Umeongea kwa uchungu sana hadi umenitia huzuni, kweli "One day Tanzania of humanity will be back".Unajua, mtu mwenye akili hupambana na kichaa aliyeshika panga kiakili, hata kwenye vita "retreating" sio aibu au woga, hata kwenye mpira back anaporudisha mpira kwa keeper sio ishara ya kuzidiwa, mambo lazima yapimwe na yafanywe kwa maarifa, maisha yanayothamani kubwa na struggle ni polepole, hayo yote ni ya kuangalia kama jinsi BBI ni ya kuangalia ili kuleta utangamano Kenya.
Machungu yote hayo yatapita, 5 yrs aint long time and Tz of humanity will be back on the track.
Unajua, mtu mwenye akili hupambana na kichaa aliyeshika panga kiakili, hata kwenye vita "retreating" sio aibu au woga, hata kwenye mpira back anaporudisha mpira kwa keeper sio ishara ya kuzidiwa, mambo lazima yapimwe na yafanywe kwa maarifa, maisha yanayothamani kubwa na struggle ni polepole, hayo yote ni ya kuangalia kama jinsi BBI ni ya kuangalia ili kuleta utangamano Kenya.
Machungu yote hayo yatapita, 5 yrs aint long time and Tz of humanity will be back on the track.
Baraza la wakunga na manesi limeshamfutia usajiliVs nesi aliyempiga Kofi moja mama mjamzito huko sumbawanga
nimezoea kukujibu bila kusoma vyote ulivyoandika,
[Nadhani hii utaisoma yote kwakuwa kuna ponyo kwako na kwa wengine kama wewe]:
Shida ya waafrika wengi ni kutokusoma kabisa au kusoma mambo juu juu, Wazungu wanao msemo huu; "If you want to hide something from Africans (blacks) keep it in writings" ---- mimi sikushangai kwa hiyo kauli yako, kwani waafrika ni wavivu kusoma na huko ndipo ujinga wetu ulipolala. 🤣
Napenda kusoma sana
Safi sana, wafukuzwe na kazi kabsaaaaMkuu wa wilaya Shinyanga, Jasinta Mboneko, ameuagiza uongozi wa kampuni ya ulinzi ya Suma JKT, kuwachukulia hatua kali za nidhamu walinzi waliohusika kwenye tukio la kumpiga mwananchi Daudi Lefi, aliyefika katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa huo kumuhudumia mgonjwa.
Agizo hilo amelitoa hii leo Januari 23, 2021, alipofika hospitalini hapo akiwa na kamati yake ya ulinzi na usalama na kufanya kikao cha ndani na uongozi wa hospitali hiyo na kueleza kuwa hospitali siyo sehemu ya kufanya fujo kwani Wananchi wanahitaji huduma.
Jana Januari 22, 2021, katika mitandao ya kijamii ilisambaa video ikionesha walinzi wakimshambulia, mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Daudi Lefi, aliyekuwa akitoka kwa ajili ya kutafuta dawa za mgonjwa ambaye ni mama yake, na ndipo walinzi hao walianza kumpiga kwa madai ya kwamba muda wa kuona wagonjwa umekwisha.
Imeelezwa kuwa wakati kijana huyo akishushiwa kipigo na walinzi hao, mdogo wake, Lydia Lefi, alisikika akiwataka waache kumpiga ndugu yake kwa kuwa walikuwa wanakwenda kuchukua dawa.
View attachment 1684679
Thats right brother. The military beleives war ground is more brutal than training.. so they try to build an enviroment of tourture in order to make recruits to get used to it ,harrasment is one method they use commonly.... harassment, as you have said, is normal in military trainings, but won't affect you much as you know there is "hope" at the end of the "tunnel". Tatizo linakuwa kubwa pale unapokuwa harassed, yet when you come to the ground the situation is even worse! Hapa lazima uwe "mnyama".
... hao jamaa hufanya kazi kama maroboti; no thinking, no logical reasoning at all! Umetumwa dawa na daktari na wanaona kabisa umebeba dawa na prescription za daktari badala hata ya kufikiria kwamba hii isingetokea kama hospitali ingekuwa na dawa wao mavitisho yasiyokuwa na kichwa wala miguu!...
