daudi Lefi, aliyefika katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa huo kumuhudumia mgonjwa.
Agizo hilo amelitoa hii leo Januari 23, 2021, alipofika hospitalini hapo akiwa na kamati yake ya ulinzi na usalama na kufanya kikao cha ndani na uongozi wa hospitali hiyo na kueleza kuwa hospitali siyo sehemu ya kufanya fujo kwani Wananchi wanahitaji huduma.
Jana Januari 22, 2021, katika mitandao ya kijamii ilisambaa video ikionesha walinzi wakimshambulia, mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Daudi Lefi, aliyekuwa akitoka kwa ajili ya kutafuta dawa za mgonjwa ambaye ni mama yake, na ndipo walinzi hao walianza kumpiga kwa madai ya kwamba muda wa kuona wagonjwa umekwisha.
Imeelezwa kuwa wakati kijana huyo akishushiwa kipigo na walinzi hao, mdogo wake, Lydia Lefi, alisikika akiwataka waache kumpiga ndugu yake kwa kuwa walikuwa wanakwenda kuchukua dawa.
... uliwahi kuletwa uzi humu kwamba hao wanaoitwa walinzi wa SUMA JKT most of them wana matatizo ya kisaikolojia. Ether, mafunzo waliyopitia walipata harassment mbaya sana, au mazingira ya kazi (kipato) ni tatizo, etc. Wataalamu wa ustawi wa jamii wanaweza kufanya research zao wakaja na majibu kwanini hawa vijana wana majibu na matendo ya ajabu ajabu.
... uliwahi kuletwa uzi humu kwamba hao wanaoitwa walinzi wa SUMA JKT most of them wana matatizo ya kisaikolojia. Ether, mafunzo waliyopitia walipata harassment mbaya sana, au mazingira ya kazi (kipato) ni tatizo, etc. Wataalamu wa ustawi wa jamii wanaweza kufanya research zao wakaja na majibu kwanini hawa vijana wana majibu na matendo ya ajabu ajabu.
Hizo ni politics hakuna hatua yeyote itakayochukuliwa na suma jkt,nilitegemea mkuu wa wilaya angeambatana na victims kwenda police station na kufungua mashitaka dhidi ya waziri wa ulinzi na jkt,waziri wa afya,mkuu wa hospital husika na walinzi wahusika na kuiachia mahakama iamue kwanza criminal case then kesi ya madai.5 mingine na haki kama hii ndoto ndani ya nchi yetu.
Hizo ni politics hakuna hatua yeyote itakayochukuliwa na suma jkt,nilitegemea mkuu wa wilaya angeambatana na victims kwenda police station na kufungua mashitaka dhidi ya waziri wa ulinzi na jkt,waziri wa afya,mkuu wa hospital husika na walinzi wahusika na kuiachia mahakama iamue kwanza criminal case then kesi ya madai.5 mingine na haki kama hii ndoto ndani ya nchi yetu.
Watu kila kona wana frastruations, hata ukiona Mtuhumiwa anavyoshambuliwa mtaani na wanaojiita "Wananch wenye hasira kali"utajua tu kuna tatizo mahali.
Waliua mtoto wa miaka kumi na moja ,Tena kwa risasi zaidi ya tano...
Kisa kuingiza mifugo ndani ya msitu, unaofahamika kwa jina ' Forest' huko Arusha...
Kisha wakampiga risasi ya mguu mzee , mmoja
Kwa kosa Hilo hilo la kuingiza mifugo , ila mzee huyu aliingiza mifugo kwenye mashamba ya serikali , huko Arusha mashamba hayo yanafahamika Kama mashamba ya kilimo...
Idara husika iwaangali hawa Suma Jkt kwa jicho la tatu...
Mwaka Jana walinzi wa Suma jkt inasemekana walimuua kiongozi wa timu ya Coastal Union pale Jangwani sidhani kama kuna hatua imechukuliwa dhidi ya vibaka hawa
... uliwahi kuletwa uzi humu kwamba hao wanaoitwa walinzi wa SUMA JKT most of them wana matatizo ya kisaikolojia. Ether, mafunzo waliyopitia walipata harassment mbaya sana, au mazingira ya kazi (kipato) ni tatizo, etc. Wataalamu wa ustawi wa jamii wanaweza kufanya research zao wakaja na majibu kwanini hawa vijana wana majibu na matendo ya ajabu ajabu.
Ndio maana if u read underlines nimeelezea hili hapo kuna criminal case na civil one,kuwahusisha niliowataja hapo ni about accountability ya nafasi zao!mkuu tunahitaji tupate a glass of wine together!!
... harassment, as you have said, is normal in military trainings, but won't affect you much as you know there is "hope" at the end of the "tunnel". Tatizo linakuwa kubwa pale unapokuwa harassed, yet when you come to the ground the situation is even worse! Hapa lazima uwe "mnyama".
Mkuu wa wilaya Shinyanga, Jasinta Mboneko, ameuagiza uongozi wa kampuni ya ulinzi ya Suma JKT, kuwachukulia hatua kali za nidhamu walinzi waliohusika kwenye tukio la kumpiga mwananchi Daudi Lefi, aliyefika katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa huo kumuhudumia mgonjwa...
Mwaka Jana walinzi wa Suma jkt inasemekana walimuua kiongozi wa timu ya Coastal Union pale Jangwani sidhani kama kuna hatua imechukuliwa dhidi ya vibaka hawa
Maskini hana lake, sasa viongozi wanaocharaza wananchi viboko wanaachiwa waendelee ila walinzi ndio wachukuliwe hatua, hebu leta na taarifa kama MaRC wanachukuliwa hatua kwa kulaza wanaume chini na kuwacharaza viboko.
Kama umeshawahi pitia haya mafunzo. Jeshini harrasment ni kitu cha kawaida.. yaani ni daily.
I dont know kwann waliweka vile.. maybe kumjenga mtu kisaikolojia.
Lakin in reality si wote wana cope na hiyo harrasment. Ndio maana wengine wakitoka wanakuwa visirani.
Sijajua mafunzo ya suma jkt yakoje. Ila wanatakiwa wawe wanapelekwa training za ulinzi mbali na JKT training yenyewe. Before hawajawa deployed
Hizo ni politics hakuna hatua yeyote itakayochukuliwa na suma jkt,nilitegemea mkuu wa wilaya angeambatana na victims kwenda police station na kufungua mashitaka dhidi ya waziri wa ulinzi na jkt,waziri wa afya,mkuu wa hospital husika na walinzi wahusika na kuiachia mahakama iamue kwanza criminal case then kesi ya madai.5 mingine na haki kama hii ndoto ndani ya nchi yetu.