Shinyanga: Suma JKT waagizwa kuwachukulia hatua Walinzi wake waliompiga raia Hospitalini

Shinyanga: Suma JKT waagizwa kuwachukulia hatua Walinzi wake waliompiga raia Hospitalini

Hawa jamaa wanahasira sijui ya nini kuna siku mlinzi mmoja wa suma jkt alikua ananiuliza kwa ukali kama kuna kosa nimetenda. Eti unaenda wapi ? Mbona nakuona sana hapa wakati kwenye jengo kuna ofisi nyingi nikawa najibu huku nacheka hili nimshushe temper . Nadhani kuna tatizo la kisaikolojia kwa hawa jamaa
 
Inawezekana hawa vijana wa suma jkt wanafanya kazi katika kipato kidogo, mazingira magumu, na unakuta wanaofaidika na malipo yao ni uongozi wa juu. Hivyo wanafanya kazi wakiwa na mawazo na pressure, au wakati wa mafunzo yao inawezekana wanalishwa sana sumu na mitazamo tofauti juu ya jamiii hivyo kujiona na wao ni JWTZ
 
Tatizo mafunzo ya sekta ya ulinzi hapa kwetu nchini, yapo kwa kumkomoa muhusika,
Nikikumbuka JKT kwa mujibu wa sheria, khaaaaah sio kwa hali ile nusu nife. Ndo maana unakuta wakitoka huko wanakua na roho mbaya, visa, visasi na kisirani.
 
Hao ufundishwa kutumia nguvu kutatua tatizo kuwaweka sehemu hizo zenye kuhitaji matumizi ya akili ni kuwakosea wananchi.Toka lini mwanajeshi na customer care vikaendana.
 
... uliwahi kuletwa uzi humu kwamba hao wanaoitwa walinzi wa SUMA JKT most of them wana matatizo ya kisaikolojia. Ether, mafunzo waliyopitia walipata harassment mbaya sana, au mazingira ya kazi (kipato) ni tatizo, etc. Wataalamu wa ustawi wa jamii wanaweza kufanya research zao wakaja na majibu kwanini hawa vijana wana majibu na matendo ya ajabu ajabu.
Huwa wanapitia yale mafunzo kamili ya jeshi la kupigana vita!
 
Maskini hana lake, sasa viongozi wanaocharaza wananchi viboko wanaachiwa waendelee ila walinzi ndio wachukuliwe hatua, hebu leta na taarifa kama MaRC wanachukuliwa hatua kwa kulaza wanaume chini na kuwacharaza viboko.


Hao viongozi wamepewa order kutoka ngazi za juu kufanya mambo hayo.

Suala lingekuwa hivi; je hiyo order kutoka ngazi za juu ni halali kwa mujibu wa sheria za Tz?? ---- hapo sasa tungeweza kujadili.

Tujadili uhalali wa amri tusijadili matendo ya hiyo amri.

.----let's discuss on the order and not on the enforcement of the order----. let's discuss on a cause and not on its effect.

Kwa mujibu wa sheria za nchi yetu hiyo amri sio sahihi. That's is my personal take.

Mambo ya hovyo ya aina hiyo au yanayofanana na hayo yanapatika katika nchi nyingi hasa za kiafrika na Kenya in that case is not exceptional.
 
Hao viongozi wamepewa order kutoka ngazi za juu kufanya mambo hayo.

Suala lingekuwa hivi; je hiyo order kutoka ngazi za juu ni halali kwa mujibu wa sheria za Tz?? ---- hapo sasa tungeweza kujadili.

Tujadili uhalali wa amri tusijadili matendo ya hiyo amri.

.----let's discuss on the order and not on the enforcement of the order----. let's discuss on a cause and not on its effect.

Kwa mujibu wa sheria za nchi yetu hiyo amri sio sahihi. That's is my personal take.

Mambo ya hovyo ya aina hiyo au yanayofanana na hayo yanapatika katika nchi nyingi hasa za kiafrika na Kenya in that case is not exceptional.

Sasa hiyo ndio aibu zaidi, yaani viongozi wapewe order za kuzurula wakicharaza wananchi viboko, ila mpigwe tu maana hapo tayari mtakua mnachukuliwa kama makondoo wa kuswagwa.
 
Sasa hiyo ndio aibu zaidi, yaani viongozi wapewe order za kuzurula wakicharaza wananchi viboko, ila mpigwe tu maana hapo tayari mtakua mnachukuliwa kama makondoo wa kuswagwa.


Unajua, mtu mwenye akili hupambana na kichaa aliyeshika panga kiakili, hata kwenye vita "retreating" sio aibu au woga, hata kwenye mpira back anaporudisha mpira kwa keeper sio ishara ya kuzidiwa, mambo lazima yapimwe na yafanywe kwa maarifa, maisha yanayothamani kubwa na struggle ni polepole, hayo yote ni ya kuangalia kama jinsi BBI ni ya kuangalia ili kuleta utangamano Kenya.

Machungu yote hayo yatapita, 5 yrs aint long time and Tz of humanity will be back on the track.
 
Kuna Maeneo na Maeneo. Eneo la hospitali sio la kumpiga mtu namna ile kwa mazingira ya aina ile
 
Kuna ndugu yngu mmoja kapitia io aisee mgongon ana alama za fimbo kibao dah nikamuuliza kwan ulifanya kosa gan huko kambin akaniambia ni mafunzo tu
 
Huyo jamaa atakuwa alikataa kutii amri bila shuruti ikatumika nguvu kiasi
 
... uliwahi kuletwa uzi humu kwamba hao wanaoitwa walinzi wa SUMA JKT most of them wana matatizo ya kisaikolojia. Ether, mafunzo waliyopitia walipata harassment mbaya sana, au mazingira ya kazi (kipato) ni tatizo, etc. Wataalamu wa ustawi wa jamii wanaweza kufanya research zao wakaja na majibu kwanini hawa vijana wana majibu na matendo ya ajabu ajabu.
Kuchukua watu waliopitia mafunzo ya kijeshi pekee (JKT) na kuwapeleka kufanya kazi za kuhudumia jamii kipolisi ni kuwatafutia balaa wananchi. Askari wa JKT anpotaka kujiunga Polisi anapelekwa CCP miezi 9 kwa mafunzo ya kuhudumia jamii bila kujali amekaa JKT mwaka mzima au miwili. Hata kama Polisi wana madhaifu yao pia lakini utendaji wa askari wa SUMA JKT ni wa ovyo kila eneo walipo.
 
Tafuta maana ya PTSD... mafunzo ya kwetu Afrika huwa ni kukomoana, unakuta kurutu anacharazwa viboko balaa eti mafunzo.
Sahihi mkuu, mafunzo ya kijeshi Africa ni ushenzi mtupu.
 
Hao ufundishwa kutumia nguvu kutatua tatizo kuwaweka sehemu hizo zenye kuhitaji matumizi ya akili ni kuwakosea wananchi.Toka lini mwanajeshi na customer care vikaendana.
Kunywa soda kwa bill yangu Mkuu.
Hapo ndo kwenye tatizo lisilosemwa.
 
Back
Top Bottom