Mim binafsi nina hasira mnoo na hao SUMA..kuna siku pale HOSPITAL ya Mkoa Simiyu alimanusura mkono uchezwe. Mim napeleka dawa niliyoagizwa na daktari nikanunue, then kufika pale entrance wakanigomea kuingia eti muda umeisha. Nikajieleza were, wapi. Mbembeleza piga magoti, wapii! Yaaani. Kama ilivyo hospital ya Shinyanga, ndivyo ilivyo hospital ya Mkoa Simiyu, Nyaumata. Bila shaka pale mkono huwa unachezwa kila Mara, sema tu camera ya paparazi haijawahi kunasa visanga na visirani pale
Hao walinzi unakuta hawaja ajiriwa bado wanajitolea hivyo posho zao ni changamoto wana stress za maishaMkuu wa wilaya Shinyanga, Jasinta Mboneko, ameuagiza uongozi wa kampuni ya ulinzi ya Suma JKT, kuwachukulia hatua kali za nidhamu walinzi waliohusika kwenye tukio la kumpiga mwananchi Daudi Lefi, aliyefika katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa huo kumuhudumia mgonjwa.
Agizo hilo amelitoa hii leo Januari 23, 2021, alipofika hospitalini hapo akiwa na kamati yake ya ulinzi na usalama na kufanya kikao cha ndani na uongozi wa hospitali hiyo na kueleza kuwa hospitali siyo sehemu ya kufanya fujo kwani Wananchi wanahitaji huduma.
Jana Januari 22, 2021, katika mitandao ya kijamii ilisambaa video ikionesha walinzi wakimshambulia, mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Daudi Lefi, aliyekuwa akitoka kwa ajili ya kutafuta dawa za mgonjwa ambaye ni mama yake, na ndipo walinzi hao walianza kumpiga kwa madai ya kwamba muda wa kuona wagonjwa umekwisha.
Imeelezwa kuwa wakati kijana huyo akishushiwa kipigo na walinzi hao, mdogo wake, Lydia Lefi, alisikika akiwataka waache kumpiga ndugu yake kwa kuwa walikuwa wanakwenda kuchukua dawa.
View attachment 1684679
Hao ni shida nakwambiakuna ofisi fulani wana kesi wameiba vifaa
Mimi bado sijawa msomaji sana, ila najitahidi niwe msomaji sana sambamba na KUELEWA nisomacho, that's a main focus.
Na hakuna msomaji sana aliyepata kutokea tangu kuumbwa kwa dunia.
Anayedai kupenda kusoma sana huyo ni mjivuni na mwenye kiburi.
Sema unajaribu kusoma sana pia jitahidi kuelewa unachosoma.
Hao ni shida nakwambia
Kujitambua kama mwenye kupenda kusoma sana sio dhambi, sio kosa, in fact ni jambo njema sana
Askar lazima kujio ngezaHalafu hao suma jkt kama wanalinda taasisi yako hakikisha mnalindana yani wakulinde na wewe pia uwalinde, ukisahau kidogo tu laptop ofisini au kitu chochote cha thamani wanapita nacho, wakati mwingine wanaiba hadi kuni
Unaweza kujitambua kupenda utajiri, je wewe unakuwa ni tajiri kwa kuwa unazo ndururu kadhaa???, the same applies to the plorific reading, unaweza kupenda sana kusoma na usiwe msomaji bali majivuno tu ya watu wa Kibera.🤣
Hao ni magalasa yasiyojitambua.... uliwahi kuletwa uzi humu kwamba hao wanaoitwa walinzi wa SUMA JKT most of them wana matatizo ya kisaikolojia. Ether, mafunzo waliyopitia walipata harassment mbaya sana, au mazingira ya kazi (kipato) ni tatizo, etc. Wataalamu wa ustawi wa jamii wanaweza kufanya research zao wakaja na majibu kwanini hawa vijana wana majibu na matendo ya ajabu ajabu.
Utajuaje kama inamhusu yeye na kuwa hakuwa akitekeleza amri (majukumu yake)? Ni lazima uwashtaki waajiri wake ambao wao ndio watasema kama alikuwa anatekeleza majukumu yake au la, na kama yalikuwa ni majukumu yalikuwa kwa mujibu wa sheria nk. kama ni malipo wao ndio watalipa piaAskari akifanya criminal act , hiyo inamhusu yeye mwenyewe tu.
Hapo ni kufungua malamiko polisi ili hatua nyingine ziendelee.